< Rodzaju 24 >

1 A Abraham był stary i podeszły w leciech, a Pan błogosławił mu we wszystkiem.
Basi Abraham alikuwa mzee sana na Yahwe akawa amembariki katika mambo yote.
2 Tedy rzekł Abraham do starszego sługi swego w domu swym, który wszystkiem rządził, co miał: Połóż, proszę, rękę twoję pod biodro moje;
Abraham akamwambia mtumwa wake, ambaye alikuwa mkubwa kuliko wote wa nyumbani mwake na mkuu wa vyote alivyo kuwa navyo.”Weka mkono wako chini ya paja langu
3 A zaprzysięgnę cię przez Pana, Boga nieba, i Boga ziemi, abyś nie brał żony synowi memu z córek Chananejskich, między któremi ja mieszkam;
na nitakufanya uape kwa Yahwe, Mungu wa Mbingu na nchi, kwamba hutampatia mwanangu mke kutoka kwa mabinti wa Wakanaani, miongoni mwao wale nikaao kati yao.
4 Ale pójdziesz do ziemi mojej, i do rodziny mojej, a stamtąd weźmiesz żonę Izaakowi, synowi memu.
Lakini utakwenda kwenye nchi yangu, na kwa ndugu zangu, na kumtafutia mwanangu Isaka mke.”
5 Tedy mu rzekł sługa: A jeźliby snać nie chciała niewiasta ona iść ze mną do tej ziemi, mamże odprowadzić syna twego do ziemi, z którejś ty wyszedł?
Yule mtumwa wake akamwambia, “Itakuwaje ikiwa mwanamke hatakuwa tayari kufuatana nami hadi katika nchi hii? Je nitamrudisha mwanao katika nchi ambayo ulitoka?”
6 I rzekł mu Abraham: Strzeż się, abyś tam zasię nie zaprowadzał syna mego.
Abraham akamwambia, “Hakikisha kwamba hutamrudisha mwanangu kule!
7 Pan Bóg niebieski, który mię wziął z domu ojca mego, i z ziemi rodziny mojej, i który mówił ze mną, a który mi przysiągł, mówiąc: Nasieniu twemu dam ziemię tę; on pośle Anioła swego przed obliczem twojem, i weźmiesz stamtąd żonę synowi memu.
Yahwe, Mungu wa mbingu, ambaye alinitoa mimi kutoka katika nyumba ya baba yangu na kutoka katika nchi ya ndugu zangu, na ambaye aliniahidia kwa kiapo maalumu akisema, 'Nitawapa uzao wako nchi hii,' atatuma malaika wake mbele yako, na utapata mke kwa ajili ya mwanangu kutoka huko.
8 A jeźliby nie chciała ona niewiasta iść z tobą, wolny będziesz od tego poprzysiężenia mego; tylko syna mego nie zaprowadzaj tam.
Lakini ikiwa mwanamke hatakuwa tayari, ndipo utakuwa huru katika hiki kiapo changu. Cha muhimu tu ni kwamba usije ukamrudisha mwanangu huko.”
9 Podłożył tedy sługa rękę swoję pod biodro Abrahama, pana swego, i przysiągł mu na to.
Kwa hiyo mtumwa akaweka mkono wake jini ya paja la Abraham bwana wake, na akaapa kuhusiana na jambo hili.
10 I wziął on sługa dziesięć wielbłądów, z wielbłądów pana swego, i poszedł; bo wszystkie dobra pana swego miał w rękach swych; a wstawszy puścił się do Aram Naharaim, do miasta Nachorowego.
Mtumwa akachukua ngamia kumi wa bwana wake na akaondoka. Akachukua pia aina zote za zawadi kutoka kwa bwana wake. Akaondoka na kwenda katika mkoa wa Aramu Naharaimu, mji wa Nahori.
11 I postawił wielbłądy przed miastem u studni wody, pod wieczór, tego czasu, którego zwykły niewiasty wychodzić czerpać wodę.
Akawapigisha magoti ngamia nje ya mji karibu na kisima cha maji. Ilikuwa jioni wakati ambao wanawake huenda kuchota maji.
12 I rzekł: Panie, Boże pana mego Abrahama! Niech mię proszę spotka dziś, czego żądam, a uczyń miłosierdzie z panem moim Abrahamem.
Kisha akasema, “Yahwe, Mungu wa bwana wangu Abraham, anijalie kufanikiwa leo na aoneshe agano la uaminifu kwa bwana wangu Abraham.
13 Oto, ja stoję u studni, a córki obywateli miasta tego wyjdą czerpać wodę;
Tazama, nimesimama hapa karibu na chemchemi ya maji na binti za watu wa mji wanakuja kuteka maji.
14 Panienka tedy, do której bym rzekł: Nachyl proszę wiadra twego, że się napiję, a ona by rzekła: Pij, owszem i wielbłądy twoje napoję; ta niech będzie, którąś zgotował słudze twemu Izaakowi; a po tem poznam, żeś uczynił miłosierdzie z panem moim.
Na itokee hivi kwamba. Nikimwambia msichana, tafadhari tua mtungi wako ili niweze kunywa maji,' na akiniambia, 'Kunywa, na kwamba nitawanywesha ngamia wako pia,' huyo ndiye awe ambaye umemchagulia mtumwa wako Isaka. Kwa njia hii nitajua kuwa umeonesha agano la uaminifu kwa bwana wangu.”
15 I stało się, że pierwej niż przestał mówić, oto, Rebeka wychodziła, która się urodziła Batuelowi, synowi Melchy, żony Nachora, brata Abrahamowego, niosąc wiadro na ramieniu swem.
Ikawa kwamba hata kabla hajamaliza kuzungumza, tazama, Rebeka akaja akiwa na mtungi wake wa maji begani mwake. Rebeka alizaliwa na Bethueli mwana wa Milka, mke wa Nahori, ndugu yake na Abraham.
16 A dzieweczka ona była bardzo piękna na wejrzeniu, panna, a której mąż nie uznał; ta przyszedłszy do studni, napełniła wiadro swe, i wracała się.
Msichana huyu alikuwa mzuri na alikuwa bikira. Hapana mwanaume aliye kuwa amekwisha lala naye. Akashuka kisimani na kuujaza mtungi wake, na kupanda juu.
17 Tedy zabieżał jej on sługa, i rzekł: Daj mi się proszę napić trochę wody z wiadra twego.
Kisha mtumwa yule akakimbia kumlaki yule msichana, na kusema, “Tafadhari nipatie maji kidogo ya kunywa kutoka katika mtungi wako.”
18 A ona rzekła: Pij, panie mój, i prędko złożyła wiadro swe na rękę swoję, i dała mu pić.
Akasema, “kunywa tafadhari bwana wangu,” na kwa haraka akatua mtungi wake juu ya mkono wake, na akampatia maji ya kunywa.
19 A gdy mu się dała napić, rzekła: I wielbłądom twoim naczerpię, aż się napiją.
Alipokuwa amemaliza kumpatia maji, akasema, “Nitachota maji kwa ajili ya ngamia wako pia, mpaka watakapomaliza kunywa.”
20 I wylała prędko wodę z wiadra swego w koryto, a bieżawszy jeszcze do studni czerpać, naczerpała wszystkim wielbłądom jego.
Hivyo akaharakisha akamwaga maji yaliyokuwa mtungini kwenye chombo cha kunywshea mifugo, kisha akakimbia tena kisimani kuchota maji, na kuwanywesha ngamia wake wote.
21 A on mąż zdumiewał się nad nią, uważając z milczeniem, jeźli mu Pan zdarzył drogę jego, czyli nie.
Yule mtu akamtazama msichana akiwa kimya kuona kama Yahwe amefanikisha njia yake au la.
22 I gdy się napiły wielbłądy, wyjął on mąż nausznicę złotą, która ważyła pół sykla, i dwie manele, i dał na ręce jej, które ważyły dziesięć syklów złota.
Ngamia walipomaliza kunywa maji, yule mtu akaleta pete ya pua ya dhahabu yenye uzito wa nusu shekeli, na bangili mbili za dhahabu kwa ajili ya mikono yake zenye uzito wa shekeli kumi,
23 I rzekł: Czyjaś ty córka, powiedz mi, proszę? a jeźli w domu ojca twego miejsce dla nas, gdzie byśmy przenocowali?
akamuuliza, “wewe ni binti wa nani? Niambie tafadhali, Je kuna nafasi nyumbani mwa baba yako kwa ajili yetu kupumzika usiku?”
24 A ona mu rzekła: Jestem córka Batuela, syna Melchy, którego urodziła Nachorowi.
Akamwambia, “Mimi ni binti wa Bethueli mwana wa Milka, ambaye alimzaa kwa Nahori.”
25 Nad to rzekła mu: Jest u nas dosyć plew i pastwy, i miejsce do przenocowania.
Akasema pia, “Tunayo malisho tele na chakula, na iko nafasi kwa ajili yako kulala usiku.”
26 I pokłonił się on człowiek i dał chwałę Panu,
Kisha yume mtu akainama chini na kumwabudu Yahwe.
27 I rzekł: Błogosławiony Pan, Bóg pana mego Abrahama, który nie oddalił miłosierdzia swego i prawdy swojej od pana mojego, albowiem gdym był w drodze, przyprowadził mię Pan w dom braci pana mego.
Akasema, “Abarikiwe Yahwe, Mungu wa bwana wangu Abraham, ambaye hakuacha agano lake la uaminifu na kweli yake mbele ya bwana wangu. Kwa vile Yahwe ameniongoza moja kwa moja kwenye nyumba ya ndugu zake bwana wangu.”
28 Bieżała tedy dzieweczka, i oznajmiła w domu matki swej, jako się co stało.
Kisha yule msichana akakimbia na kwenda kuwaeleza watu wa nyumba ya mama yake juu ya mambo yote haya.
29 I miała Rebeka brata imieniem Labana; i wybieżał Laban przeciwko onemu mężowi aż ku studni.
Na sasa Rebeka alikuwa na kaka yake, jina lake aliitwa Labani. Labani akakimbia kwa yule mtu aliye kuwa nje barabarani karibu na kisima.
30 Bo ujrzawszy nausznicę, i manele na ręku siostry swej, i usłyszawszy słowa Rebeki, siostry swej, mówiącej: Tak mówił do mnie ten mąż; przyszedł do onego męża, a oto, on stał przy wielbłądach u studni.
Akisha kuona hereni ya puani pamoja na zile bangili kwenye mikono ya dada yake, na kusikia maneno ya Rebeka dada yake, “Hivi ndivyo yule mtu alicho niambia,” alikwenda kwa yule mtu, na, Tazama, alikuwa amesimama karibu na ngamia pale kisimani.
31 I rzekł do niego: Wnijdź błogosławiony Pański; przecz byś stał na dworze, jużem ja nagotował dom, i miejsce wielbłądom?
Labani akasema, “Njoo, wewe uliye barikiwa na Yahwe. Kwa nini umesimama nje? nimekwisha andaa nyumba, pamoja na mahali kwa ajili ya ngamia.”
32 Tedy wszedł mąż on w dom; a Laban rozsiodłał wielbłądy, i dał plew i pastwy wielbłądom, i wody dla umycia nóg jego, i nóg mężów onych, którzy z nim byli.
Kwa hiyo yule mtu akaingia ndani ya nyumba na akashusha mizigo kutoka kwa wale ngamia. Ngamia wakapatiwa malisho na chakula, na maji yakatolewa kuosha miguu yake pamoja na miguu ya wale watu aliokuwa pamoja nao.
33 I położył przedeń, coby jadł; ale on rzekł: Nie będę jadł, aż pierwej odprawię rzecz swoję. Tedy rzekł Laban: Mówże.
Wakaandaa chakula mbele yake ale, lakini akasema, “Sitakula mpaka niseme kile ninacho paswa kusema.” Kwa hiyo Labani akmwambia, “Sema.”
34 I rzekł: Jam jest sługa Abrahamów;
Akasema, “Mimi ni mtumwa wa Abraham.
35 A Pan ubłogosławił pana mego bardzo, i stał się możnym; bo mu nadał owiec, i wołów, i srebra, i złota, i sług, i służebnic, i wielbłądów, i osłów.
Yahwe amembariki sana bwana wangu na amekuwa mtu mkuu. Amempatia mifugo na makundi ya wanyama, fedha, dhahabu, watumwa wa kiume na watumwa wa kike, pamoja na ngamia na punda.
36 A urodziła Sara, żona pana mego syna panu memu, w starości jego, któremu dał wszystko, co ma.
Sara, mke wa bwana wangu, alimzalia mwana bwana wangu alipokuwa mzee, na amempatia mwanawe kila kitu anachomiliki.
37 I poprzysiągł mię pan mój, mówiąc: Nie weźmiesz żony synowi memu z córek Chananejskich, w których ziemi ja mieszkam;
Bwana wangu aliniapisha, akisema, “Usije ukampatia mwanangu mke kutoka kwa mabinti wa Wakanaani, ambao kwao nimefanya makazi.
38 Ale do domu ojca mego pójdziesz i do rodziny mojej; a weźmiesz stamtąd żonę synowi mojemu.
Badala yake, lazima uende kwa familia ya baba yangu, na kwa ndugu zangu, na kupata mke kwa ajili ya mwanangu.'
39 I rzekłem do pana mego: Nie pójdzie snać ta niewiasta ze mną.
Nikamwambia bwana wangu, pengine mwanamke huyo asikubali kufuatana nami.'
40 Tedy mi odpowiedział: Pan, przed któregom ja obliczem chodził, pośle Anioła swego z tobą, i poszczęści drogę twoję; a weźmiesz żonę synowi memu z rodziny mojej, i z domu ojca mego.
Lakini akaniambia, Yahwe, ambaye ninakwenda mbele yake, atatuma malaika wake pamoja nawe na atakufanikisha njia yako, kwamba utapata mke kwa ajili ya mwangu kutoka miongoni mwa ndugu zangu na kutoka katika ukoo wa baba yangu.
41 Tedy wolen będziesz od poprzysiężenia mego, gdy przyjdziesz do rodziny mojej; ale jeźlićby jej nie dano, wolen będziesz od poprzysiężenia mego.
Lakini utakuwa huru katika kiapo changu ikiwa utafika kwa ndugu zangu na wasikuruhusu kuja naye. Ndipo utakuwa huru katika kiapo changu.
42 Przyszedłem tedy dziś do studni, i rzekłem Panie, Boże pana mego Abrahama, jeźliż ty teraz szczęścisz drogę moję, którę ja idę:
Hivyo nimefika leo kisimani, na nikasema, 'O Yahwe, Mungu wa bwana wangu Abraham, tafadhari, ikiwa kweli umekusudia kuifanya safari yangu kuwa yenye kufanikiwa -
43 Oto, ja stoję u studni wody; niechajże panienka, która wynijdzie czerpać wodę, a gdybym jej rzekł: Daj mi proszę napić się trochę wody z wiadra twego;
tazama niko hapa nimesimama karibu na kisima cha maji - na iwe kwamba binti ajaye kuchota maji, nitakaye mwambia, “Tafadhari unipatie maji kidoka kutoka kwenye mtungi wako ninywe,” mwanamke atakaye niabia,
44 A ona by rzekła do mnie: I ty pij, naczerpię też i wielbłądom twoim: ta będzie żoną, którą zgotował Pan synowi pana mego.
“Kunywa, na nitakuchotea pia maji kwa ajili ya ngamia wako” - na awe ndiye ambaye wewe Yahwe, umemchagulia mtoto wa bwana wangu.”
45 Niżelim ja tedy przestał mówić w sercu swem, oto, Rebeka wychodziła, niosąc wiadro swe na ramieniu swem, i przyszła do studni, a czerpała; którejm rzekł: Daj mi pić proszę.
Ikawa hata kabla sijamaliza kuzungumza moyoni mwangu, Tazama, Rebeka akaja na mtungi wake juu ya bega lake akashuka chini kisimani akachota maji. Hivyo nikamwambia, 'Tafadhari nipatie maji ninywe.'
46 Ona tedy prędko złożywszy wiadro z siebie, rzekła: Pij, owszem i wielbłądy twoje napoję. I piłem; napoiła też i wielbłądy.
Ndipo kwa haraka alipoushusha mtungi wake begani mwake na akasema, 'Kunywa, na pia nitawapatia maji ngamia wak.' Kwa hiyo nikanywa, na akawanywesha ngamia pia.
47 I pytałem jej, mówiąc: Czyjaś ty córka? i odpowiedziała: Jestem córka Batuela, syna Nachorowego, którego mu urodziła Melcha, tedym włożył nausznice na twarz jej, i manele na ręce jej.
Nikamuuliza na kusema, 'Wewe ni binti wa nani?' Akasema, 'Binti wa Bethueli, Mwana wa Nahori, ambaye Milka alizaa kwake.' Kisha nikamwekea pete puani mwake pamoja na bangili mikononi mwake.
48 Zatem pokłoniwszy się, dałem chwałę Panu, i błogosławiłem Panu, Bogu pana mego Abrahama, który mię prowadził drogą prawą, abym wziął córkę brata pana mego, synowi jego
Kisha nikainama chini nikamwabudu Yahwe, na kumbariki Yahwe, Mungu wa bwana wangu Abraham, ambaye ameniongoza katika njia sahihi kumpata binti wa ndugu za bwana wangu kwa ajili ya mwanawe.
49 Przetoż teraz, jeźli chcecie uczynić miłosierdzie i prawdę z panem moim, oznajmijcie mi: a jeźli nie, powiedzcie mi też, żebym się obrócił na prawo albo na lewo.
Kwa hiyo, ikiwa mko tayari kumfanyia rehema na kweli, niambieni. Lakini kama sivyo, niambieni, ili kwamba niweze kwenda upande wa kulia, au kushoto.”
50 Tedy odpowiedział Laban i Batuel, mówiąc: Od Pana ta rzecz wyszła; my tobie w niczem przeczyć nie możemy.
Ndipo Labani na Bethueli wakajibu na kusema, “Jambo hili limetoka kwa Yahwe; hatuwezi kusema kwako aidha neno baya au zuri.
51 Oto Rebeka przed tobą; weźmij ją, a idź; a niech będzie żoną syna pana twego, jako rzekł Pan.
Tazama, Rebeka yu mbele yako. Mchukue na uende, ili awe mke wa mtoto wa bwana wako, kama Yahwe alivyosema.”
52 I stało się, gdy usłyszał sługa Abrahamów słowa ich pokłonił się aż do ziemi Panu.
Mtumwa wa Abraham aliposikia maneno yao, akainama mwenyewe chini ardhini kwa Yahwe.
53 Zatem wyjął sługa on naczynia srebrne, i naczynia złote, i szaty, a oddał je Rebece; dał też upominki drogie bratu jej, i matce jej.
Mtumwa akaleta vipande vya fedha na vipande vya dhahabu, na nguo, akampatia Rebeka. Akampatia pia kaka yake na mama yake zawadi zenye thamani.
54 Jedli tedy i pili, on i mężowie, którzy z nim byli, i zostali tam na noc; a rano wstawszy, rzekł: Puśćcie mię do pana mego.
Kisha yeye na watu aliokuwa nao wakala na kunywa. wakakaa pale mpaka usiku, na walipoamka asubuhi, akasema, Niruhusuni niende kwa bwana wangu.”
55 I rzekł brat jej, i matka jej: Niechaj pomieszka z nami dzieweczka dzień, albo dziesięć; potem pójdziesz.
Kaka yake na mama yake wakasema, mwache binti abaki nasi kwa siku chache zingine, angalau siku kumi. baada ya hapo anaweza kwenda.”
56 A on rzekł do nich: Nie zatrzymywajcie mię, gdyż Pan poszczęścił drogę moję, puśćcie mię, abym jechał do pana mego.
Lakini akawambia, msinizuie, kwa kuwa Yahwe amefanikisha njia yangu. Niruhusuni niende kwa bwana wangu.”
57 Zatem rzekli: Zawołajmy dzieweczki, a spytajmy, co na to rzecze.
Wakasema, “Tutamwita binti na kumuuliza.”
58 Tedy zawołali Rebeki, i mówili do niej: Chceszże jechać z tym człowiekiem? A ona odpowiedziała: Pojadę.
Kwa hiyo wakamwita Rebeka na kumuuliza, “Je utakwenda na mtu huyu?” Akajibu, “Nitakwenda.”
59 I puścili Rebekę siostrę swoję, z mamką jej, i sługę Abrahamowego, z mężami jego.
Kwa hiyo wakampeleka dada yao Rebeka, pamoja na watumishi wake wa kike, kwenda njiani pamoja na mtumishi wa Abraham na watu wake.
60 Tedy błogosławili Rebece, mówiąc jej: Siostraś nasza, rozmnóż się w tysiąc tysięcy, a niech posiądzie nasienie twoje bramy nieprzyjaciół swych.
Wakambarikia Rebeka, na wakamwambia, “Ndugu yetu, na uwe mama wa maelfu na wa makumi elfu, uzao wako upate kumiliki lango la wale wanao wachukia.”
61 Tedy wstawszy Rebeka z dzieweczkami swemi, i wsiadłszy na wielbłądy jechały za onym mężem; i wziął sługa on Rebekę, i odjechał.
Kisha Rebeka akasimama, yeye na watumishi wake kwa hesabu ya ngamia, na wakamfuata yule mtu. Hivyo watumishi wakamchukua Rebeka, na wakaenda zao.
62 A Izaak wracał się z przechadzki od studni, którą zowią Żywiącego i Widzącego mię; bo mieszkał w ziemi południowej.
Nyakati hizo Isaka alikuwa anakaa katika Negebu, na alikuwa tu amerejea kutoka Beerlahairoi.
63 A wyszedł był Izaak, dla modlitwy na pole pod wieczór, i podniósłszy oczy swe, ujrzał wielbłądy przychodzące.
Isaka akaenda kutafakari shambani jioni. Alipotazama akaona, natazama, kulikuwa na ngamia wakija!
64 Podniosła też i Rebeka oczy swe, i ujrzała Izaaka, i zsiadła z wielbłąda;
Rebeka akatazama na alipomwona Isaka, akaruka kutoka kwenye ngamia.
65 Bo rzekła do sługi: Cóż on za mąż, który idzie przez pole przeciwko nam? I odpowiedział sługa: Ten jest pan mój. A ona wziąwszy rańtuch nakryła się.
Akamwambia mtumwa, “mtu huyo ni nani anaye tembea shambani akija kutupokea?” Mtumwa akasema, “Ni bwana wangu.” Hivyo Rebeka akachukua shela yake akajifunika.
66 I powiedział on sługa Izaakowi wszystko, co sprawił.
Mtumwa akamwambia Isaka mambo yote ambayo amefanya.
67 I wprowadził ją Izaak do namiotu Sary, matki swojej; i wziął Rebekę, i była mu żoną, i miłował ją. I ucieszył się Izaak po śmierci matki swojej.
Kisha Isaka akamleta katika hema ya Sara mama yake na akamchukua Rebeka, na akawa mke wake, na akampenda. Kwa hiyo Isaka akafarijika baada ya kifo cha mama yake.

< Rodzaju 24 >