< Ezdrasza 4 >

1 A gdy usłyszeli nieprzyjaciele Judy i Benjamina, iż lud, który przyszedł z pojmania, budowali kościół Panu, Bogu Izraelskiemu;
Adui za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli,
2 Tedy przyszli do Zorobabela i do przedniejszych z domów ojcowskich, mówiąc im: Będziemy budować z wami, a jako i wy będziemy szukać Boga waszego, gdyżeśmy mu ofiary czynili ode dni Asarhaddona, króla Assyryjskiego, który nas tu przywiódł.
wakamjia Zerubabeli na viongozi wa jamaa, nao wakasema, “Turuhusuni tuwasaidie kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu wakati wa Esar-Hadoni mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”
3 Ale im rzekł Zorobabel, i Jesua, i inni przedniejsi domów ojcowskich z Izraela: Nie wam, ale nam należy budować dom Bogu naszemu; przetoż my sami budować będziemy Panu, Bogu Izraelskiemu, jako nam rozkazał Cyrus, król Perski.
Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi wengine wa jamaa ya Israeli wakawajibu, “Ninyi hamna sehemu nasi katika kujenga Hekalu la Mungu wetu. Sisi peke yetu tutajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli, kama Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi alivyotuagiza.”
4 A tak lud onej krainy wątlił ręce ludu Judzkiego, i przeszkadzał im, aby nie budowali.
Ndipo watu waliowazunguka wakajipanga kuwakatisha tamaa watu wa Yuda na kuwafanya waogope walipokuwa wakiendelea na ujenzi.
5 Nadto przenajmowali przeciwko nim radców, aby rozrywali radę ich po wszystkie dni Cyrusa, króla Perskiego, aż do królowania Daryjusza, króla Perskiego.
Wakaajiri washauri kuwapinga katika kazi yao, nao wakaipinga mipango yao wakati wote wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi hadi wakati wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
6 Bo gdy królował Aswerus, tedy na początku królestwa jego, napisali skargę przeciwko obywatelom Judzkim i Jeruzalemskim,
Mnamo mwanzo wa utawala wa Ahasuero, hao adui waliandika mashtaka dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu.
7 Tak jako za dni Artakserksesa pisał Bislan, Mitrydates, Tabeel, i inni towarzysze jego do Artakserksesa króla Perskiego; a pismo listu tego napisane było po syryjsku, i wyłożone też było po syryjsku.
Pia katika siku za utawala wa Artashasta mfalme wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli pamoja na wenzao waliandika barua kwa Artashasta. Barua hiyo iliandikwa kwa mwandiko wa Kiaramu na katika lugha ya Kiaramu.
8 Rechum kanclerz, i Symsaj pisarz napisali list jeden przeciwko Jeruzalemowi do Artakserksesa króla w ten sposób:
Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai waliandika barua kwa Mfalme Artashasta dhidi ya watu wa Yerusalemu kama ifuatavyo:
9 To uczynili natenczas Rechum kanclerz, i Symsaj pisarz, i inni towarzysze ich, Dynajczycy, i Afarsadchajczycy, Tarpelajczycy, Afarsajczycy, Arkiewajczycy, Babilończycy, Susanchajczycy, Dehawejczycy i Elmajczycy;
Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai, pamoja na wenzao, yaani mahakimu na maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa Shushani,
10 I inne narody, które był przyprowadził Asnapar wielki i sławny, a osadził nimi miasta Samaryjskie; i inni, którzy byli za rzeką, i Cheenetczycy.
na watu wengine ambao mheshimiwa Asur-Banipali aliwahamisha na kuwakalisha katika mji wa Samaria na mahali pengine Ngʼambo ya Mto Frati.
11 A tenci jest przepis listu, który posłali do Artakserksesa króla:
(Hii ndiyo nakala ya barua waliyompelekea.) Kwa Mfalme Artashasta, Kutoka kwa watumishi wako, watu wa Ngʼambo ya Mto Frati:
12 Słudzy twoi, ludzie mieszkający za rzeka, i Cheenetczycy. Niech będzie wiadomo królowi, że Żydowie, którzy się wrócili od ciebie, przyszedłszy do nas do Jeruzalemu, miasto odporne i złe budują, i mury zakładają, a z gruntu je wywodzą.
Yapasa Mfalme ajue kuwa Wayahudi waliopanda kuja kwetu kutoka kwenu, wamekwenda Yerusalemu nao wanaujenga upya ule mji wa uasi na uovu. Wanajenga kuta upya na kukarabati misingi yake.
13 Przetoż niech będzie wiadomo królowi, Ze będzieli to miasto pobudowane, i mury jego z gruntu wywiedzione, tedy cła, czynszów, i dani dorocznej nie będą dawać, a tak dochodom królewskim ujma się stanie.
Zaidi ya hayo, mfalme yampasa ajue kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikafanywa upya, hakutakuwa na ulipaji wa kodi wala ada au ushuru, hivyo hazina za mfalme zitaathirika.
14 Teraz tedy, ponieważ używamy dobrodziejstw pałacu twego, na szkodę królewską nie godzi się nam patrzyć; dla tegośmy posłali, oznajmując to królowi,
Sisi sasa kwa kuwa tunawajibika kwa jumba la kifalme na kwamba siyo sawasawa kwetu kuona mfalme akidharauliwa, basi tunatuma ujumbe huu kumtaarifu mfalme,
15 Abyś dał szukać w księgach historyj ojców swoich, a znajdziesz w księgach historyj, i dowiesz się, iż to miasto jest miasto odporne i szkodliwe królom i krainom, a iż się w niem wszczynały bunty od dawnych dni, przez co to miasto było zburzone.
ili kwamba ufanyike uchunguzi kwenye kumbukumbu ya maandishi ya waliokutangulia. Katika kumbukumbu hizi utagundua kwamba mji huu ni wa maasi, unaowataabisha wafalme na majimbo, ni mahali pa maasi tangu zamani. Ndiyo maana mji huu uliharibiwa.
16 Nadto wiadomo czynimy królowi, że jeżli się to miasto pobuduje, i mury jego z gruntu wywiedzione będą, tedy już ta część za rzeką nie będzie twoja.
Tunamjulisha mfalme kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikifanywa upya, hutabakiwa na chochote Ngʼambo ya Mto Frati.
17 Tedy dał odpowiedż król Rechumowi kanclerzowi, i Symsajemu pisarzowi, i innym towarzyszom ich, którzy mieszkali w Samaryi, także i innym za rzeką w Selam i w Cheet:
Mfalme alirudisha jibu hili: Kwa Rehumu, afisa msimamizi, mwandishi Shimshai na wenzenu wote wanaoishi katika Samaria na penginepo Ngʼambo ya Mto Frati: Salamu.
18 List, któryście posłali do nas, jawnie przedemną czytano.
Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.
19 Przetoż rozkazałem, aby szukano; i znaleziono, że to miasto z dawna powstawało przeciwko królom, a bunty i rozruchy bywały w niem;
Nilitoa amri na uchunguzi ukafanyika na imegundulika kwamba mji huu una historia ndefu ya maasi dhidi ya wafalme na pamekuwa mahali pa maasi na uchochezi.
20 Nadto królowie możni bywali w Jeruzalemie, którzy panowali nad wszystkiem, co jest za rzeką, którym cła, czynsze, i dani doroczne dawano.
Yerusalemu umepata kuwa na wafalme wenye nguvu wakitawala nchi yote iliyo Ngʼambo ya Mto Frati, wakitoza kodi, ada na ushuru huko.
21 Przetoż wydajcie wyrok, aby zabroniono onym mężom, aby to miasto nie było budowane, pókiby odemnie inszy rozkaz nie wyszedł.
Kwa hiyo toeni amri kwa watu hawa wasimamishe ujenzi, ili kwamba mji huu usiendelee kujengwa hadi nitakapoagiza.
22 Patrzcież, abyście się w tem nie omylili. Przeczżeby urość miało co złego na szkodę królom?
Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?
23 A tak, gdy przepis listu Artakserksesa był czytany przed Rechumem, i Symsajem pisarzem, i przed towarzyszami ich, jechali prędko do Jeruzalemu do Żydów, a zabronili im gwałtem i mocą budować.
Mara waliposomewa nakala ya barua ya Mfalme Artashasta, Rehumu na Shimshai aliyekuwa mwandishi na wenzao, walikwenda mara moja kwa Wayahudi huko Yerusalemu na kuwalazimisha kwa nguvu kusimamisha ujenzi.
24 A tak ustała robota około domu Bożego, który był w Jeruzalemie, i zaniechano jej aż do wtórego roku królestwa Daryjusza, króla Perskiego.
Hivyo kazi ya ujenzi wa nyumba ya Mungu huko Yerusalemu ikasimamishwa kabisa hadi mwaka wa pili wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.

< Ezdrasza 4 >