< Ezechiela 46 >

1 Tak mówi panujący Pan: Brama sieni wnętrznej, która patrzy na wschód słońca, zamkniona będzie przez sześć dni robotnych; ale będzie otworzona w dzień sabatu, także i w dzień nowiu miesiąca będzie otworzona.
Bwana Yahwe asema hivi: Lango la uzio wa ndani, linaloelekea mashariki, litafungwa kwa mda wa siku sita za kazi, lakini katika siku za Sabato litakuwa wazi, na katika siku ya mwezi mpya litafunguliwa.
2 I przyjdzie książę drogą przysionku bramy zewnątrz, a stanie u podwoi onej bramy, a kapłani sprawować będą całopalenie jego, i spokojne ofiary jego, a pokłoniwszy się na progu bramy, potem wynijdzie, a brama nie będzie zamkniona aż do wieczora,
Mwana wa mfalme ataingia kwa kutumia lango la njia ya nyuma ya varanda upande wa nje, na atasimama mbele ya muhimili wa mwimo wa lango la ndani wakati makuhani wakiwa wakitengeza sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani. Kisha ataabudu kwenye kizingiti cha lango la ndani na kutoka nje, lakini lango halitakuwa linafungwa hadi jioni.
3 Aby się kłaniał lud onej ziemi u drzwi bramy we dni sabatu i na nowiu miesiąca przed obliczem Pańskiem.
Watu wa nchi pia wataabudu mbele ya Yahwe kwenye hili lango la kuingilia katika siku ya Sabato na siku mpya za mwezi.
4 Ale całopalenie, które będzie książę sprawował Panu w dzień sabatu, będzie sześć baranków zupełnych i baran zupełny;
Sadaka ya kuteketezwa ambayo mwana wa mfalme aitoayo kwa Yahwe katika siku ya Sabato itakuwa wanakondoo sita wasiokuwa na dosari na kondoo dume asiyekuwa na dosari.
5 I ofiara śniedna, efa na barana, i na baranki ofiara śniedna według przemożenia ręki jego, a oliwy hyn na efa.
Sadaka ya unga pamoja na kondoo dume itakuwa efa moja, na sadaka ya unga pamoja na wanakondoo kiasi awezacho kutoa, na hini moja ya mafuta pamoja na kila efa ya unga.
6 A na dzień nowiu miesiąca niech będzie cielec młody zupełny, i sześć baranków i baran zupełny.
Katika siku ya mwezi mpya atatoa ng'ombe mchanga asiyekuwa na dosari kutoka kuchungwa, wanakondoo sita, na kondoo asyekuwa na dosari.
7 Także niech ofiaruje efa ofiary suchej przy cielcu, i efa przy baranie, a przy barankach według przemożenia ręki swojej, a oliwy hyn na efa.
Atatengeneza sadaka ya unga ya efa moja kwa ajili ya ng'ombe na efa moja kwa ajili ya kondoo, na kwa kiasi awezacho kukitoa kwa ajili ya wanakondoo, na hini ya mafuta kwa kila efa ya unga.
8 A książę wchodząc drogą przysionku i bramy pójdzie, i drogą jej odejdzie.
Wakati mwana wa mfalme atakapokuwa anaingia kwa njia ya lango lenye varanda, ataondoka kwa njia hiyo hiyo.
9 Ale gdy będzie lud onej ziemi wchodził przed obliczność Pańską na święta uroczyste, tedy ten, co wnijdzie drogą bramy od północy, aby się kłaniał, wynijdzie drogą bramy południowej; a kto wnijdzie drogą bramy południowej, wynijdzie drogą bramy pół nocnej; nie wróci się drogą onej bramy, którą wszedł, ale przeciwko niej wynijdzie.
Lakini wakati watu wa nchi watakakuja kwa Yahwe katika sikukuu zilizoteuliwa, kila mmoja kuingia kupitia kwenye lango la kaskazini kuabudu ataondoka kupitia lango la kusini; na kila atakayeingillia kupitia lango la kusini atatoka kupitia lango la kaskazini. Hakuna atakayerudia kwa lile lango aliloingilia, kwa kuwa atatoka nje moja kwa moja.
10 A gdy oni wchodzić będą, książę między nimi wchodzić będzie; a gdy odchodzić będą, odejdzie.
Mwana wa mfalme atakuwa kati yao; watakapoingia, ataingia ndani, na watakapoondoka, atatoka nao.
11 Także na święta i na uroczyste święta niech będzie ofiara śniedna efa na cielca, i efa na barana, a na baranki, co przemoże ręka jego, a oliwy hyn na efa.
Kwenye sikukuu hizo, sadaka ya unga itakuwa efa moja ya unga kwa ng'ombe mmoja na efa moja kwa kondoo dume, na chochote atakacho kitoa pamoja na wanakondoo, na hini moja ya mafuta kwa kila efa.
12 A będzieli książę ofiarował ofiarę dobrowolną, całopalenie albo spokojne dobrowolne ofiary Panu, tedy mu niech będzie otworzona brama, która patrzy na wschód słońca, a niech sprawuje całopalenie swoje albo spokojne ofiary swoje, jako ofiarę w dzień sabatu; potem odejdzie, i zamkną bramę, gdy wynijdzie.
Wakati mwana wa mfalme atakapotoa sadaka atakayojisikia kutoa, labda sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani kwa Yahwe, lango la kuelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka ya amani kama afanyavyo siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, na baada ya kutoka lango litafungwa.
13 Nadto baranka rocznego zupełnego Panu ofiarować będzie co dzień na całopalenie; na każdy poranek baranka ofiarować będzie.
Kwa kuongeza, utatoa mwanakondoo asiyekuwa na dosari mwenye umri wa mwaka mmoja kama sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe kila siku; utafanya hivi kila asubuhi.
14 Także ofiarę śniedną będzie ofiarował przy nim na każdy poranek szóstą część efy, a oliwy trzecią część hynu na skropienie pszennej mąki, śniedną mówię ofiarę Panu postanowieniem wiecznem ustwicznie.
Utatoa sadaka ya unga pamoja nayo kila asubuhi, efa sita na sehemu ya tatu ya hini ya mafuta kuchanganya na sadaka ya unga kwa ajili ya Yahwe, kulingana na sheria ilivyo.
15 Tak tedy ofiarować będą baranka i ofiarę śniedną i oliwę na każdy poranek, całopalenie ustwiczne.
Watandaa mwanakondoo, sadaka ya kuteketezwa, na mafuta kila asubuhi, sadaka ya kuteketezwa ya kudumu.
16 Tak mówi panujący Pan: Jeźli komu da książe dar z synów swoich, póki dziedzictwem jego jest, synów jego niech będzie ku osiadłości i ku dziedzicwu ich.
Bwana Yahwe asema hivi: Kama mwana wa mfalme akitoa zawadi kwa mmoja wa watoto wake, imekuwa urithi wake. Itakuwa mali ya mtoto wake, imekuwa urithi.
17 Ale jeźli da dar z dziedzictwa swego któremu z sług swoich, tedy będzie jego aż do roku wolności, a potem wróci się na onego księcia; a wszakże dziedzictwo jego mieć będą synowie jego.
Lakini kama akimpatia zawadi kutoka urithi wake kwa mmoja wa watumishi wake, kisha itakuwa ya huyo mtumishi mpaka mwaka wa uhuru, na kisha itarudi kwa mwana wa mfalme. Urithi wake yamkini ukawa kwa ajili ya watoto wake.
18 Nie będzie też nic brał książę z dziedzictwa ludu, gwałtem ich wyrzucając z osiadłości ich; ale z osiadłości swojej da dziedzictwo synom swoim, żeby nie był rozproszony lud mój, nikt z osiadłości swojej.
Mwana wa mfalme hatawaondolea urithi wa watu kutoka kwenye mali zao wenyewe; ataandaa kwa ajili ya watoto wake mali ili kwamba watu wangu wasitawanyike, kila mtu kutoka mali kwenye yake mwenyewe.”
19 Tedy mię wwiódł przez wejście, które jest przy stronie bramy, do kapłanów, do komórek świętych, które patrzyły na północy, a oto tu było miejsce po obu stronach ku zachodowi;
Kisha yule mtu akaniletea kwenye lango la kutokea hata kwenye vyumba vitakatifu kwa ajili ya makuhani, vilivyokuwa vimeelekea kaskazini na tazama! Kulikuwa na sehemu mbele magharibi.
20 I rzekł do mnie: To jest miejsce, gdzie warzą kapłani ofiarę za występek i za grzech, i smażą ofiarę śniednią, aby nic nie wynosili do sieni zewnętrznej ku poświęcaniu ludu.
Akanambia, “Hii ndio sehemu ambayo makuhani watakapo chemshia sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na walipookea sadaka ya unga. Wasilete sadaka nje ya uzio, kwa kuwa watu watatakaswa.”
21 Potem mię wywiódł do sieni zewnętrznej, i obwiódł mię po czterech kątach sieni, a oto sień była w każdym kącie onej sieni.
Kisha akanileta kwenye uzio wa nje akaniongoza kuzunguka pembe nne za uzio, nikaona kwamba katika kila pembe ya uzio kulikuwa na uwanja.
22 Na czterech węgłach onej sieni były sieni z kominami na czterdzieści łokci wdłuż a na trzydzieści łokci wszerz, jednaż miara onych czterech sieni narożnych.
Katika hizo pembe nne za nje ya uzio kulikuwa na nzio nne ndogo, dhiraa arobaini urefu na thelathini upana. Ukubwa ule ule kwa nzio zote nne.
23 A w onych czterech były kuchnie w około, także ogniska poczynione w onych kuchniach w około.
Kulikuwa na safu zilizokuwa zimetengenezwa kwa mawe kuzizunguka zote nne, na meko ya kupikia ilikuwa chini ya safu ya jiwe.
24 I rzekł mi: Te miejsca są tych, którzy warzą, gdzie słudzy domu warzą ofiary ludu.
Yule mtu akanambia, “Hizi ndizo sehemu ambazo watumishi watachemshia dhabihu za watu.”

< Ezechiela 46 >