< Ezechiela 42 >
1 I wwiódł mię do sieni zewnętrznej drogą, która idzie ku północy, i wwiódł mię do onych komórek, które były przeciwko piętru, a które były przeciwko budowaniu na północy.
Kisha yule mtu akanituma kwenda ua wa nje upande wa kaskazini, akanileta kwenye vyumba mbele ya ua wa nje na ukuta wa nje kaskazini.
2 Którego długość przy drzwiach na północy była na wejrzeniu na sto łokci, a szerokość na pięćdziesiąt łokci.
Hivyo vyumba vilikuwa dhiraa mia moja karibu na mbele yake na dhiraa hamsini upana.
3 Przeciwko sieni wewnętrzej, która miała dwadzieścia łokci i przeciwko tłu, które było w sieni zewnętrznej z dworu, był ganek przeciwko gankowi trzema rzędami.
Baadhi ya hivyo vyumba vilielekea ua wa ndani na vilikuwa na dhiraa ishirini kutoka patakatifu. Kulikuwa na vyumba vitatu vinavyolingana, na kingine juu kilichokuwa kimetazama chini kuelekea kingine vilikuwa vimefunguliwa, vilikuwa na pakutokea. Baadhi ya vyumba vilielekea nje kwenye ua wa nje.
4 A przed komórkami był plac do przechadzki na dziesięć łokci wszerz wewnątrz, ścieszka do nich na jednym łokciu, a drzwi ich były na północy.
Njia dhiraa kumi upana dhiraa mia moja urefu kueleikea mbele ya vyumba. Milango ya vyumba ilikuwa mbele kaskazini.
5 A komórki najwyższe były ciaśniejsze, przeto, że ganki były szersze niż one, niżeli spodnie i średnie budowania.
Lakini kumbi za juu zilikuwa ndogo, kwa ajili ya njia za kutembea zilichukua kutoka kwazo sehemu kubwa kulikuwa walivyofanya kwenye vyumba vya chini na katikati usawa wa jengo.
6 Bo było o trzech piętrach, ale nie miało słupów, jakie słupy były w sieniach; przetoż wąższe było niż spodnie i niż średnie od ziemi.
Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
7 Ogrodzenia też, które było z dworu przeciwko onym komorom ku sieni zewnętrznej przed komórkami, długość była na pięćdziesiąt łokci.
Ukuta wa nje karibu na vyumba mbele ya ua wa nje, ua uliokuwa mbele ya vyumba. Huo ukuta ulikuwa dhiraa hamsini urefu.
8 Bo długość komórek, które były w sieni zewnętrzej, była na pięćdziesiąt łokci, a przed kościołem sto łokci.
Urefu wa vyumba vya ua wa nje ulikuwa dhiraa hamsini, na vyumba vilivyokuwa vimeelekea patakatifu vilikuwa dhiraa mia moja urefu.
9 A pod temi komórkami było wejście od wschodu słońca, przez które wchodzono do nich z onej sieni zewnętrznej.
Kulikuwa na mahali pa kuingilia kwenye vyumba vidogo zaidi kutoka upande mashariki, kuingia kutoka ua wa nje.
10 Na szerokości ogrodzenia onej sieni ku wschodowi przed piętrem i przed budowaniem były komórki.
Karibu na ukuta wa ua wa nje juu ya upande wa mgaribi pa ua wa ndani, mbele ya patakatifu pa ua wa nje, pia kulikuwa na vyumba na njia ya mbele yao.
11 A ścieszka przed niemi była podobna ścieszce onych komórek, które były na północy; a jako była długość ich, taka też była szerokość ich, a wszystkie wyjścia ich i drzwi ich były im podobne.
zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
12 A drzwi onych komórek, które były na południe, podobne były drzwiom na początku drogi, drogi, mówię, przed ogrodzeniem prosto na wschód słońca, kędy się wchodzi do nich.
Kwa upande wa kusini kulikuwa na madirisha kwenye vyumba ambavyo vilikuwa kama yale yaliyokuwa upande wa kaskazini. Aya iliyokuwa ndani ilikuwa na mlango kwenye kichwa chake, na njia ilifunguliwa kwenye vyumba tafauti. Upande mashariki kulikuwa na malango wa njia kwenye njia mwishoni.
13 Tedy rzekł do mnie: Komórki na północy, i komórki na południe, które są przed piętrem, są komórki święte, gdzie będą jadali kapłani, którzy przystępują do Pana, przynosząc rzeczy najświętsze; tam kłaść będą rzeczy najświętsze, i ofiary śniedne, i ofiary za grzech, i za występek; bo to miejsce święte jest.
Kisha yule mtu akanambia, “Vyumba vya kaskazini na vyumba vya kusini vilivyokuwa mbele ya ua wa nje ni vyumba vitakatifu amabapo makuhani wafanyao kazi karibu sana na Yahwe waweze kula chakula kitakatifu sana. Wataweka vitu vitakatifu sana-sadaka ya chakula, sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia-kwa kuwa hapa ni mahali patakatifu.
14 Tam gdy wnijdą kapłani, nie wynijdą z świątnicy do sieni zewnętrznej, ale tam zostawią odzienia swoje, w których służyli (bo święte jest) a obloką się w insze szaty, gdy będą mieli przystąpić do tego, co należy ludowi.
Wakati makuhani watakapoingia hapo, wasitoke nje ya mahali patakatifu kwa ua wa nje, bila kuweka mavazi karibu mahali wahudumupo, kwa kuwa hapa ni patakatifu. Hivyo watavalia mahali pengine nguo kabla ya kwenda karibu na watu.”
15 A gdy odprawił wymiar domu wewnętrznego, wywiódł mię drogą ku bramie, która idzie ku wschodowi, i wymierzył go wszędy w około.
Yule mtu akamaliza kupima ndani ya nyumba na kisha akanichukua nje ya lango lililokuwa limeelekea magharibi na kuzipima sehemu zote zilizokuwa zimepazunguka hapo.
16 Wymierzył stronę od wschodu słońca laską pomiaru na pięćset lasek laski pomiarowej w około.
Akaupima upande wa mashariki na fimbo ya kupimia-dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia.
17 Wymierzył też stronę północną na pięćset lasek laską pomiaru w około.
akaupima upande wa kaskazini-dhiraa mia tano na fimbo ya kupimia.
18 Także stronę od południa wymierzył na pięćset laską pomiaru.
Pia akaupima upande wa kusini dhraa mia tano na fimbo ya kupimia.
19 A obróciwszy się ku stronie zachodniej, wymierzył ją na pięćset lasek laską pomiaru.
Pia akageuka na kuupima upande wa magharibi dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia,
20 Na cztery strony wymierzył to, to jest mur zewsząd w około, długość na pięćset, a szerokość także na pięćset lasek, aby się dzieliło święte miejsce od pospolitego.
Akaipima pande nne. Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa mia tano urefu, na dhiraa mia tano upana, kulitenganisha umbo takatifu kutoka ambapo ni pa kawada.