< Ezechiela 18 >

1 I stało się słowo Pańskie do mnie, mówiąc:
Neno la Yahwe likanijia tena, kusema,
2 Cóż wam po tem, iż używacie tej przypowieści o ziemi Izraelskiej mówiąc: Ojcowie jedli jagodę cierpką, a synów zęby drętwieją.
“Je mnamaana gani, ninyi mliotumia hii mithali kuhusiana na nchi ya Israeli na kusema, 'Wababa wamekula zabibu mbichi, na meno ya watoto imetiwa ganzi'?
3 Jako żyję Ja, mówi panujący Pan, że wy nie będziecie więcej mogli używać tej przypowieści w Izraelu.
Kama nishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-bila shaka hakutakuwa na fursa yoyote tena kwa ajili yenu kuitumia hii mithali katika Israeli.
4 Oto dusze wszystkie moje są, jako dusza ojcowska tak i dusza synowska moje są; dusza, która grzeszy, ta umrze.
Tazama! Kila uhai ni mali yangu-uhai wa baba na uhai wa mwana pia, ni mali yangu! roho itendayo dhambi ndiyo itakayokufa!
5 Bo byłliby mąż sprawiedliwy, a czyniłby sąd i sprawiedliwość,
Itasemwaje kuhusu mtu mwenye haki na achukuaye yaliyo halali na haki-
6 Któryby na górach nie jadał, a oczówby swych nie podnosił do plugawych bałwanów domu Izraelskiego, a żonyby bliźniego swego nie zmazał, i do niewiasty dla nieczystoty oddalonej nie przystąpił;
kama asipokula juu ya milima au kuinua macho yake kwa sananmu za nyumba ya Israeli, na hakumnajisi mke wa jirani yake, wala kumsemesha mwanamke katika kipindi chake cha mwezi, je! Yu mwenye haki?
7 Któryby nikogo nie uciskał, zastawby dłużnikowi swemu wracał, cudzegoby gwałtem nie brał, chlebaby swego łaknącemu udzielał, a nagiegoby szatą przyodziewał;
Je! Itasemwaje kuhusu mtu ambaye hakumkandamiza yeyote, na kumrudisha mdeni wake kwa kile kilichokuwa kimewekwa kwa ajili ya rehani, na hakuiba lakini kuwapatia chakula wenye njaa na kuwafunika uchi kwa nguo, je yu mwenye haki?
8 Któryby na lichwę nie dawał, i płatuby nie brał, od nieprawościby odwracał rękę swoję, a sądby sprawiedliwy czynił między mężem a mężem;
Je! Itasemwaje kuhusu mtu ambaye hakuchukua faida kubwa kwa ile pesa aliyokopa, na hakuchukua faida kubwa kwa kile alichokiuza?
9 Któryby w ustawach moich chodził, a sądówby moich przestrzegał, czyniąc, co jest prawego: ten sprawiedliwy pewnie żyć będzie, mówi panujący Pan.
Amesemwa kwamba amechukua yaliyo halali na kuimarisha uaminifu kati ya watu. Kama huyo mtu akitembea katika sheria zangu na kuzishika hukumu zangu kufanya kwa uaminifu, kisha ahadi kwa ajili ya mtu mwenye haki ni hii: Ataishi hakika! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
10 A gdyby spłodził syna łotra, krew wylewającego, któryby czemkolwiek z tych rzeczy bratu szkodził,
Lakini akizaa mwana mnyang'anyi mmwaga damu na kufanya mengi katika haya mambo kama yalivyotajwa hapa,
11 A tegoby wszystkiego nie czynił, owszemby i na górach jadał, i żonęby bliźniego swego zmazał,
hata kama baba yake hakufanya mojawapo katika haya mambo, lakini akala juu ya milima na akamnajisi mke wa jirani yake, Je! itasemwaje juu yake?
12 Ubogiegoby i nędznego uciskał, co cudzego jest, gwałtemby zabierał, zastawuby nie wracał, a do plugawych bałwanów podnosiłby oczy swoje, i obrzydliwościby czynił,
Huyu mtu huwakandamiza maskini na wahitaji, na huwakamata na kuwanyang'anya, na hawarudishii dhamana, na huyanua macho yake kwa sanamu na kufanya matendo maovu,
13 Na lichwęby dawał, i płat brał, izali żyć będzie? Nie będzie żył; ponieważ te wszystkie obrzydliwości czynił: śmiercią umrze, krew jego na nim będzie.
na hukopesha pesa kwa faida ya juu sana na kufanya faida kubwa juu ya anachokiuza, Je! huyo mtu ataishi? Hakika hataishi! Atakufa hakika na damu yake itakuwa juu yake kwa sababu amefanya haya mambo ya chuki.
14 A oto jeżeliby spłodził syna, któryby widział wszystkie grzechy ojca swego, które czynił, a widząc nie czyniłby tak;
Lakini Tazama! tuseme kuna mtu aliyezaa mwana, na mwana wake huona dhambi zote za baba yake alizozifanya, na kupitia kuziona, hakuyafanya hayo mambo.
15 Na górachby nie jadał, a oczówby swych nie podnosił do plugawych bałwanów domu Izraelskiego, żonyby bliźniego swego nie zmazał,
Huyo mwana hakula juu ya milima, na hakuinua macho yake kwa sanamu za nyumba ya Israeli, na hakumtia unajisi mke wa jirani yake, Je! itasemwaje juu yake?
16 I nikogoby nie uciskał, zastawuby nie zatrzymywał, a cudzegoby gwałtem nie brał, chlebaby swego łaknącemu udzielał, a nagiegoby szatą przyodział,
Yule mwana hakumkandamiza yeyote, au kutwaa dhamana, au kupoteza vitu, lakini badala yake kutoa chakula chake kwa wenye njaa na kuwafunika wenye uchi kwa nguo.
17 Od nieprawegoby odwrócił rękę swoję, lichwyby i płatu nie brał, sądyby moje czynił, w ustawachby moich chodził: ten nie umrze dla nieprawości ojca swego, ale pewnie żyć będzie.
Huyo mwana hakumkandamiza yeyote au au kuchukua faida ambayo ni ya juu sana au kufanya manufaa kwa ajili ya mkopo, lakini ameyashika maagizo yangu na kuenenda sawa sawa na sheria zangu; huyo mwana hatakufa kwa ajili ya dhambi za baba yake: Ataishi hakika!
18 Lecz ojciec jego, przeto, że czynił krzywdę, co jest cudzego, bratu gwałtem brał, a to, co jest dobrego, nie czynił w pośrodku ludu swego: przetoż oto umrze dla nieprawości swojej.
Baba yake, kwa kuwa aliwakandamiza wengine kwa nguvu nyingi na kumnyang'anya ndugu yake, na kufanya yasiyo mema miongoni mwa watu wake-tazama, atakufa katika uovu wake.
19 Ale mówicie: Czemuż? Izali nie poniesie syn nieprawości ojcowskiej? Gdy syn sąd i sprawiedliwość czyni, wszystkich ustaw moich strzeże i czyni je, pewnie żyć będzie.
Lakini ninyi husema, 'Kwa nini mwana asibebe uovu wa baba yake?' Kwa sababu mwana hubeba yaliyo halali na haki na kuzitunza amri zangu; huzifanya. Ataishi hakika!
20 Dusza, która grzeszy, ta umrze; ale syn nie poniesie nieprawości ojcowskiej, ani ojciec poniesie nieprawości synowskiej; sprawiedliwość sprawiedliwego przy nim zostanie, a niepobożność niepobożnego nań przypadnie.
Yule atendaye dhambi, ndiye ambaye atakufa. Mwana hatabeba uovu wa baba yake, na baba hatabeba uovu wa mwana wake. Haki ya yule atendaye haki itakuwa juu yakwe mwenyewe, na uovu wa mwenye uovu utakuwa juu yake mwenyewe.
21 A jeźliby się niepobożny odwrócił od wszystkich grzechów swoich, które czynił, a strzegłby wszystkich ustaw moich, i czyniłby sąd i sprawiedliwość, pewnie żyć będzie, nie umrze;
Lakini kama mwovu ageukapo kutoka dhambi zake zote alizofanya, na kuzitunza sheria zangu zote na kufanya yaliyo halali na haki, kisha hakika ataishi na hatakufa.
22 Żadne przestępstwa jego, których się dopuścił, nie będą mu przypominane; w sprawiedliwości swej, którąby czynił, żyć będzie.
Makosa yote aliyoyafanya hayatakumbukwa juu yake. Ataishi kwa hiyo haki aliyoitenda.
23 Azaż Ja się kocham w śmierci niepobożnego? mrwi panujący Pan. Izali nie raczej, gdy się odwróci od dróg swoich, aby żył?
Je! Nitafurahia juu ya kifo cha mwovu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-na sio katika kugeuka kwake kutoka njia yake ili kwamba aweze kuishi?
24 Ale jeźliby się odwrócił sprawiedliwy od sprawiedliwości swojej, a czyniłby nieprawość, czyniąc według wszystkich obrzydliwości, które czyni niezbożny, izali taki żyć będzie? Wszystkie sprawiedliwości jego, które czynił, nie będą wspominane; dla przestępstwa swego, które popełniał, i dla grzechu swego, którego się dopuścił, dla tych rzeczy umrze.
Lakini kama mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye haki yake na kufanya maovu na kutenda machukizo kama machukizo yote ambayo mtu mwovu afanyayo, basi ataishi? Haki yake yote aliyoifanya haitakumbukwa wakati atakaponisaliti katika uhaini wake. Hivyo atakufa katika dhambi alizofanya.
25 A iż mówicie: Nie prosta jest droga Pańska; słuchajcież teraz, o domie Izraelski! izali droga moja nie jest prosta? Izali drogi wasze nie są krzywe?
Lakini ninyi husema, 'Njia ya Bwana si sawa!' sikilizeni, nyumba ya Israeli! Je njia zangu haziko sawa? Je si njia ambazo haziko sawa?
26 Gdyby się odwrócił sprawiedliwy od sprawiedliwości swojej, a czyniąc nieprawość w temby umarł, dla nieprawości swojej, którą czynił, umrze.
Wakati mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye makosa yake, na kufanya maovu na kufa kwa sababu ya hayo, kisha atakufa katika uovu ambao alioufanya.
27 Ale gdyby się odwrócił niezbożny od niezbożności swojej, której się dopuścił, a czyniłby sąd i sprawiedliwość, ten duszę swoję zachowa.
Lakini wakati mtu mwovu ageukapo kutoka uovu wake alioufanya na kufanya yaliyo halali na haki, kisha ataulinda uhai wake.
28 Bo obaczywszy się odwrócił się od wszystkich występków swoich, których się dopuszczał, pewnie żyć będzie, nie umrze.
Kwa kuwa ameona na kugeuka kutokana na makosa yake yote ambayo aliyoyafanya. Hakika ataishi, na hatakufa.
29 A przecie mówi dom Izraelski: Nie prosta jest droga Pańska; izali drogi moje nie są proste, o domie Izraelski? Izali nie raczej drogi wasze są krzywe?
Lakini nyumba ya Israeli husema, 'Njia ya Bwana haiko sawa!' Ni namna gani njia zangu si sawa, nyumba ya Israeli? Ni njia zenu ndizo si sawa.
30 A przetoż każdego z was według dróg jego sądzić będę, o domie Izraelski! mówi panujący Pan. Nawróćcież się, a odwróćcie się od wszystkich występków waszych, aby wam nieprawość nie była na obrażenie.
Kwa hiyo nitamuhukumu kila mtu miongoni mwenu kulingana na njia zake, nyumba ya Israeli! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo. Tubuni na rudini kutoka kwenye makosa yenu yote ili kwamba wasiwe kikwazo cha uovu dhidi yenu.
31 Odrzućcie od siebie wszystkie przestępstwa wasze, którycheście się dopuszczali, a uczyńcie sobie serce nowe i ducha nowego. I przeczże macie umrzeć, o domie Izraelski?
Tupilia mbali makosa yenu yote mliyoyafanya; jifanyieni moyo mpya na roho mpya. Kwa nini mfe, nyumba ya Israeli?
32 Albowiem się Ja nie kocham w śmierci umierającego, mówi panujący Pan; nawróćcież się tedy, a żyć będziecie.
Kwa kuwa sifurahii kifo cha yule afaye-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo tubuni na muishi!”

< Ezechiela 18 >