< Ezechiela 15 >

1 Tedy się stało słowo Pańskie do mnie, mówiąc:
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 Synu człowieczy! cóż jest drzewo macicy winnej przeciwko wszelkiemu innemu drzewu, albo przeciwko latoroślom drzewa leśnego?
“Mwanadamu, je, ni vipi mti wa mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la mti mwingine wowote ndani ya msitu?
3 Izali wezmą z niego drzewo ku urobieniu czego? Izali urobią z niego kołek do zawieszania na nim jakiego naczynia?
Je, mti wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza chochote cha manufaa? Je, watu hutengeneza vigingi vya kuningʼinizia vitu kutokana na huo mti wake?
4 Oto ogniowi podane bywa na strawienie; gdy oba końce jego ogień strawi, a pośrodek jego ogore, azaż się na co przyda?
Nao baada ya kutiwa motoni kama nishati na moto ukateketeza ncha zote mbili na kuunguza sehemu ya kati, je, unafaa kwa lolote?
5 Oto póki było całe, nic nie mogło być z niego urobione; dopieroż gdy je ogień strawił, a spaliło się, na nic się więcej nie przyda.
Kama haukufaa kitu chochote ulipokuwa mzima, je, si zaidi sana sasa ambapo hauwezekani kufanyishwa chochote cha kufaa baada ya moto kuuchoma na kuuunguza?
6 Przetoż tak mówi panujący Pan: Jako jest drzewo macicy między drzewem leśnem, którem podał ogniowi na strawienie, takem podał obywateli Jeruzalemskich.
“Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kama nilivyoutoa mti wa mzabibu miongoni mwa miti ya msituni kuwa nishati kwa ajili ya moto, hivyo ndivyo nitakavyowatendea watu waishio Yerusalemu.
7 Bo postawię oblicze swoje przeciwko nim; z jednego ognia wyjdą, a drugi ogień strawi ich: i dowiecie się, żem Ja Pan, gdy postawię twarz swoję przeciwko nim,
Nitaukaza uso wangu dhidi yao. Ingawa watakuwa wameokoka kwenye moto, bado moto utawateketeza. Nami nitakapoukaza uso wangu dhidi yao, ninyi mtajua kwamba Mimi ndimi Bwana.
8 A podam ziemię ich na spustoszenie, przeto, iż się dopuścili przestępstwa, mówi panujący Pan.
Nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamekuwa si waaminifu, asema Bwana Mwenyezi.”

< Ezechiela 15 >