< Efezjan 2 >

1 I was ożywił, którzyście byli umarli w upadkach i w grzechach.
Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.
2 W którycheście niekiedy chodzili według zwyczaju świata tego i według książęcia, który ma władzę na powietrzu, ducha tego, który teraz jest skuteczny w synach niedowiarstwa. (aiōn g165)
Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala sasa watu wasiomtii Mungu. (aiōn g165)
3 Między którymi i my wszyscy obcowaliśmy niekiedy w pożądliwościach ciała naszego, czyniąc to, co się podobało ciału i myślom, i byliśmy z przyrodzenia dziećmi gniewu, jako i drudzy.
Na hata sisi sote tulikuwa kama wao; tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya tu mambo yale yaliyoipendeza miili na akili zetu. Kidunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.
4 Lecz Bóg, który jest bogaty w miłosierdziu, dla wielkiej miłości swojej, którą nas umiłował.
Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa mapendo yasiyopimika,
5 I gdyśmy byli umarłymi w grzechach, ożywił nas pospołu z Chrystusem, (gdyż łaską zbawieni jesteście)
hata, ingawa tulikuwa tumekufa kwa sababu ya dhambi, alitufanya hai pamoja na Kristo. Kwa neema ya Mungu ninyi mmeokolewa.
6 I pospołu z nim wzbudził, i pospołu z nim posadził na niebiesiech w Chrystusie Jezusie,
Kwa kuungana na Kristo Yesu, Mungu alitufufua pamoja naye, tukatawale pamoja naye mbinguni.
7 Aby okazał w przyszłych wiekach ono nader obfite bogactwo łaski swojej, z dobrotliwości swojej przeciwko nam w Chrystusie Jezusie. (aiōn g165)
Ndivyo alivyopenda kuonyesha kwa watu wa nyakati za baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana kwetu na Kristo Yesu. (aiōn g165)
8 Albowiem łaską jesteście zbawieni przez wiarę, i to nie jest z was, dar to Boży jest;
Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu.
9 Nie z uczynków, aby się kto nie chlubił.
Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
10 Albowiem czynem jego jesteśmy stworzeni w Chrystusie Jezusie ku uczynkom dobrym, które przedtem Bóg zgotował, abyśmy w nich chodzili.
Sisi ni viumbe vyake Mungu, na kwa kuungana na Kristo Yesu, alituumba kwa ajili ya kuishi maisha ya matendo mema aliyotutayarishia tuyatende.
11 Przetoż pamiętajcie, że wy niekiedy będąc poganami w ciele, którzyście byli zwani nieobrzezką od onych, których zwano obrzezką w ciele, która się ręką dzieje;
Ninyi mlio kwa asili watu wa mataifa mengine—mnaoitwa, “wasiotahiriwa” na Wayahudi ambao hujiita, “Waliotahiriwa,” (kwa sababu ya kile wanachoifanyia miili yao) —kumbukeni mlivyokuwa zamani.
12 Iżeście byli naonczas bez Chrystusa, oddaleni od społeczności Izraelskiej i obcymi od umów obietnicy, nadziei nie mający i bez Boga na świecie.
Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii ya Israeli; mlikuwa wageni na hamkuwa na sehemu yoyote katika lile agano la zile ahadi. Mlikuwa bila matumaini Mungu hapa duniani.
13 Ale teraz w Chrystusie Jezusie wy, którzyście niekiedy byli dalekimi, staliście się bliskimi przez krew Chrystusową,
Lakini sasa, kwa kuungana na Kristo Yesu, ninyi ambao hapo awali mlikuwa mbali, mmekaribishwa kwa njia ya damu yake Kristo.
14 Albowiem on jest pokojem naszym, który oboje jednem uczynił i średnią ścianę, która była przegrodą, rozwalił;
Maana Kristo mwenyewe ametuletea amani kwa kuwafanya Wayahudi na watu wa mataifa mengine kuwa jamii moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha na kuwafanya maadui.
15 Nieprzyjaźń, to jest zakon przykazań, który zależał w ustawach, skaziwszy przez ciało swoje, aby dwóch stworzył w samym sobie w jednego nowego człowieka, czyniąc pokój;
Aliiondoa ile Sheria ya Wayahudi pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo mbili aumbe jamii moja mpya katika umoja naye na hivyo kuleta amani.
16 I pojednał obydwóch w jednem ciele z Bogiem przez krzyż, zgładziwszy nieprzyjaźń przezeń.
Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu.
17 I przyszedłszy opowiedział pokój wam, którzyście dalekimi i którzyście bliskimi.
Basi, Kristo alikuja akahubiri Habari Njema ya amani kwenu ninyi watu wa mataifa mengine mliokuwa mbali na Mungu, na pia kwa Wayahudi ambao walikuwa karibu na Mungu.
18 Albowiem przezeń mamy przystęp obie strony w jednym Duchu do Ojca.
Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.
19 A przetoż już więcej nie jesteście gośćmi i przychodniami, ale spółmieszczaninami świętych i domownikami Bożymi.
Basi, ninyi si wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia pamoja na watu wa Mungu, na ni watu wa jamaa ya Mungu.
20 Zbudowani na fundamencie Apostołów i proroków, którego jest gruntownym węgielnym kamieniem sam Jezus Chrystus,
Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi.
21 Na którym wszystko budowanie wespół spojone rośnie w kościół święty w Panu;
Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu kwa ajili ya B wana.
22 Na którym też i wy się wespół budujecie, abyście byli mieszkaniem Bożem w Duchu Świętym.
Katika kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine, muwe makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake.

< Efezjan 2 >