< Kaznodziei 5 >

1 Strzeż nogi twojej, gdy idziesz do domu Bożego, a bądź skłonniejszym ku słuchaniu, niżeli ku dawaniu ofiar ludzi głupich; boć oni nie wiedzą, że źle czynią.
Linda mwenendo wako unapoenda kwenye nyumba ya Mungu. Nenda kule usikilize. Kusikiliza ni bora kuliko wapumbavu wanapotoa dhabihu wakati hawajuikuwa wanachofanya katika maisha ni kibaya.
2 Nie bywaj porywczy do mówienia, ani serce twoje prędkie na wymówienie słowa przed obliczem Bożem, albowiem Bóg jest na niebie, a ty na ziemi; przeto niech słów twoich mało będzie.
Usiwe mwepesi wa kuongea kwa mdomo wako, na usiufanye moyo wako kuleta jambo lolote kwa haraka mbele za Mungu. Mungu yuko mbinguni, lakini uko chini, kwa hiyo maneno yako yawe machache.
3 Bo jako sen przychodzi z wielkiej pracy, tak głos głupiego z wielu słów.
Kama una mambo mengi ya kufanya na kuhangaika, pengine utapata ndoto mbaya. Na pengine utaongea maneno mengi ya upumbavu.
4 Gdy co Bogu poślubisz, nie omieszkiwaj tego oddać, boć mu się głupi nie podobają; cokolwiek poślubisz, oddaj.
Ukiweka nadhili kwa Mungu, usichelewe kuifanya, kwa kuwa Mungu hafurahii upumbavu. Fanya kile ulichoapa utakifanya.
5 Lepiej jest nie ślubować, niżeli poślubiwszy co, nie oddać.
Ni bora kutokuweka nadhiri kuliko kuweka nadhiri ambayo usiyoiondoa.
6 Nie dopuszczaj ustom twoim, aby do grzechu przywodziły ciało twoje, ani mów przed aniołem, że to jest błąd. Przeczże masz Boga gniewać mową swą, któryby wniwecz obrócił sprawę rąk twoich?
Usiuruhusu mdomo wako kusababisha mwili wako kutenda dhambi. Usiseme kwa mtumwa wa kuhani, “Kile kiapo kilikuwa kwa makosa.” Kwani nini kumfanya Mungu akasirike kwa kuapa kwa uongo, kumchochea Mungu aharibu kazi ya mikono yako?
7 Bo gdzie jest wiele snów, tam i marności i słów wiele; ale się ty Boga bój.
Kwa kuwa katika ndoto nyingi, kama ilivyo katika maneno mengi, kuna mvuke ubatili. Hivyo mwogope Mungu.
8 Jeźli ucisk ubogiego, i zatrzymanie sądu i sprawiedliwości ujrzysz w której krainie, nie dziwuj się temu; bo wyższy wysokiego upatruje, a jeszcze wyżsi są nad nimi.
Unapomwona masikini akiteswa na kunyang'anywa haki na kutendewa vibaya katika jimbo lako, usishangae kama kwamba hakuna anaye fahamu, kwa sababu kuna watu katika mamlaka ambao hutazama, kuna hata walio juu yao.
9 Zabawa koło ziemi ma pierwsze miejsce u wszystkich; i król roli służy.
Kwa nyongeza uzalishaji wa ardhi ni kwa kila mmoja, na mfalme mwenyewe huchukua uzalishaji kutoka mashambani.
10 Kto miłuje pieniądze, nie nasyci się pieniędzy, a kto miłuje bogactwa, nie będzie miał pożytku. I toć jest marność.
Yeyote apendaye fedha hatatosheka na fedha, na yeyote apendaye utajiri mara zote hutaka zaidi. Huu pia ni mvuke.
11 Gdzie wiele majętności, wiele bywa tych, co ją jedzą. Cóż tedy za pożytek Panu z tego? jedno że na nie patrzy oczyma swemi.
Kadri mafanikio yanapoongezeka, ndivyo wanavyoongezeka watu wanaotumia. Kuna faida gani katika utajiri kwa mmiliki isipokuwa kuutazama kwa macho yake?
12 Słodki jest sen pracowitemu, chociaż mało, chociaż wiele jadł; ale nasycenie bogatego spać mu nie dopuści.
Usingizi wa mfanyakazi ni mtamu, kama anakula kidogo au sana, lakini utajiri wa mtu tajiri haumuruhusu yeye kulala vizuri.
13 Jest ciężka bieda, którąm widział pod słońcem; bogactwa zachowane na złe pana swego.
Kuna jambo baya zaidi ambalo nimeliona chini ya jua: mali iliyowekwa akiba na mwenye nayo, inamsababishia taabu mwenyewe.
14 Bo takowe bogactwo złą sprawą giną, a syn, którego spłodzi, nie będzie miał nic w rękach swych.
Wakati tajiri anapopoteza utajiri wake kwa bahati mbaya, mwana wake, ambaye amemzaa, habakiziwi chochote mikononi mwake.
15 Jako nagi wyszedł z żywota matki swojej, tak się wraca, jako był przyszedł, a nie odnosi nic z pracy swojej, coby miał wziąć w rękę swoję.
Kama mtu azaliwavyo uchi kutoka tumboni mwa mamaye, vivyo hivyo ataondoka katika maisha haya akiwa uchi. Hachukui chochote kutoka katika kazi yake.
16 A tak i toć jest ciężka bieda, że jako przyszedł, tak odejdzie. Cóż tedy za pożytek, że na wiatr pracował?
Jambo jingine baya kabisa, kama mtu alivyo kuja ni lazima aende vivyo hivyo. Hivyo ni faida gani mtu yeyote aipatayo katika kufanya kwa ajili ya upepo?
17 Dotego, że po wszystkie dni swoje w ciemności jadał z wielkim kłopotem, z boleścią i z gniewem.
Wakati wa siku zake anakula gizani na anafedheheshwa sana na magonjwa na hasira.
18 Toć jest, com ja obaczył, że dobra i osobliwa rzecz jest, jeść i pić, i używać dobrego ze wszystkiej pracy swej, którą człowiek podejmuje pod słońcem po wszystkie dni żywota swego, które mu dał Bóg; albowiem to jest dział jego.
Tazama, kile nilichokiona kuwa kizuri kufaaa ni kula na knywa na kufurahia faida kutoka katika kazi zetu zote, tuzifanyazo chini ya jua wakati wa siku za maisha haya ambayo Mungu ametupa. Kwa kuwa huu ni wajibu wa mtu.
19 A któremukolwiek człowiekowi dał Bóg majętność i bogactwo, i dał mu w moc, aby ich używał, i odbierał dział swój, a weselił się z pracy swojej: to jest dar Boży.
Yeyote ambaye Mungu amempa mali na utajiri na uwezo wa kupokea sehemu yake na kufurahi katika kazi yake hii ni zawadi kutoka kwa Mungu.
20 Bo nie będzie wiele pamiętał na dni żywota swego; przeto, że mu Bóg życzy wesela serca jego.
Kwa kuwa mara kadhaa hakumbuki siku za maisha yake, kwa sababu Mungu anamfanya kuhangaika na mambo ambayo anafurahia kuyafanya.

< Kaznodziei 5 >