< Kaznodziei 4 >

1 Potemem się obrócił i ujrzałem wszystkie uciski, które się dzieją pod słońcem, a oto widziałem łzy uciśnionych, którzy nie mają pocieszyciela, ani mocy, aby uszli rąk tych, którzy ich ciemiężą; a nie mają, mówię, pocieszyciela.
Kisha tena nikafikiri kuhusu mateso yote yaliyo chini ya jua. Tazama machozi ya watu walioteswa. Hakuna anaye mfariji kwa ajili yao. Nguvu iko katika mikononi mwa watesaji, lakini wateswaji hawana mfariji.
2 Dlategom ja umarłych, którzy już zeszli, więcej chwalił, niżeli żywych, którzy jeszcze aż dotąd żyją.
Hivyo nikawapongeza watu walio kufa, wale ambao tayari wamekufa, sio wanaoishi, wale ambao wako hai.
3 Owszem szczęśliwy jest nad tych obydwóch ten, który jeszcze nie był, który nie widział nic złego, które się dzieje pod słońcem.
Ingawa, bahati zaidi kuliko wote wawili ni yule ambaye hajaishi, yeye ambaye hajaona matendo yoyote mabaya ambayo yanafanyika chini ya jua.
4 Bom widział, że wszelaka praca i każde dzieło dobre jest ku zazdrosci jednych drugim. I toć jest marność i utrapienie ducha.
Kisha nikaona kwamba kila tendo la kazi na kila kazi ya utashi ikawa wivu wa jirani ya mtu. Huu pia ni mvuke na kujaribu kuchunga upepo.
5 Głupi składa ręce swe, a je ciało swoje.
Mpumbavu hukunja mikono yake na hafanyi kazi, hivyo chakula chake in mwili wake.
6 Lepsza jest pełna garść z pokojem, niżeli obie garści pełne z pracą i z udręczeniem ducha.
Lakini afadhari konzi ya faida pamoja na kazi ya haraka kuliko konzi mbili pamoja na kazi ambayo hujaribu kuuchunga upepo.
7 Znowu obróciwszy się ujrzałem drugą marność pod słońcem.
Kisha nikafikiri tena zaidi kuhusu ubatili, mvuke upoteao zaidi chini ya jua.
8 Jest kto samotny, niemając żadnego, ani syna, ani brata, a wżdy niemasz końca wszelakiej pracy jego, ani oczy jego mogą się nasycić bogactwem. Nie myśli: Komuż ja pracuję, tak że i żywotowi swemu ujmuję dobrego. I toć jest marność, i ciężkie udręc zenie.
Kuna aina ya mtu ambaye yuko peke yake. Hana mtu, hana mwana, wala ndugu. Hakuna mwisho wa kazi zake zote, na macho yake hayatosheki kwa kupata utajiri. Anashangaa, “Ninajishumbua na kuharibu furaha yangu kwa ajili ya nani?” Huu pia ni mvuke, hali mbaya.
9 Lepiej jest we dwóch być, niż jednemu; mają zaiste dobry pożytek z pracy swojej.
Watu wawili wanafanya vizuri zaidi ya mmoja; kwa pamoja wanaweza kupata malipo mazuri kwa ajili ya kazi yao.
10 Bo jeźli jeden upadnie, drugi podźwignie towarzysza swego. A tak biada samotnemu, gdyby upadł! bo nie ma drugiego, coby go podźwignął.
Kwa kuwa kama mmoja akianguka, mwingine anaweza kumwinua rafiki yake. Ingawa, huzuni humfuata yeye aliye peke yake anapoanguka kama hakuna mtu wa kumwinua.
11 Także będąli dwaj społu leżeć, zagrzeją się; ale jeden jakoż się zagrzeje?
Na kama wawili wakilala pamoja, wanaweza kupata joto, lakini mtu mmoja anawezaje kupata joto akiwa mwenyewe?
12 Owszem jeźliby kto jednego przemagał, dwaj mu się zastawią; a sznur troisty nie łacno się zerwie.
Mtu akiwa peke yake anaweza kushindwa nguvu, lakini wawili wanaweza kusimama katika shambulio, na kama ya nyuzi tatu haikatika upesi.
13 Lepszy jest chłopiec ubogi a mądry, niżeli król stary a głupi, który już nie umie przyjmować napominania.
Ni bora kuwa kijana masikini kuliko kuwa mfalme mzee na mpumbavu ambaye hajui jinsi ya kusikiliza maonyo.
14 Bo ów z więzienia wychodzi, aby królował, a ten i w królestwie swojem zubożeć może.
Hii ni kweli hata kama mtu mdogo anapokuwa mfalme kutoka gerezani, au hata kama alizaliwa masikini katika ufalme wake.
15 Widziałem wszystkich żyjących, którzy chodzą pod słońcem, że przestawali z chłopięciem, potomkiem onego, który miał nastąpić na królestwo po nim.
Ingawa, niliona kila mmoja aliye kuwa hai na kuzunguka chini ya jua wakijitia chini kwa kijana mdogo aliyeinuka kama mfalme.
16 Nie było końca niestatkowi wszystkiego ludu, którykolwiek był przed nimi; nie będąć się potomkowie cieszyć z niego. A tak i to jest marność, i utrapienie ducha.
Hakuna mwisho kwa watu wote wanaotaka kumtii mfalme mpya, lakini wengi wao hawatamsifu yeye. Hakika hali hii ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.

< Kaznodziei 4 >