< Amosa 3 >

1 Słuchajcie słowa tego, które mówi Pan przeciwko wam, synowie Izraelscy! przeciwko wszystkiemu rodzajowi, którym wywiódł z ziemi Egipskiej, mówiąc:
Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:
2 Tylkom was samych poznał ze wszystkich rodzajów ziemi; przetoż was nawiedzę dla wszystkich nieprawości waszych.
“Ni ninyi tu niliowachagua kati ya jamaa zote za dunia; kwa hiyo nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi zenu zote.”
3 Izali dwa społem pójdą nie zgodziwszy się?
Je, watu wawili hutembea pamoja wasipokubaliana kufanya hivyo?
4 Izali zaryczy lew w lesie, gdyby nie miał łupu? Izali wyda lwię głos swój z jaskini swojej, gdyby łapać nie miało?
Je, simba hunguruma katika kichaka wakati hana mawindo? Aweza kuvuma katika pango wakati ambao hajakamata chochote?
5 Izali ptak wpadnie w sidło na ziemi, gdyby sidła nie było? Izali będzie podniesione sidło z ziemi, gdyby nic nie uwięzło?
Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini ambapo hajategewa chambo? Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?
6 Izali się ludzie nie lękają, gdy trąba w mieście zabrzmi? izali jest w mieście co złego, którego by Pan nie uczynił?
Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari, watu hawatetemeki? Mji upatwapo na maafa, je, si Bwana amesababisha?
7 Zaiste nic nie czyni panujący Pan, chyba żeby objawił tajemnice swoję sługom swoim, prorokom.
Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
8 Lew ryczy, któżby się nie bał? Panujący Pan mówi, któżby nie prorokował?
Simba amenguruma: je, ni nani ambaye hataogopa? Bwana Mwenyezi ametamka: je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?
9 Obwołajcie w pałacach w Azocie i w pałacach ziemi Egipskiej, a mówcie: Zbierzcie się na góry Samaryi, a obaczcie wielkie zamięszania w pośrodku jej, i ucisk cierpiących w niej;
Tangazeni katika ngome za Ashdodi na katika ngome za Misri: “Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria; angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake, na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”
10 I że nie umieją czynić, co jest prawego, mówi Pan, zbierając na pałacach swoich skarby z zdzierstwa i z łupiestwa.
Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema, wale ambao hujilundikia nyara na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”
11 Przetoż tak mówi panujący Pan: Oto nieprzyjaciel około tej ziemi, a ten odejmie od ciebie siłę twoję, i rozchwycone będą pałace twoje.
Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: “Adui ataizingira nchi; ataangusha chini ngome zenu na kuteka nyara maboma yenu.”
12 Tak mówi Pan: Jako wyrywa pasterz z paszczęki lwiej dwa gnaty albo kęs ucha, tak wyrwani będą synowie Izraelscy, którzy mieszkają w Samaryi na stronie łoża, i na stronie pościeli.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba vipande viwili tu vya mfupa wa mguu au kipande cha sikio, hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa, wale wakaao Samaria kwenye kingo za vitanda vyao, na katika Dameski kwenye viti vyao vya fahari.”
13 Słuchajcie a oświadczajcie w domu Jakóbowym, mówi panujący Pan, Bóg zastępów.
“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
14 Bo dnia onego, którego Izraela nawiedzę dla przestępstwa jego, nawiedzę też ołtarze w Betel, i odcięte będą rogi ołtarza, tak, że na ziemię upadną;
“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake, nitaharibu madhabahu za Betheli; pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali na kuanguka chini.
15 I uderzę dom zimy o dom lata, a zginą domy z kości słoniowych, a domy zacne koniec wezmą, mówi Pan.
Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika, pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi; nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,” asema Bwana.

< Amosa 3 >