< Dzieje 27 >

1 A gdy skazano, żebyśmy płynęli do Włoch, oddano i Pawła, i niektóre inne więźnie setnikowi, imieniem Julijuszowi, roty Augustowej.
Ilipoamuliwa kwamba tunatakiwa tusafiri kwa maji kwenda Italia, walimkabidhi Paulo na wafungwa wengine kwa afisa mmoja wa jeshi la Kiroma aliyeitwa Julio, wa Kikosi cha Agustani.
2 Tedy wsiadłszy w okręt Adramiteński, mając płynąć podle krain Azyi, puścili się od brzegu, a był z nami Arystarchus, Macedończyk z Tesaloniki.
Tukapanda meli kutoka Adramitamu, ambayo ilikuwa isafiri kandokando ya pwani ya Asia. Hivyo tukaingia baharini. Aristaka kutoka Thesolanike ya Makedonia akaenda pamoja nasi.
3 A drugiego dnia przypłynęliśmy do Sydonu, kędy Julijusz ludzko się Pawłowi stawiwszy, pozwolił mu iść do przyjaciół, aby wczasu zażył.
Siku iliyofuata tukatua nanga katika mji wa Sidoni, ambapo Julio alimtendea Paulo kwa ukarimu na akamruhusu kwenda kwa rafiki zake kupokea ukarimu wao.
4 A stamtąd się puściwszy, przypłynęliśmy pod Cypr, dlatego że były wiatry przeciwne.
Kutoka hapo tukaenda baharini tukasafiri kuzunguka kisiwa cha Kipro ambacho kilikuwa kimeukinga upepo, kwa sababu upepo ulikuwa ukitukabili.
5 A przepłynąwszy ono morze, które jest podle Cylicyi i Pamfilii, przybyliśmy do Miry, miasta Licyjskiego.
Baada ya kuwa tumesafiri katika maji yaliyo karibu na Kilikia na Pamfilia, tukaja Mira, mji wa Lisia.
6 A tam setnik znalazłszy okręt Aleksandryjski, który płynął do Włoch, wsadził nas weń.
Pale yule afisa wa jeshi la Kiroma, akaikuta meli kutoka Alexandria ambayo ilikuwa isafiri kuelekea Italia. Akatupandisha ndani yake.
7 A gdyśmy przez wiele dni z wolna płynęli, a zaledwie przeciwko Knidowi przyjechali, przeto że nam wiatr nie dopuszczał, popłynęliśmy pod Kretę podle Salmonu.
Baada ya kuwa tumesafiri polepole kwa siku nyingi na hatimaye tukawa tumefika kwa taabu karibu na Kinidas, upepo haukuturuhusu tena kuelekea njia hiyo, hivyo tukasafiri kandokando ya kivuli cha Krete tukiukinga upepo, mkabala na Salmone.
8 A ledwie ją przeminąwszy, przyszliśmy na miejsce niektóre, które zowią piękne porty, od którego blisko było miasto Lasea.
Tukasafiri kandokando ya pwani kwa ugumu, mpaka tukafika mahali palipoitwa Fari Haveni ambayo iko karibu na mji wa Lasi.
9 A gdy czas niemały wyszedł, i już było niebezpieczne żeglowanie, przeto iż już był i post przeminął, napominał je Paweł,
Tulikuwa tumechukua muda mwingi sana, na muda wa mfungo wa Kiyahudi ulikuwa umepita pia, na sasa ilikuwa ni hatari kuendelea kusafiri. Hivyo Paulo akatuonya,
10 Mówiąc do nich: Mężowie! widzę ja, iż z ukrzywdzeniem i z wielką szkodą nie tylko towarów i okrętów, ale też i dusz naszych będzie to żeglowanie.
na kusema, “Wanaume, naona safari ambayo tunataka tuichukue itakuwa na madhara na hasara nyingi, siyo tu ya mizigo na meli, lakini pia ya maisha yetu.”
11 Jednak setnik więcej ufał sprawcy okrętu i sternikowi, niż temu, co Paweł powiadał.
Lakini afisa wa jeshi la Kiroma akamsikiliza zaidi bwana wake na mmiliki wa meli, kuliko mambo yale ambayo yalizungumzwa na Paulo.
12 A gdy nie było portu sposobnego ku zimowaniu, wiele ich radę dawało puścić się stamtąd, owaby jakożkolwiek mogli przeprawiwszy się do Fenicyi, przezimować u portu Kreteńskiego, który leży między wiatrem południowym i zachodnim.
Kwa sababu bandari haikuwa sehemu rahisi kukaa wakati wa baridi, mabaharia wengi wakashauri tusafiri kutoka pale, ili kwa namna yoyote tukiweza kuufikia mji wa Foinike, tukae pale wakati wa baridi. Foinike ni bandari huko Krete, na inatazama kaskazini mashariki na kusini mashariki.
13 A gdy powionął wiatr z południa, mniemając, że swego przedsięwzięcia dopięli, puściwszy się od brzegu, płynęli blisko Krety.
Upepo wa kusini ulipoanza kuvuma polepole, mabaharia wakafikiri wamepata kile ambacho walikuwa wanakihitaji. Wakang'oa nanga na kusafiri kandokando ya Krete karibu na pwani.
14 Lecz niedługo potem uderzył na nie wiatr gwałtowny, który zowią Euroklidon.
Lakini baada ya muda mfupi upepo mkali, ulioitwa Wa kaskazini mashariki, ukaanza kutupiga kutoka ng'ambo ya kisiwa.
15 A gdy był okręt porwany, a nie mógł się oprzeć wiatrowi, puściwszy się płynęliśmy.
Wakati meli ilipolemewa na kushindwa kuukabili upepo, tukakubaliana na hali hiyo, tukasafirishwa nao.
16 A gdyśmy pod niektórą małą wysepkę przypłynęli, którą zowią Klauda, ledwieśmy mogli bacik zatrzymać.
Tukakimbia kupitia ule upande uliokuwa unaukinga upepo wa kisiwa kiitwacho Kauda; na kwa taabu sana tulifanikiwa kuuokoa mtumbwi.
17 Który wciągnąwszy, ratunku używali, podpasawszy okręt, a bojąc się, żeby nie wpadł na hak, spuściwszy żagle, tak płynęli.
Baada ya kuwa wameivuta, walitumia kamba kuifunga meli. Waliogopa kwamba tungeweza kwenda kwenye eneo la mchanga mwingi la Syiti, hivyo wakashusha nanga na waliendeshwa kandokando.
18 A iż nami nawałności bardzo miotały, nazajutrz towary wyrzucili.
Tulipigwa kwa nguvu sana na dhoruba, hivyo siku iliyofuata mabaharia wakaanza kutupa mizigo kutoka melini.
19 A trzeciego dnia rękami naszemi okrętowe naczynia wyrzuciliśmy.
Siku ya tatu, mabaharia wakaanza kuyatoa maji kwa mikono yao wenyewe.
20 Lecz gdy się ani słońce, ani gwiazdy przez wiele dni nie ukazały, a nawałność niemała nalegała, na ostatek odjęta była wszystka nadzieja, żebyśmy byli mogli być zachowani.
Wakati ambapo jua na nyota hazikutuangazia kwa siku nyingi, bado dhoruba kubwa ilitupiga, na matumaini kwamba tungeokolewa yalitoweka.
21 A gdyśmy długo nie jedli, tedy Paweł stojąc w pośrodku ich rzekł: Mieliście zaprawdę, o mężowie! usłyszawszy mię, nie puszczać się od Krety, a tak ujść tej straty i zguby.
Baada ya kuwa wameenda muda mrefu bila chakula, hapo Paulo akasimama katikati ya mabaharia akasema, “Wanaume, mlipaswa mnisikilize, na tusingengo'a nanga kutoka Krete, ili kupata haya madhara na hasara.
22 Lecz i teraz napominam was, abyście byli dobrej myśli; boć nie zginie z was żadna dusza, oprócz okrętu.
Na sasa nawafariji mjitie moyo, kwa sababu hakutakuwa upotevu maisha kati yenu, isipokuwa hasara ya meli tu.
23 Albowiem stanął przy mnie tej nocy Anioł Boga tego, któregom ja jest i któremu służę;
Kwa sababu usiku uliopita malaika wa Mungu, ambaye huyo Mungu mimi ni wake, na ambaye ninamwabudu pia - malaika wake alisimama pembeni mwangu
24 Mówiąc: Nie bój się, Pawle! musisz stawiony być przed cesarzem, a oto darował ci Bóg wszystkich, którzy płyną z tobą.
na kusema, “Usiogope Paulo. Lazima usimame mbele ya Kaisari, na tazama, Mungu katika wema wake amekupa hawa wote ambao wanasafiri pamoja nawe.
25 Przetoż bądźcie dobrej myśli, mężowie! albowiem wierzę Bogu, że tak będzie, jako mi powiedziano.
Hivyo, wanaume, jipeni moyo, kwa sababu namwamini Mungu, kwamba itakuwa kama nilivyoambiwa.
26 A musimy opaść na niektórej wyspie.
Lakini lazima tuumie kwa kupigwa katika baadhi ya visiwa.”
27 A gdy przyszła noc czternasta, a myśmy się błąkali po morzu Adryjatyckiem, około północy zdało się żeglarzom, iż się im okazywała niektóra kraina.
Ulipofika usiku wa kumi na nne, tulipokuwa tukiendeshwa huko na huko kwenye bahari ya Adratik, kama usiku wa manane hivi, mabaharia walifikiri kwamba wamekaribia nchi kavu.
28 Tedy spuściwszy sznur z ołowiem, znaleźli głębiej dwadzieścia sążni; a maluczko odpłynąwszy, zasię spuścili ołów i znaleźli piętnaście sążni.
Walitumia milio kupima kina cha maji na wakapata mita thelathini na sita, baada ya muda mfupi wakapima tena wakapata mita ishirini na saba.
29 A bojąc się, aby snać na miejsca ostre nie wpadli, zrzuciwszy cztery kotwice z steru, pragnęli, aby dzień był.
Waliogopa kwanza tunaweza kugonga miamba, hivyo wakashusha nanga nne kutoka katika sehemu ya kuwekea nanga na wakaomba kwamba asubuhi ingekuja mapema.
30 A gdy żeglarze myślili z okrętu uciec i spuścili bacik na morze, chcąc rzekomo od przodku okrętu zarzucać kotwice,
Wale mabaharia walikuwa wanatafuta namna ya kuitelekeza ile meli na walizishusha majini boti ndogo ndogo za kuokolea maisha, na wakajifanya kwamba wanatupa nanga kutoka sehemu ya mbele ya boti.
31 Rzekł Paweł setnikowi i żołnierzom: Jeźli ci nie zostaną w okręcie, wy zachowani być nie możecie.
Lakini Paulo akamwambia yule askari wa jeshi la Kiroma na wale askari, “Hamuwezi kuokoka isipokuwa hawa watu wanabaki kwenye meli”.
32 Tedy żołnierze obcięli powrozy u bacika i dopuścili mu odpaść.
Kisha wale askari wakakata kamba za ile boti na ikaachwa ichukuliwe na maji.
33 A między tem niż się rozedniało, napominał Paweł wszystkie, aby pokarm przyjęli, mówiąc: Dziś temu czternasty dzień, jako czekając trwacie bez pokarmu, nic nie jedząc.
Wakati mwanga wa asubuhi ulipokuwa unajitokeza, Paulo akawasihi wote angalau wale kidogo. Akasema, “Hii ni siku ya kumi na nne mnasuburi bila kula, hamjala kitu.
34 Dlatego proszę was, abyście pokarm przyjęli; bo to służy ku zachowaniu waszemu, gdyż żadnego z was włos z głowy nie spadnie.
Hivyo nawasihi mchukue chakula kidogo, kwa sababu hii ni kwa ajili ya kuishi kwenu; na hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
35 A to rzekłszy i chleb wziąwszy, podziękował Bogu przed wszystkimi i złamawszy począł jeść.
Alipokwisha kusema hayo, akachukua mkate akamshukuru Mungu mbele ya macho ya kila mtu. Kisha akaumega mkate akaanza kula.
36 Zatem wszyscy będąc lepszej myśli i sami pokarm przyjmowali.
Kisha wote wakatiwa moyo na wao wakachukua chakula.
37 A było nas wszystkich dusz w okręcie dwieście siedmdziesiąt i sześć.
Tulikuwa watu 276 ndani ya meli.
38 Będąc tem pokarmem nasyceni, ulżenie czynili okrętowi, wyrzucając zboże w morze.
Walipokwisha kula vya kutosha, waliifanya meli nyepesi kwa kutupa ngano ndani ya bahari.
39 A gdy był dzień, nie poznali ziemi; wszakże obaczyli niejaką odnogę mającą brzeg, do którego uradzili jeźliby mogło być, przybić okręt.
Ilipokuwa mchana, hawakuitambua nchi kavu, lakini wakaona sehemu ya nchi kavu iliyoingia majini iliyokuwa na mchanga mwingi. wakajadiliana kama wanaweza kuiendesha meli kuelekea hapo.
40 A wyciągnąwszy kotwice, puścili się na morze; a rozpuściwszy zawiasy sterowe i podniósłszy żagiel po wietrze, mieli się do brzegu;
Hivyo wakazilegeza nanga wakaziacha baharini. Katika muda huo huo wakazilegeza kamba za tanga na wakaiinua sehemu ya mbele kuelekea kwenye upepo, hivyo wakaelekea kwenye hiyo sehemu ya mchanga mwingi.
41 Ale napadłszy na miejsce, które miało z obu stron morze, otrącili okręt; a przodek okrętu uwięznąwszy, został nie ruszając się, lecz zad rozbijał się od gwałtownych wałów.
Lakini wakaja mahali ambapo mikondo miwili ya maji inakutana, na meli ikaelekea mchangani. Na ile sehemu ya mbele ya meli ikakwama pale na haikuweza kutoka, lakini sehemu ya mbele ya meli ikaanza kuvunjika kwa sababu ya ukali wa mawimbi.
42 Tedy żołnierze radzili, aby więźnie pozabijali, iżby który wypłynąwszy nie uciekł.
Mpango wa wale askari ulikuwa ni kuwaua wafungwa, ili kwamba hakuna ambaye angeogelea na kutoroka.
43 Ale setnik chcąc zachować Pawła, pohamował je od tego przedsięwzięcia i rozkazał tym, którzy mogli pływać, aby się wprzód w morze puścili i na brzeg wyszli;
Lakini yule askari wa jeshi la Kiroma alitaka kumwokoa Paulo, hivyo akausimamisha mpango wao; na akawaamuru wale ambao wanaweza kuogelea, waruke kutoka melini kwanza na waende nchi kavu.
44 Inni zasię, niektórzy na deskach, a niektórzy na sztukach okrętu. I tak się stało, że wszyscy zdrowo wyszli na ziemię.
Kisha wanaume wengine watafuata, wengine juu ya vipande vya mbao na wengine juu ya vitu vingine kutoka kwenye meli. Kwa njia hii ikatokea kwamba wote tutafika salama nchi kavu.

< Dzieje 27 >