< II Królewska 19 >

1 A gdy to usłyszał król Ezechyjasz, rozdarł szaty swoje, a oblekł się w wór, i wszedł do domu Pańskiego;
Ikawa kuhusu kwamba wakati Mfalme Hezekia aliposikia taazrifa zao, akararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia, na kwenda kwenye nyumba ya Yahwe.
2 I posłał Elijakima, sprawcę domu swego, i Sobnę pisarza, i starsze z kapłanów, obleczone w wory, do Izajasza proroka, syna Amosowego.
Akamtuma Elkana, ambaye alikua msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna yule mwandishi, na wazee wa makuhani, wote walikuwa wamefunikwa na nguo za magunia, kwenda kwa Isaya mwana wa Amozi, yule nabii.
3 Którzy rzekli do niego: Tak mówi Ezechyjasz: Dzień utrapienia i łajania, i bluźnierstwa jest ten dzień; albowiem synowie przyszli aż do porodzenia, a siły niemasz ku rodzeniu.
Wakamwambia, “Hezekia wakisema, 'siku hii ni siku ya mateso, shutuma, na fedheha, kwa kuwa wakati umewadia watoto kuzaliwa, lakini hakuna nguvu ili wazaliwe.
4 Oby usłyszał Pan, Bóg twój, wszystkie słowa Rabsacesowe, którego przysłał król Assyryjski, pan jego, urągać Bogu żywemu! aby się pomścił onych słów, które słyszał Pan, Bóg twój. Przetoż uczyń modlitwę za te ostatki, które się znajdują.
Inaweza kuwa Yahwe Mungu wako atasikia maneno yote ya amiri jeshi mkuu, ambaye mfalme wa Ashuru bwana wake amemtuma kumkaidi Mungu aliye hai, naye atayakemea yale maneno ambayo Yahwe Mungu wako aliyasikia. Sasa inua maombi yako juu kwa ajili ya mabaki yaliyo bakia hapo.”'
5 Przyszli tedy słudzy króla Ezechyjasza do Izajasza.
Hivyo watumishi wa mfalme Hezekia wakaja kwa Isaya,
6 Którym odpowiedział Izajasz: Tak powiedzcie panu waszemu: To mówi Pan: Nie bój się tych słów, któreś słyszał, któremi mię lżyli słudzy króla Assyryjskiego.
na Isaya akawaambia, “Mwambieni bwana wenu: 'Yahwe asema hivi, “Usiyaogope maneno ambayo uliyoyasikia, pamoja na kwamba watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.
7 Oto Ja puszczę nań ducha, i usłyszy wieść, a wróci się do ziemi swojej, i położę go mieczem w ziemi jego.
Tazama, nitaweka roho ndani yake, na yamkini atasikia taarifa na kurudi kwenye nchi yake mwenyewe. Nitamfanya aanguke kwa upanga katika nchi yake mwenyewe."”'
8 Ale wróciwszy się Rabsaces znalazł króla Assyryjskiego dobywającego Lebny; albowiem usłyszał, iż odciągnął był od Lachys.
Kisha amiri jeshi mkuu akarudi na kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana dhidi ya Libna, kwa kuwa alisikia kwamba mfalme alikuwa ameenda kutoka Lakishi.
9 A usłyszawszy o Tyraku, królu Etyjopskim, że mówino: Oto wyciągnął na wojnę przeciwko tobie, znowu psłał posły do Ezechyjasza, mówiąc:
Kisha Senakeribu akasikia kwamba Tirhaka mfalme wa Kushi na Misri alihamasisha kupigana dhidi yake, hivyo akatuma wajumbe tena kwa Hezekia pamoja na ujumbe:
10 To powiedzcie królowi Ezechyjaszowi, królowi Judzkiemu, mówiąc: Niech cię nie zwodzi Bóg twój, któremu ty ufasz, a mówisz: Nie będzie podane Jeruzalem w ręce króla Assyryjskiego.
“Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda, 'Asikudanganye Mungu wako unayemwamini, kusema, “Yerusalemu haitawekwa kwenye mikono ya mikono ya mfalme wa Ashuru.”
11 Otoś słyszał, co poczynili królowie Assyryjscy wszystkim ziemiom, burząc je; a tybyś miał być wybawiony?
Tazama, umesikia kwamba wafalme wa Ashuru wamemaliza nchi zote kwa kuziharibu kabisa. Kwa hiyo je utaokoka?
12 Izali wybawili bogowie narodów te, które wygubili ojcowie moi, Gozan, i Haran, i Resef, i syny Eden, którzy byli w Telassar?
Je wale miungu wa mataifa wamewaokoa, mataifa ambao baba zangu waliyaharibu: Gozani, Harani, Resefu, na watu wa Edeni katika Telasari?
13 Gdzież jest król Emat, i król Arfad, i król miasta Sefarwaim, Ana i Awa?
Je yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme Arpadi, mfalme wa miji ya Sefarvaimu, wa Hena, na Iva?”'
14 Przetoż wziąwszy Ezechyjasz list z ręki posłów, przeczytał go, i wszedłszy do domu Pańskiego rozciągnął go Ezechyjasz przed Panem.
Hezekia akapokea hii barua kutoka wale wajumbe na kuisoma. Kisha akapanda hata kwenye nyumba ya Yahwe na kuukunjua mbele yake.
15 I modlił się Ezechyjasz przed Panem, mówiąc: Panie, Boże Izraelski, siedzący na Cherubinach! ty, tyś sam jest Bóg wszystkich królestw ziemi, tyś stworzył niebo i ziemię.
Kisha Hezekia akaomba mbele ya Yahwe na kusema, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, uketiye juu ya makerubi, wewe ni Mungu wa pekee juu ya tawala zote za dunia. Uliyeziumba mbingu na nchi.
16 Nakłońże, Panie! ucha twojego, a usłysz; otwórz, Panie! oczy twoje, a obacz; usłysz słowa Sennacheryba, który przysłał hańbić ciebie, Boga żywego.
Tega sikio lako, Yahwe, na usikie. Fungua macho yako, Yahwe, na tazama, na sikia maneno ya Senakeribu, ambayo ameyatuma kumdhihaki Mungu aliye hai.
17 Prawdać jest, Panie! że spustoszyli królowie Assyryjscy narody one, i ziemię ich.
Ni kweli, Yahwe, wafalme wa Ashuru ameyaharibu mataifa na nchi zao.
18 I powrzucali bogi ich w ogień; albowiem nie byli bogowie, ale robota rąk ludzkich, drewno, i kamień; przetoż je wygubili.
Wameiweka miungu yao kwenye moto, kwa kuwa hawakuwa miungu lakini ilikuwa kazi ya mikono ya watu, ilikuwa miti na mawe. Hivyo Waashuru wamewaharibu.
19 A teraz, Panie Boże nasz! wybaw nas proszę z ręki jego, aby poznały wszystkie królestwa ziemi, żeś ty, Panie! sam Bogiem.
Basi sasa, Yahwe Mungu wetu, tuokoe, nakusihi, kutoka kwenye nguvu zake, ili kwamba mamlaka zote za dunia zipate kujua yakwamba wewe, Yahwe, ndiye Mungu wa pekee.”
20 Tedy posłał Izajasz, syn Amosowy, do Ezechyjasza, mówiąc: Tak mówi Pan, Bóg Izraelski: O coś mię prosił z strony Sennacheryba, króla Assyryjskiego, wysłuchałem cię.
Kisha Isaya mwana wa Amozi akatuma ujumbe kwa Hezekia, akisema, “Yahwe, Mungu wa Israeli asema, 'Kwasababu umeomba kwangu kuhusiana na Senakeribu mfalme wa Ashuru, nimekusikia.
21 A teć są słowa, które mówił Pan o nim: Panna, córka Syońska, wzgardziła cię, śmiała się z ciebie, kiwała głową za tobą córka Jeruzalemska.
Hili ndilo neno ambalo Yahwe ameliongea kuhusu yeye: “Bikira binti Sayuni amekudharau na kukucheka kwa dharau. Binti wa Yerusalemu akatikisa kichwa juu yako.
22 Kogożeś hańbił, i kogo bluźnił? przeciwko komużeś podniósł głos, a wyniosłeś ku górze oczy swoje? przeciw Świętemu Izraelskiemu.
Je ni nani uliyemchokoza na kumtukana? Dhidi ya nani umeinua sauti yako na kuinua macho yako katika majivuno? Juu ya Mtakatifu wa Israeli!
23 Przez posły twoje hańbiłeś Pana mego, i rzekłeś: W mnóstwie wozów moich wstąpiłem na wysokie góry, i na strony Libańskie, i podrąbię wysokie cedry jego, i wyborne jodły jego, i przyjdę aż do ostatnich przybytków jego, do lasów, i wybornych ról jego.
Kupitia wajumbe wako wamemdharau Bwana, na kusema, 'Pamoja na wingi wa magari yangu ya farasi nimeenda juu ya vilele ya milima, hata juu ya kilele cha Lebanoni. Nitaikata mierezi mirefu na kuchagua miti ya mivinje huko. Nitaingia sehemu za makazi yake yaliyo mbali, msitu wake uzaao sana.
24 Jam wykopał źródła, i piłem wody cudze, a wysuszyłem stopami nóg moich wszystkie potoki oblężonych.
Nimechimba visima na kunywa maji mageni. Nimekausha mito yote ya Misri chini ya soli ya miguu yangu.'
25 Izażeś nie słyszał, żem ja zdawna uczynił a od dni starodawnych stworzyłem je? a teraz miałżebym na nie przywieść spustoszenie, i obrócić w gromady gruzu; jako insze miasta obronne?
Je hukusikia jinsi nilivyoagiza tangu zamani, na kuyafanya tangu siku za zamani? Sasa ninalileta kupita. Uko hapa kupunguza miji isiyoingilika kwenye rundo la maangamizi.
26 Których obywatele stali się jako bez rąk, przestraszeni są i zawstydzeni, bywszy jako trawa polna, i jako zioła zielone, i trawy po dachach, które pierwej schną, niż się dostają,
Makazi yao, ya nguvu kidogo, imevunjwa vunjwa na aibu. Wamekuwa mimea katika shamba, majani ya kijani, majani juu kwenye dari au kwenye shamba, lililochomwa kabla halijakua.
27 Mieszkanie twoje i wyjście twoje, i wejście twoje znam, także popędliwość twoję przeciwko mnie.
Lakini najua kuketi kwako chini, na kutoka kwako, kuingia kwako dhidi yangu.
28 Ponieważeś się przeciwko mnie zajuszył, a zapędy twoje przyszły do uszów moich, przetoż założę kolce moje za nozdrza twoje, a wędzidło moje wprawię w gębę twoję, i wrócę cię tą drogą, którąś przyszedł,
Kwasababu kiburi chako kimeyafikia masikio yangu, Nitaweka kulabu yangu kwenye pua yako, na hatamu yangu kwenye mdomo wako; nitakurudisha nyuma kwa njia ile ile uliyoijia.”
29 A to będziesz miał, Ezechyjaszu! za znak: Tego roku będziesz jadł samorodne zboże, i roku także drugiego samorodne zboże; ale roku trzeciego będziecie siać i żąć, i sadzić winnice i jeść owoc ich.
Hii ndiyo itakuwa ishara kwako: Mwaka huu mtakula vitu viotavyo porini, na katika mwaka wa pili vile vikuavyo katika huo. Lakini katika mwaka wa tatu ni lazima mpande na kuvuna, kupanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.
30 Ostatek bowiem domu Judy, który pozostał, wkorzeni się głęboko, i wyda owoc ku górze.
Mabaki ya nyumba ya Yuda ambayo yataokoka yatachukua tena mizizi na kuzaa matunda.
31 Albowiem z Jeruzalemu wynijdą ostatki, i ci, którzy są zachowani z góry Syońskiej. Gorliwość Pana zastępów to uczyni.
Kwa kuwa mabaki yatatoka Yerusalemu, kutoka Mlima Sayuni wenye kuokoka utakuja. Wivu wa Yahwe wa majeshi utafanya hivyo.
32 A przetoż tak mówi Pan o królu Assyryjskim: Nie wnijdzie do miasta tego, ani tam dojdzie strzała jego, ani go ubieży tarcza, ani usypie szańców około niego;
Kwa hiyo Yahwe asema hivi kuhusu mfalme wa Ashuru: “Hatakuja kwenye huu mji wala kupiga mshale hapa. Wala hatakuja mbele yake na ngao au kujenga boma dhidi yake.
33 Drogą, którą przyszedł, wróci się, a do miasta tego nie wnijdzie, mówi Pan.
Njia ile ile aliyoijia ndiyo njia atakayoondokea; hatoingia mji huu - hivi ndivyo asemavyo Yahwe.”
34 Bo będę bronił miasta tego, i zachowam je sam dla siebie, i dla Dawida, sługi mego.
Kwa maana nitaulinda huu mji na kuuokoa, kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”'
35 I stało się onej nocy, że wyszedł Anioł Pański, a pobił w obozie Assyryjskim sto ośmdziesiąt i pięć tysięcy. A gdy wstali rano, oto wszędy pełno trupów.
Ikawa kuhusu usiku huo ambao malaika wa Yahwe alitoka na kuvamia kambi ya Waashuru, akawaua maaskari 185, 000. Kisha watu wakaamka asubuhi na mapema, miili ya watu waliokuwa wamekufa ilikuwa imelala kila mahali.
36 Przetoż ruszywszy się odjechał i wrócił się Seneacheryb, król Assyryjski, a mieszkał w Niniwe.
Hivyo Senakeribu mfalme wa Ashuru akaondoka Israeli na kwenda nyumbani na kuishi katika Ninawi.
37 A gdy chwalił boga swego Nesrocha w domu, tedy Adramelech i Sarassar, synowie jego, zabili go mieczem, a sami uciekli do ziemi Ararat. I królował Assarhaddon, syn jego, miasto niego.
Baadaye, alipokuwa akiabudu kwenye nyumba ya Nisroki mungu wake, watoto wake Adramaleki na Shareza wakamuua kwa upanga. Kisha wakakimbilia kwenye nchi ya Ararati. Kisha Esarhodani mwanaye akawa mfalme katika mahali pake.

< II Królewska 19 >