< II Koryntian 1 >
1 Paweł, Apostoł Jezusa Chrystusa przez wolę Bożą, i Tymoteusz brat, zborowi Bożemu, który jest w Koryncie, ze wszystkimi świętymi, którzy są we wszystkiej Achai.
Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, na kwa waumini wote walioko katika mkoa wote wa Akaya.
2 Łaska niech będzie wam i pokój od Boga, Ojca naszego, i Pana Jezusa Chrystusa.
Neema na iwe kwenu na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
3 Błogosławiony niech będzie Bóg i Ojciec Pana naszego, Jezusa Chrystusa, Ojciec miłosierdzia a Bóg wszelkiej pociechy,
Na asifiwe Mungu na Baba wa Bwana Yesu Kristo. Yeye ni Baba wa rehema na Mungu wa faraja yote.
4 Który nas cieszy w każdym ucisku naszym, abyśmy i my cieszyć mogli i tych, którzy są w jakimkolwiek ucisku, tąż pociechą, którą my sami pocieszeni bywamy od Boga.
Mungu hutufariji sisi katika mateso yetu yote, ili kwamba tuweze kuwafariji wale walio katika mateso. Tunawafariji wengine kwa faraja ileile ambayo Mungu alitumia kutufariji sisi.
5 Gdyż jako w nas obfitują utrapienia Chrystusowe, tak przez Chrystusa obfituje i pociecha nasza.
Kwa kuwa kama vile mateso ya Kristo huongezeka kwa ajili yetu, vile vile faraja yetu huongezeka kupitia Kristo.
6 Bo choć bywamy uciśnieni, dla waszej to pociechy i zbawienia, które się sprawuje przez znoszenie tegoż utrapienia, które i my cierpimy; choć też pocieszeni bywamy, i to dla waszej pociechy i zbawienia;
Lakini kama tunataabishwa, ni kwa ajili ya faraja yenu na wokovu wenu. Na kama tunafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu. Faraja yenu inafanya kazi kikamilifu mnaposhiriki mateso kwa uvumilivu kama sisi pia tunavyoteseka.
7 A nadzieja nasza mocna jest o was, ponieważ wiemy, iż jakoście uczestnikami utrapienia, tak i pociechy.
Na ujasiri wetu juu yenu ni thabiti. Tunajua kwamba kama vile ambavyo mnashiriki mateso, vile vile mnashiriki faraja.
8 Albowiem nie chcemy, abyście nie mieli wiedzieć, bracia! o ucisku naszym, który nas spotkał w Azyi, iżeśmy nazbyt byli obciążeni i nad możność, tak iżeśmy byli poczęli wątpić i o żywocie.
Kwa kuwa hatutaki ninyi muwe wajinga, ndugu, kuhusu matatizo tuliyokuwa nayo huko Asia. Tulionewa zaidi ya vile tuwezavyo kubeba, kana kwamba hatukuwa hata na tumaini la kuishi tena.
9 Owszem i sami w sobie mieliśmy wyrok śmierci, abyśmy nie ufali sami w sobie, ale w Bogu, który wzbudza umarłych;
Kweli, tulikuwa na hukumu ya kifo juu yetu. Lakini hiyo ilikuwa ni kutufanya sisi tusiweke tumaini juu yetu wenyewe, badala yake tuweke tumaini katika Mungu, afufuaye wafu.
10 Który z tak wielkiej śmierci wyrwał nas i jeszcze wyrywa, w którym nadzieję mamy, iż i napotem wyrwie;
Alituokoa sisi kutoka hayo maafa ya mauti, na atatuokoa tena. Tumeweka ujasiri wetu katika yeye ya kwamba atatuokoa tena.
11 Zwłaszcza gdy się też i wy pomożecie modlić za nami, aby za ten dar, który przez wiele osób nam jest pokazany, były też od wielu osób dzięki czynione za nas.
Atafanya hivi kama vile ninyi pia mtusaidiavyo kwa maombi yenu. Hivyo wengi watatoa shukurani kwa niaba yetu kwa ajili ya upendeleo wa neema tuliyopewa sisi kupitia maombi ya wengi.
12 Albowiem toć jest chluba nasza, świadectwo sumienia naszego, żeśmy w prostocie i w szczerości Bożej, nie w cielesnej mądrości, ale w łasce Bożej na świecie obcowali, a najwięcej między wami.
Tunajivunia hili: ushuhuda wa dhamiri yetu. Kwa kuwa ni katika nia safi na usafi wa Mungu kwamba tulienenda wenyewe katika dunia. Tumefanya hivi hasa na ninyi, na sio katika hekima ya ulimwengu, lakini badala yake ni katika neema ya Mungu.
13 Albowiem nic inszego wam nie piszemy, tylko to, co czytacie, albo też poznawacie, a spodziewam się, iż też aż do końca poznacie,
Hatuwaandikii chochote ambacho hamwezi kukisoma au kuelewa. Ninaujasiri
14 Jakoście też nas poznali po części, żeśmy chlubą waszą, jako i wy naszą w dzień Pana Jezusa.
kwamba kwa sehemu mumekwisha kutuelewa. Na ninaujasiri kwamba katika siku ya Bwana Yesu tutakuwa sababu yenu kwa ajili ya kiburi chenu, kama vile mtakavyokuwa kwetu.
15 I z tąć ufnością chciałem był iść do was najpierwej, abyście wtóre dobrodziejstwo odebrali;
Kwa sababu nilikuwa na ujasiri kuhusu hili, nilitaka kuja kwenu kwanza, ili kwamba muweze kupokea faida ya kutembelewa mara mbili.
16 I przez was iść do Macedonii, i zasię z Macedonii przyjść do was, i od was być odprowadzony do Judzkiej ziemi.
Nilikuwa napanga kuwatembelea wakati nikielekea Makedonia. Tena nilitaka kuwatembelea tena wakati nikirudi kutoka Makedonia, na kisha ninyi kunituma mimi wakati nikielekea Uyahudi.
17 O tem tedy myśląc, izalim co lekkomyślnie uczynił? albo to, o czem myślę, izali według ciała myślę, aby było u mnie: Tak tak i Nie nie?
Nilipokuwa nafikiria namna hii, je, nilikuwa nasitasita? Je ninapanga mambo kulingana na viwango vya kibinadamu, ili kwamba niseme “Ndiyo, ndiyo” na “Hapana, hapana” kwa wakati mmoja?
18 Aleć wierny jest Bóg, iż mowa nasza do was nie była: Tak i Nie.
Lakini kama vile Mungu alivyo mwaminifu, hatusemi vyote “Ndiyo” na “Hapana.”
19 Albowiem Syn Boży, Jezus Chrystus, który między wami przez nas jest opowiadany, to jest, przez mię i przez Sylwana, i przez Tymoteusza, nie był: Tak i Nie; ale Tak w nim było.
Kwa kuwa mwana wa Mungu, Yesu Kristo, ambaye Silvano, Timotheo na mimi tulimtangaza miongoni mwenu, siyo “Ndiyo” na “Hapana.” Badala yake, yeye wakati wote ni “Ndiyo.”
20 Bo ile jest obietnic Bożych, w nim są Tak i w nim są Amen, ku chwale Bożej przez nas.
Kwa kuwa ahadi zote za Mungu ni “Ndiyo” katika yeye. Hivyo pia kupitia yeye tunasema “Amina” kwa utukufu wa Mungu.
21 Ale ten, który nas utwierdza z wami w Chrystusie i który nas pomazał, Bóg jest;
Sasa ni Mungu ambaye hututhibitisha sisi pamoja nanyi katika Kristo, na alitutuma sisi.
22 Który też zapieczętował nas i dał zadatek Ducha w serca nasze.
Aliweka muhuri juu yetu na alitupa Roho katika mioyo yetu kama dhamana ya kile ambacho angetupatia baadaye.
23 Aleć ja Boga przyzywam na świadectwo na duszę moję, iż szanując was, dotądem nie przyszedł do Koryntu;
Badala yake, namsihi Mungu kunishuhudia mimi kwamba sababu iliyonifanya nisije Korintho ni kwamba nisiwalemee ninyi.
24 Nie iżbyśmy panowali nad wiarą waszą, ale iż jesteśmy pomocnikami wesela waszego; bo wiarą stoicie.
Hii sio kwa sababu tunajaribu kudhibiti jinsi imani yenu inavyotakiwa kuwa. Badala yake, tunafanya pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kama mnavyosimama katika imani yenu.