< II Kronik 23 >

1 A siódmego roku zmocniwszy się Jojada, zaciągnął rotmistrzów, Azaryjasza, syna Jerohamowego, i Ismaela, syna Johananowego, i Azaryjasza, syna Obedowego, i Maasajasza, syna Adajaszowego, i Elizafata, syna Zychry, z sobą w przymierze.
Katika mwaka wa sa saba, Yehoyada alionesha nguvu zake na akaingia katika agano na maakida wa mamia, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
2 Którzy obchodząc Judzką ziemię zebrali Lewitów ze wszystkich miast Judzkich, i przedniejszych z domów ojcowskich w Izraelu, a przyszli do Jeruzalemu.
Wakaenda katika Yuda na kuwakusanya Walawi kutoka miji yote ya Yuda, vile vile na wakuu wa nyumba za mababu wa Israeli, na wakaja hadi Yerusalemu.
3 I uczyniło wszystko zgromadzenie przymierze w domu Bożym z królem; bo im był rzekł Jojada: Oto syn królewski będzie królował, jako powiedział Pan o synach Dawidowych.
Kusanyiko lote wakafanya aganao na mfalme katika nyumba ya Mungu. Yehoyada akawaambia, “Ona, mwana wa mfalme atatawala, kama Yahwe alivyosema kuhusu uzao wa Daudi.
4 Toć jest co uczynicie: Trzecia część z was, którzy przychodzicie w sabat z kapłanów i z Lewitów, będzie odźwiernymi w bramach.
Hivi ndivyo mtakavyo fanya: theluthi yenu makuhani na Walawi ambao huja kuhudumu siku ya Sabato, mtakuwa walinzi katika milango.
5 A trzecia część będzie w domu królewskim, a trzecia część w bramie fundamentu; ale wszystek lud zostanie w sieniach domu Pańskiego.
Theluthi nyingine mtakuwa katika nyumba ya mfalme, na theluthi nyingine mtakuwa katika Msingi wa Lango. Watu wote watakuwa katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
6 A niechaj nikt nie wchodzi w dom Pański, tylko kapłani, a usługujący Lewitowie; ci niechaj wchodzą, albowiem są poświęceni; ale wszystek inny lud niech trzyma straż Pańską.
Msimruhusu yeyote kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, isipokuwa makuhani na Walawi wanaoatumika. Wao wanaweza kuingia kwa sababu inawahusu.
7 I obstąpią Lewitowie króla zewsząd, mając każdy broń swą w ręce swej; a ktobykolwiek wszedł w dom, niech będzie zabity; a bądźcie przy królu, gdy będzie wchodził, i gdy będzie wychodził.
Lakini watu wengine wote lazima mtii amri ya Yahwe. Walawi lazima wamzunguke mfalme pande zote, kila mtu na silaha zake mkononi mwake. Yeyote atakayeingia katika nyumba, atauawa. Kaeni na mfalme aingiapo ndani na atokapo nje.”
8 I uczynili Lewitowie, i wszystek lud Judzki, według wszystkiego, co był rozkazał Jojada kapłan; i wziął każdy mężów swych, którzy przychodzili w sabat i którzy odchodzili w sabat, bo był nie rozpuścił Jojada kapłan pocztów ich.
Kwa hiyo Walawi na Yuda wote walitumika kwa kila njia kama katika namna ambayo Yehoyada kuhani aliwaamuru. Kila mmoja alichukua watu wake, wale waliotakiwa kuja ndani kuhudumu katika Sabato, na wale watakaoondoka siku ya Sabato, kwa maana
9 I rozdał Jojada kapłan rotmistrzom włócznie, i tarcze, i puklerze, które były króla Dawida, które były w domu Bożym.
Yehoyada, kuhani, hakuwa amezuilia mojawapo ya zamu zao. Kisha Yeliyadaya, kuhani, akaleta kwa maakida mikuki na ngao ndogo na kubwa zilizokuwa za mfalme Daudi ambazo zilikuwa katika nyumba ya Mungu.
10 Postawił też wszystek lud; a każdy miał broń w ręce swej, od prawej strony domu, aż do lewej strony domu przeciwko ołtarzowi, i domowi, około króla zewsząd.
Yehoyada akawaleta wanajeshi wote, kila mtu na mkuki wake katika mkono wake, upande wa kulia wa hekalu hadi upande wa kushoto wa hekalu, pembeni mwa madhabahu na hekalu, wakimzunguka mfalme.
11 Zatem wywiedli syna królewskiego, i włożyli nań koronę i świadectwo, a postanowili go królem; i pomazali go Jojada i synowie jego, i mówili: Niech żyje król!
Kisha wakamleta nje mwana wa mfalme, wakaiweka taji juu yake, na kumpa agano la sheria. Kisha wakamfanya mfalme, na Yehoyda na wanaye wakampaka mafuta. Kisha wakasema, “Aishi maisha marefu mfalme.”
12 Wtem usłyszawszy Atalija krzyk zbiegającego się ludu, i chwalącego króla, weszła do ludu do domu Pańskiego.
Athalia aliposikia kele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akatoka ili awaone watu katika nyumba ya Yahwe.
13 A gdy ujrzała, że król stał na majestacie swoich w wejściu, i książęta i trąby około króla, i wszystek lud onej ziemi weselący się, i trąbiący w trąby, i śpiewaki z instrumentami muzycznemi, i tych, którzy zaczynali śpiewanie, tedy rozdarła Atalij a szaty swoje, mówiąc: Sprzysiężenie! sprzysiężenie!
na akaangalia, na, tazama, mfamle alikuwa amesimama karibu na nguzo yake katika lango la, kuingilia na maakida na wapuliza tarumbeta walikuwa karibu na mfame. Watu wote wa nchi walikuwa wakifurahia na kupuliza tarumbeta na waimbaji walikuwa wakipiga vyombo vya muziki na kuongoza nyimbo za kusifu. Kisha Athalia akayararua mavazi yake na kupiga kelele. “Fitina! Fitina!”
14 Przetoż rozkazał wynijść Jojada kapłan rotmistrzom i hetmanom wojska, i rzekł do nich: Wywiedźcie ją z zagrodzenia kościoła, a ktoby za nią szedł, niech będzie zabity mieczem; bo był kapłan rzekł: Nie zabijajcie jej w domu Pańskim.
Kisha Yehoyada, kuhani, akawaleta nje maakida wa mamia waliokuwa juu ya jeshi na kusema, “Mleteni nje kati ya safu, yeyote atakayemfuata, auwawe kwa upanga.” kwa maana kuhani alikwishasema, “Msimuue katika nyumba ya Yahwe.”
15 I uczynili jej plac. A gdy przyszła ku wejściu bramy, którą wodzono konie do domu królewskiego, tamże ją zabili.
Kwa hiyo wakafanya njia kw ajili yake, na akaenda kwenye nyumba ya mfalme kupita njia ya Lango la Farasi, na huko wakamuuwa.
16 Tedy uczynił Jojada przymierze między Panem, i między wszystkim ludem, i między królem, aby byli ludem Pańskim.
kisha Yehoyada alifanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme, kwamba watakuwa watu wa Yahwe.
17 Potem wszedł wszystek lud do domu Baalowego, i zburzyli go, i ołtarze jego, i bałwany jego połamali, Matana także kapłana Baalowego zabili przed ołtarzami.
Kwa hiyo watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuiangusha chini. wakazivunja vipande vipande madhabahu za Baali na sanamu zake, na wakamuua Matani, kuhani wa Baali, mbele ya madhabahu hizo.
18 I postanowił znowu Jojada przełożonych nad domem Pańskim pod rządem kapłanów i Lewitów, których był rozrządził Dawid w domu Pańskim, aby ofiarowali całopalenia Panu, jako napisano w zakonie Mojżeszowym, z weselem, i z pieśniami, według rozrządzenia Dawidowego.
Yehoyada akateua wakuu kwa ajili ya nyumba ya Yahwe chini ya mkono wa makuhani, ambao walikuwa Walawi, ambao Daudi alikuwa amewapanga kwenye nyumba ya Yahwe, ili wamtolee Yahwe sadaka za kuteketezwa, kama ilivyoandikwa katika sheria ya Musa, pamoja na kushangilia na kuimba, kama alivyotoa maelekezo Daudi.
19 Postawił też odźwiernych u bram domu Pańskiego, aby tam nie wchodził nieczysty dla jakiejkolwiek rzeczy.
Yehoyada akaweka walinzi katika malango ya nyumba ya Yahwe, ili kwamba kwa namna yoyote ile asiingie mtu asiyesafi.
20 Potem wziąwszy rotmistrzów i przedniejszych, i tych, którzy panowali nad ludem, i wszystek lud onej ziemi, prowadzili króla z domu Pańskiego; i przyszli bramą wyższą do domu królewskiego, a posadzili króla na stolicy królestwa.
Yehoyada akachukua pamoja naye maakida wa mamia, watu wakubwa, watawala wa watu, na watu wote wa nchi. Akamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe; watu wakaja kwenye nyumba ya mfalme kupitia Lango la juu na kumkalisha mfalme juu ya kiti cha enzi cha ufalme. (Baadhi ya maandiko ya ya kisasa yanasema, “wakamshusha chini mfalme”)
21 I weselił się wszystek lud onej ziemi, i uspokoiło się miasto, gdy Ataliję zabili mieczem.
Kwa hiyo watu wote wa nchi wakafurahia, na mji wote ulikuwa kimya. Kuhusu Asa walikuwa wamemuua kwa upanga.

< II Kronik 23 >