< II Kronik 18 >
1 I miał Jozafat bogactw i sławy bardzo wiele, a spowinowacił się z Achabem.
Basi, Yehoshafati alikuwa na mali nyingi sana na heshima. Naye akafanya urafiki na Ahabu kwa mwanawe kumwoa binti wa Ahabu.
2 I przyjechał po kilku latach do Achaba do Samaryi; i nabił Achab owiec i wołów wiele dla niego, i dla ludu, który był z nim, i namawiał go, aby ciągnął do Ramot Galaad.
Baada ya miaka kadhaa akashuka kumtembelea Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja ngʼombe na kondoo wengi kwa ajili yake na watu aliokuwa amefuatana nao. Kisha Ahabu akamshawishi Yehoshafati kukwea pamoja naye ili kuishambulia Ramoth-Gileadi.
3 I rzekł Achab, król Izraelski, do Jozafata, króla Judzkiego: Pociągnijże ze mną do Ramot Galaad? A on mu odpowiedział: Jako ja, tak i ty, a jako lud twój, tak lud mój, i będziemy z tobą na wojnie.
Ahabu mfalme wa Israeli akamuuliza Yehoshafati mfalme wa Yuda, “Je, utakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Ramoth-Gileadi?” Yehoshafati akamjibu mfalme wa Israeli, “Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako. Tutakuwa pamoja nawe vitani.”
4 Nadto rzekł Jozafat do króla Izraelskiego: Proszę, pytaj się dziś słowa Pańskiego.
Lakini Yehoshafati pia akamwambia mfalme wa Israeli, “Kwanza tafuta shauri la Bwana.”
5 A tak zebrał król Izraelski proroków cztery sta mężów, i rzekł do nich: Mamże ciągnąć do Ramot Galaad na wojnę, czyli zaniechać? A oni odpowiedzieli: Ciągnij; bo je da Bóg w ręce królewskie.
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaleta pamoja manabii wanaume wapatao mia nne, akawauliza, “Je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi, au niache?” Wakajibu, “Naam, nenda kwa kuwa Mungu ataiweka Ramoth-Gileadi mkononi mwa mfalme.”
6 Ale Jozafat rzekł: Niemaszże tu jeszcze którego proroka Pańskiego, żebyśmy się go pytali?
Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa Bwana hapa ambaye tunaweza kumuuliza?”
7 I rzekł król Izraelski do Jozafata: Jest jeszcze mąż jeden, przez któregobyśmy się mogli radzić Pana, ale go ja nienawidzę; bo mi nie prorokuje nic dobrego, ale zawżdy złe; a tenci jest Micheasz, syn Jemlowy. I rzekł Jozafat: Niech tak nie mówi król.
Mfalme wa Israeli akamjibu Yehoshafati, “Bado yupo mtu mmoja ambaye kupitia yeye twaweza kumuuliza shauri la Bwana, lakini namchukia kwa sababu huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu mimi, lakini kila mara hunitabiria mabaya tu. Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.” Yehoshafati akajibu, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”
8 Tedy zawołał król Izraelski niektórego komornika, i rzekł: Przywiedź tu rychło Micheasza, syna Jemlowego.
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwita mmoja wa maafisa wake na kusema, “Mlete Mikaya mwana wa Imla mara moja.”
9 Międzytem król Izraelski, i Jozafat, król Judzki, siedzieli każdy z nich na stolicy swojej, ubrani w szaty królewskie, a siedzieli na placu u wrót bramy Samaryjskiej, a wszyscy prorocy prorokowali przed nimi.
Wakiwa wamevalia majoho yao ya kifalme, mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi juu ya viti vyao vya kifalme katika sakafu ya kupuria, kwenye ingilio la lango la Samaria, pamoja na manabii wote wakiwa wakitabiri mbele yao.
10 A Sedechyjasz, syn Chanaanowy, sprawił sobie rogi żelazne, i rzekł: Tak mówi Pan: Temi będziesz bódł Syryjczyków, aż ich wyniszczysz.
Wakati huu Sedekia mwana wa Kenaana alikuwa ametengeneza pembe za chuma, akatangaza, “Hivi ndivyo Bwana asemavyo, ‘Kwa hizi pembe utawapiga na kuwarudisha Waaramu nyuma mpaka wameangamizwa.’”
11 Toż wszyscy prorocy prorokowali, mówiąc: Ciągnij do Ramot Galaad, a będzieć się szczęściło; albowiem je poda Pan, w ręce królewskie.
Manabii wengine wote walikuwa wanatabiri kitu hicho hicho, wakisema, “Ishambulie Ramoth-Gileadi na uwe mshindi. Kwa kuwa Bwana ataitia mkononi mwa mfalme.”
12 Tedy poseł, który chodził, aby przyzwał Micheasza, rzekł do niego, mówiąc: Oto słowa proroków jednemi usty dobrze tuszą królowi; niechże będzie, proszę, słowo twoje jako jednego z nich, a mów dobre rzeczy.
Mjumbe aliyekuwa amekwenda kumwita Mikaya akamwambia, “Tazama, manabii wote kama mtu mmoja wanatabiri ushindi kwa mfalme. Neno lako na likubaliane na lao, nawe unene mema kuhusu mfalme.”
13 I rzekł Micheasz: Jako żyje Pan, że co mi kolwiek rozkaże Bóg mój, to mówić będę.
Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, nitamwambia kile tu Bwana atakachoniambia.”
14 A gdy przyszedł do króla, rzekł król do niego: Micheaszu! mamyż ciągnąć na wojnę przeciw Ramot Galaad, czyli zaniechać? A on odpowiedział: Ciągnijcie, a poszczęści się wam, i będą podani w ręce wasze.
Alipofika, mfalme akamuuliza, “Mikaya, je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi au niache?” Akamjibu, “Shambulia na ushinde, kwa kuwa watatiwa mkononi mwako.”
15 I rzekł król do niego: A wieleż cię razy mam przysięgą zobowiązywać, abyś mi nie mówił jedno prawdę w imieniu Pańskiem?
Mfalme akamwambia, “Je, ni mara ngapi nitakuapisha ili usiniambie kitu chochote ila kweli tu kwa jina la Bwana?”
16 Przetoż rzekł: Widziałem wszystek lud Izraelski rozproszony po górach jako owce, które nie mają pasterza; bo Pan rzekł: Nie mająci Pana; niech się wróci każdy do domu swego w pokoju.
Ndipo Mikaya akajibu, “Niliona Israeli wote wametawanyika vilimani kama kondoo wasio na mchungaji, naye Bwana akasema, ‘Watu hawa hawana bwana. Mwache kila mmoja aende nyumbani kwa amani.’”
17 I rzekł król Izraelski do Jozafata: Izażem ci nie powiadał, że mi nic dobrego prorokować nie miał, ale złe?
Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu bali mabaya tu?”
18 Ale on rzekł: Słuchajcież tedy słowa Pańskiego: Widziałem Pana siedzącego na stolicy jego, i wszystko wojsko niebieskie stojące po prawicy jego i po lewicy jego.
Mikaya akaendelea, “Kwa hiyo lisikie neno la Bwana: Nilimwona Bwana ameketi juu ya kiti chake cha enzi pamoja na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama upande wa kulia na wa kushoto.
19 I rzekł Pan: Kto zwiedzie Achaba, króla Izraelskiego, aby szedł, a poległ w Ramot Galaad? A gdy mówił jeden tak, a drugi mówił inaczej,
Naye Bwana akasema, ‘Ni nani atakayemshawishi Ahabu, mfalme wa Israeli, ili aishambulie Ramoth-Gileadi na kukiendea kifo chake huko?’ “Mmoja akapendekeza hili na mwingine lile.
20 Wystąpił duch, i stanął przed Panem, i rzekł: Ja go zwiodę. A Pan mu rzekł: Przez cóż?
Mwishoni, roho akajitokeza, akasimama mbele za Bwana na kusema, ‘Nitamshawishi.’ “Bwana akauliza, ‘Kwa njia gani?’
21 I odpowiedział: Wynijdę, a będę kłamliwym duchem w ustach wszystkich proroków jego. I rzekł Pan: Zwiedziesz, i pewnie przemożesz: Idźże, a uczyń tak.
“Akasema, ‘Nitakwenda na kuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.’ “Bwana akasema, ‘Utafanikiwa katika kumshawishi. Nenda ukafanye hivyo.’
22 Przetoż teraz, oto dał Pan ducha kłamliwego w usta tych proroków twoich, gdyż Pan wyrzekł przeciwko tobie złe.
“Kwa hiyo sasa Bwana ameweka roho ya kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii wako wote. Bwana ameamuru maafa kwa ajili yako.”
23 Tedy przystąpiwszy Sedechijasz, syn Chanaanowy, uderzył Micheasza w policzek, mówiąc: A którąż drogą odszedł duch Pański odemnie, aby mówił z tobą?
Kisha Sedekia mwana wa Kenaana akatoka na kumpiga Mikaya kofi usoni. Akauliza, “Huyo Roho kutoka kwa Bwana alipita njia gani alipotoka kwangu ili kusema nawe?”
24 I odpowiedział Micheasz: Oto ty ujrzysz dnia onego, kiedy wnijdziesz do najskrytszej komory, abyś się skrył.
Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo utakapokwenda kujificha kwenye chumba cha ndani.”
25 I rzekł król Izraelski: Weźmijcie Micheasza, a odwiedźcie go do Amona, starosty miejskiego, i do Joaza, syna królewskiego.
Kisha mfalme wa Israeli akaagiza, “Mchukueni na mkamrudishe kwa Amoni mtawala wa mji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.
26 I rzeczecie im: Tak mówi król: Wsadźcie tego do więzienia, a dawajcie mu jeść chleb utrapienia, i wodę ucisku, aż się wrócę w pokoju.
Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe chochote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi salama.’”
27 Ale odpowiedział Micheasz: Jeźliże się wrócisz w pokoju, tedy nie mówił Pan przez mię. Nadto rzekł: Słuchajcież wszyscy ludzie.
Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, basi Bwana hajanena kupitia kwangu.” Kisha akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, enyi watu wote!”
28 A tak ciągnął król Izraelski, i Jozafat, król Judzki, do Ramot Galaad.
Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda wakaenda Ramoth-Gileadi.
29 I rzekł król Izraelski do Jozafata: Odmienię się, a pójdę do bitwy: ale ty ubierzesz się w szaty swe. I odmienił się król Izraelski, a szli do bitwy.
Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Nitaingia vitani nikiwa nimejibadilisha, lakini wewe uvae majoho yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadilisha na kwenda vitani.
30 A król Syryjski rozkazał był hetmanom, którzy byli nad wozami jego, mówiąc: Nie potykajcie się ani z małym ani z wielkim, tylko z samym królem Izraelskim.
Wakati huu, mfalme wa Aramu alikuwa amewaagiza majemadari thelathini na wawili wa magari ya vita, “Msipigane na yeyote, mdogo au mkubwa, isipokuwa mfalme wa Israeli.”
31 A gdy ujrzeli Jozafata hetmani, co byli nad wozami, rzekli: Król Izraelski jest. I obrócili się przeciw niemu, aby się z nim potykali; ale zawołał Jozafat, a Pan go ratował; i odwrócił ich Bóg od niego.
Wakati wale majemadari wa magari ya vita walipomwona Yehoshafati, wakafikiri, “Hakika huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo wakageuka ili wamshambulie, lakini Yehoshafati akapiga kelele, naye Bwana akamsaidia. Mungu akawaondoa kwake,
32 Bo obaczywszy hetmani, co byli nad wozami, że nie ten był król Izraelski, odwrócili się od niego.
wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli nao wakaacha kumfuatilia.
33 Lecz niektóry mąż strzelił na niepewne z łuku, i postrzelił króla Izraelskiego, między nity i między pancerz; który rzekł woźnicy swemu: Nawróć, a wywieź mię z wojska; bom jest raniony.
Lakini mtu fulani akavuta upinde pasipo lengo na kumpiga mfalme wa Israeli katikati ya kiungio cha mavazi yake ya chuma, mfalme akamwambia mwendesha gari lake, “Geuza gari na uniondoe mimi katika mapigano, nimejeruhiwa.”
34 I wzmogła się bitwa dnia onego, a król Izraelski stał na wozie przeciw Syryjczykom aż do wieczora: i umarł, gdy zachodziło słońce.
Vita vikaendelea mchana kutwa, naye mfalme wa Israeli akajitegemeza ndani ya gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Basi jioni yake akafa.