< I Tymoteusza 1 >
1 Paweł, Apostoł Jezusa Chrystusa podług rozrządzenia Boga, zbawiciela naszego, i Pana Jezusa Chrystusa, który jest nadzieja nasza,
Paulo, Mtume wa Kristo Yesu, kulingana na amri ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo aliye ujasiri wetu,
2 Tymoteuszowi, własnemu synowi w wierze, niech będzie łaska, miłosierdzie, pokój od Boga, Ojca naszego, i Chrystusa Jezusa, Pana naszego.
kwa Timotheo mwanangu wa kweli katika imani: Neema, rehema na amani zitokazo kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
3 Jakom cię prosił, abyś został w Efezie, gdym szedł do Macedonii, patrzże, abyś rozkazał niektórym, żeby inaczej nie uczyli.
Kama nilivyokusihi nilipoondoka kwenda Makedonia, ubaki Efeso ili kwamba uweze kuwaamru watu fulani wasifundishe mafundisho tofauti.
4 I nie bawili się baśniami i wywodami nieskończonemi rodzaju, które więcej sporów przynoszą, niż zbudowania Bożego, które w wierze zależy.
Pia wasisikilize hadithi na orodha za nasaba zisizo na mwisho. Haya husababisha mabishano zaidi kuliko kuwasaidia kuendeleza mpango wa Mungu wa imani.
5 Lecz koniec przykazania jest miłość z czystego serca i z sumienia dobrego, i z wiary nieobłudnej.
Basi lengo la agizo hili ni upendo utokao katika moyo safi, katika dhamiri nzuri na katika imani ya kweli.
6 Czego niektórzy jako celu uchybiwszy, obrócili się ku próżnomówności.
Baadhi ya watu wamelikosa lengo wakayaacha mafundisho haya na kugeukia mazungumzo ya kipumbavu.
7 Chcąc być nauczycielami zakonu, nie rozumieją ani tego, co mówią, ani co za pewne twierdzą.
Wanataka kuwa waalimu wa sheria, lakini hawafahamu wanachosema au wanachosisitiza.
8 A wiemy, że dobry jest zakon, jeźliby go kto przystojnie używał,
lakini tunajua kwamba sheria ni njema kama mtu ataitumia kwa usahihi.
9 Wiedząc to, że sprawiedliwemu nie jest zakon postanowiony, ale niesprawiedliwym i niepoddanym, niepobożnym i grzesznikom, złośliwym i nieczystym, ojcomordercom i matkomordercom, mężobójcom,
Tunajua kuwa, sheria haikutungwa kwa ajili ya mtu mwenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, watu wasio wataua na wenye dhambi, na ambao hawana Mungu na waovu. Imetungwa kwa ajili ya wauao baba na mama zao, kwa ajili ya wauaji,
10 Wszetecznikom, samcołożnikom, ludokradcom, kłamcom, krzywoprzysiężcom, i jeźli co innego jest przeciwnego zdrowej nauce.
kwa ajili ya waasherati, kwa ajili ya watu wazinzi, kwa ajili ya wale wanaoteka watu na kuwafanya watumwa, kwa ajili ya waongo, kwa ajili ya mashahidi wa uongo, na yeyote aliye kinyume na maelekezo ya uaminifu.
11 Według chwalebnej Ewangielii błogosławionego Boga, która mi jest zwierzona.
Malekezo haya yanatokana na injili yenye utukufu ya Mungu mwenye kubarakiwa ambayo kwayo nimeaminiwa.
12 Przetoż dziękuję temu, który mię umocnił, Chrystusowi Jezusowi, Panu naszemu, iż mię za wiernego osądził, na usługiwanie postanowiwszy mię.
Ninamshukuru Yesu Kristo Bwana wetu. Alinitia nguvu, kwa kuwa alinihesabu mimi kuwa mwaminifu, na akaniweka katika huduma.
13 Którym pierwej był bluźniercą i prześladowcą, i gwałtownikiem; alem miłosierdzia dostąpił, bom to z niewiadomości czynił, będąc w niewierze.
Nilikuwa mtu wa kukufuru, mtesaji na mtu wa vurugu. Lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda kwa ujinga kwa kutoamini.
14 Lecz nader obfitowała łaska Pana naszego z wiarą i z miłością, która jest w Chrystusie Jezusie.
Lakini neema ya Mungu wetu imejaa imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
15 Wierna jest ta mowa i wszelkiego przyjęcia godna, iż Chrystus Jezus przyszedł na świat, aby grzeszników zbawił, z których jam jest pierwszy.
Ujumbe huu ni wa kuaminika na unastahili kupokelewa na wote, ya kuwa Kristo Yesu alikuja duniani kuokoa wenye dhambi. Mimi ni mbaya zaidi ya wote.
16 Alem dlatego miłosierdzia dostąpił, aby na mnie pierwszym okazał Jezus Chrystus wszelką cierpliwość na przykład tym, którzy weń uwierzyć mają ku żywotowi wiecznemu. (aiōnios )
Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios )
17 Przetoż królowi wieków nieśmiertelnemu, niewidzialnemu samemu mądremu Bogu, niech będzie cześć i chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
18 Toć rozkazanie zalecam, synu Tymoteuszu! abyś według proroctw, które uprzedziły o tobie, bojował w nich on dobry bój,
Ninaliweka agizo hili mbele yako Timotheo, mtoto wangu. Nafanya hivi kulingana na unabii uliotolewa hapo kwanza kukuhusu wewe, ili kwamba uhusike katika vita njema.
19 Mając wiarę i dobre sumienie, które niektórzy odrzuciwszy, szkodę podjęli w wierze;
Fanya hivyo ili kwamba uwe na imani na dhamiri njema. Baadhi ya watu wameyakataa haya wakaangamiza imani.
20 Z których jest Hymeneusz i Aleksander, którychem oddał szatanowi, aby pokarani będąc, nauczyli się nie bluźnić.
Kama vile Himeneyo na Alekizanda ambao nimempa shetani ili wafundishwe wasikufuru.