< I Samuela 14 >

1 I stało się dnia niektórego, że rzekł Jonatan, syn Saula, do sługi, który nosił broń jego: Pójdź, przejdziemy do straży Filistyńskiej, która jest na onej stronie; a ojcu swemu o tem nie oznajmił.
Siku moja, Yonathani mwana wa Sauli alimwambia mbeba silaha wake aliye mdogo, “Njoo, hebu twende hadi upande mwingine kwenye ngome ya Wafilisti.” Lakini hakumjulisha baba yake.
2 Ale Saul został był przy pagórku pod jabłonią granatową, która była w Migron, i lud, który był z nim, około sześciu set mężów.
Sauli alikuwa akikaa nje ya mji wa Gibea chini ya mti wa mkomamanga ulio katika Migroni. Takribani watu mia sita walikwa pamoja naye,
3 A Achijas, syn Achitoba, brata Ichaboda, syna Fineesowego, syna Heli, kapłana Pańskiego w Sylo, nosił Efod: a lud nie wiedział, iż odszedł Jonatan.
akiwemo Ahiya mwana wa Ahitubu (nduguye Ikabodi) mwana wa Finehasi, mwana wa Eli, kuhani wa BWANA huko Shilo, aliyevaa naivera. Watu hao hawakujua kwamba Yonathani ameondoka.
4 Ale między przechodami, kędy szukał Jonatan przejścia ku straży Filistyńskiej, była skała ostra po jednej stronie, także skała ostra po drugiej stronie; jednej imię Boses a drugiej Sene.
Katikati ya vichochoro, ambavyo Yonathani alinuia kuvipita hadi ngome ya Wafilisti, kulikuwa na mwamba wenye mteremko mkali upande mmoja, na mteremko mkali upande mwingine. Jabali moja liliitwa Bosesi, na jingine liliitwa Sene.
5 Skała jedna była na północy przeciwko Machmas, a druga na południe przeciwko Gabaa.
Lile jabali lenye mteremko mkali zaidi liliinuka upande wa kaskazini mbele ya Mikmashi, na jingine upande wa kusini mbele ya Geba.
6 I rzekł Jonatan do wyrostka, który nosił broń jego: Pójdźmy, a przejdziemy do straży tych nieobrzezańców, snać uczyni Pan przez nas wybawienie; boć nie trudno Panu wybawić w wielu albo w trosze.
Yonathani akamwambia kijana mbeba silaha, “Njoo, na tuvuke hadi ngome ya hawa wasiotahiriwa. Pengine BWANA atatenda kwa niaba yetu, kwa maana hakuna kitu kiwezacho kumzuia BWANA asiokoe kwa wengi au kwa watu wachache.”
7 I rzekł mu sługa, noszący broń jego: Czyń, co się podoba sercu twemu; idź, gdzie chcesz, oto ja będę z tobą według woli twojej.
Mbeba silaha wake akajibu, “Fanya kila kitu kilicho ndani ya moyo wako. Songa mbele, tazama, niko pamoja nawe, nitatii maagizo yako yote.”
8 Tedy rzekł Jonatan: oto my idziemy do tych mężów, a ukażemy się im.
Ndipo Yonathani akasema, “Tutavuka twende kwa watu hao, na tutajionesha wenyewe kwao.
9 Jeźli nam tak rzeką: Czekajcie, aż przyjdziemy do was, stójmyż na miejscu swem, a nie chodźmy do nich;
Kama watatuambia, 'Subirini hapo hadi tutakapokuja kwenu' - basi tutabaki katika sehemu yetu na hatutavuka kwenda kwao.
10 Ale jeźliż tak rzeką: Pójdźcie do nas, pójdźmyż; boć je dał Pan w ręce nasze, a to będziemy mieli za znak.
Lakini kama watajibu, 'Njoni kwetu,' ndipo tutavuka; kwa sababu BWANA amewaweka mkononi mwetu. Hii ndiyo itakuwa ishara yetu.”
11 Ukazali się tedy obaj straży Filistyńskiej. I rzekli Filistynowie: Onoż Hebrejczycy wychodzą z jaskini, w której się byli pokryli.
Kwa hiyo wote wawili wakajifunua mbele ya ngome ya Wafilisti. Wafilisti wakasema, “Angalia, Webrania wanakuja kutokea kwenye mashimo walimojificha.”
12 I mówili mężowie, co na straży byli, do Jonatana, i do wyrostka, co za nim broń nosił, i rzekli: Pójdźcie ku nam, a oznajmiemy wam coś. I rzekł Jonatan do sługi swego: Pójdź za mną; boć je Pan podał w ręce Izraelczykom.
Ndipo watu wa ile ngome wakamwita Yonathani na mbeba silaha wake, wakisema, “Njoni huku kwetu, tutawaonesha jambo fulani.” Na Yonathani akamwambia mbeba silaha wake; “Nifuate nyuma yangu, kwa sababu BWANA amewaweka katika mkono wa Israeli.”
13 Lazł tedy Jonatan na rękach swych, i na nogach swych, a wyrostek jego za nim; i padli przed Jonatanem, i przed wyrostkiem jego, który też zabijał, idąc za nim.
Yonathani alipanda juu kwa mikono na miguu yake, na mbeba silaha akimfuata nyuma yake. Wafilisti waliuwawa mbele ya Yonathani, na mbeba silaha wake akiwaua baadhi nyuma yake.
14 A tać była porażka pierwsza, w której pobił Jonatan i wyrostek jego, co broń za nim nosił, około dwudziestu mężów, jakoby na pół staja roli.
Hilo shambulio la kwanza walilofanya Yonathani na mbeba silaha wake, waliua watu wapatao ishirini katika urefu wa nusu handaki kwenye eka moja ya ardhi.
15 I przyszedł strach na obóz na polu, i na wszystek lud; straż też, i ci którzy byli wyjechali na zdobycz, lękali się, aż się ziemia trzęsła; bo była w strachu Bożym.
Kukawa na hofu kubwa katika kambi, uwandani, na katika watu. Hata ngome ya jeshi na watekaji nyara nao wakawa na hofu kubwa
16 I obaczyła straż Saulowa w Gabaa Benjaminowym, że się ono mnóstwo rozsypało, i pierzchło, i że się go urywało.
Ndipo walinzi wa Sauli huko Gibea ya Benyamini wakaona kundi la askari wa Wafilisti likitawanyika, wakienda kule na huku.
17 Tedy rzekł Saul do ludu, który przy nim był: Wywiedzcie się zaraz, a obaczcie, kto odszedł z naszych; a gdy się wywiadowali, oto nie było Jonatana, i wyrostka, co za nim broń nosił.
Kisha Sauli akawaambia watu aliokuwa nao, “Mjihesabu ili muone nani hayupo hapa.”Walipokuwa wamehesabu, wakagundua kuwa Yonathani na mbebaji wa silaha zake hawapo.
18 I rzekł Saul do Achijasa: Przystaw skrzynię Bożą; (bo była skrzynia Boża dnia onego z syny Izraelskimi.)
Sauli akamwambia Ahiya, “Lete hapa naivera ya Mungu”- kwa maana siku hiyo Ahiya alivaa naivera akiwa pamoja na askari wa Israeli.
19 I stało się, gdy jeszcze Saul mówił do kapłana, że zamięszanie, które było w obozie Filistyńskim, wzmagało się i rozmnażało; przetoż rzekł Saul do kapłana: Zawściągnij ręki twojej.
Wakati Sauli akiongea na kuhani, kelele na ghasia kubwa iliendelea na kuongezeka katika kambi ya Wafilisti. dipo sauli akamwambia kuhani, “Acha kazi unayofanya.”
20 A tak zebrawszy się Saul, i wszystek lud, który był z nim, przyszli, gdzie była bitwa, a oto, każdego miecz był obrócony na towarzysza jego, i była porażka bardzo wielka.
Sauli na watu wote aliokuwa nao wakajipanga na kwenda kwenye mapigano. Upanga wa kila Mfilisti ulikwa juu ya Mfilisti mwenzake, na kulikuwa na ghasia kubwa.
21 A Hebrejczycy, którzy przedtem przestawali z Filistynami, którzy z nimi ciągnęli w obozie tam i sam, ci się też obróciwszy stanęli przy Izraelu, który był z Saulem i z Jonatanem.
Basi Waebrania ambao mwanzoni walijiunga na Wafilisti, na kwenda kwenye kambi yao, wao pia waliungana na Waisraeli waliokuwa pamoja na Sauli na Yonathani.
22 Nadto wszyscy mężowie Izraelscy, którzy się byli pokryli na górze Efraim, gdy usłyszeli, iż uciekają Filistynowie, szli za nimi w pogoń w onej bitwie.
Waisraeli wote waliokuwa wamejificha katika milima karibu na Efraimu waliposikia kwamba Wafilisti wamekimbia, nao pia wakawafuata Wafilisti nakuwafukuza kwenye hiyo vita.
23 I wybawił Pan dnia onego Izraela, a bitwa ona zaszła aż do Betawen.
Hivyo siku hiyo BWANA aliwaokoa Israeli, na mapigano yalivuka kupitiliza Beth aveni.
24 A mężowie Izraelscy strudzeni byli onego dnia. I poprzysiągł Saul lud, mówiąc: Przeklęty mąż, któryby jadł chleb przed wieczorem, aż się pomszczę nad nieprzyjacioły mymi. I nie skosztował wszystek lud chleba.
Siku hiyo watu wa Israeli walifadhaika kwa sababu Sauli aliwaweka watu chini ya kiapo akasema, “Na alaaniwe mtu atakaye kula chakula kabla ya jioni na kabla sijalipiza kisasi kwa maadui zangu.” Hivyo hakuna hata mmoja kati ya watu wote aliyeonja chakula.
25 Tedy wszystek lud onej ziemi przyszedł do lasu, gdzie było wiele miodu na ziemi.
Ndipo watu wote wakaingia msituni na kuona asali ikiwa juu ya ardhi.
26 Wszedłszy tedy lud do lasu, ujrzał płynący miód; wszakże nie doniósł żaden z miodem ręki swojej do ust swoich, bo się bał lud onej przysięgi.
Watu walipoingia humo msituni, asali ilitiririka, lakini hakuna aliyeweka mkono wake kinywani kwa maana watu waliogopa kiapo.
27 Ale Jonatan nie słyszał, gdy poprzysięgał lud ojciec jego; i ściągnął koniec laski, którą miał w ręce swej, a omoczył go w plastrze miodu, i obrócił rękę swoję do ust swoich, i oświeciły się oczy jego.
Lakini Yonathani alikuwa hajasikia kwamba baba yake amewaagiza watu kwa kiapo. Akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake na kuichovya kwenye sega la asali. Kisha akanyoosha mkono wake hadi kinywani mwake, na macho yake yakaangaziwa.
28 A odpowiadając jeden z ludu, rzekł: Przysięgą zawiązał ojciec twój lud, mówiąc: Przeklęty mąż, któryby jadł chleb dzisiaj; stądże ustał lud.
Ndipo mmoja wa watu hao, akamwambia, “Baba yako aliwaagiza watu kwa mkazo na kwa kiapo, kwa kusema, 'Alaaniwe mtu atakaye kula chakula kwa siku ya leo,' ingawa watu wamedhoofika kwa ajili ya njaa.”
29 Tedy rzekł Jonatan: Strwożył ojciec mój lud ziemi. Patrzcie proszę jako są oświecone oczy moje, iżem skosztował trochę miodu tego;
Baadaye Yonathani alisema, “Baba yangu amefanya matatizo katika nchi. Angalia jinsi macho yangu alivyotiwa nuru kwa sababu nilionja asali hii kidogo.
30 Jako daleko więcej, gdyby się był najadł dziś lud z łupu nieprzyjaciół swoich, których nabył; izaliby nie była większa porażka między Filistynami?
Je, siyo vivuri sana kama leo watu wangekula bila kizuizi nyara walizopata kutoka kwa maadui zao? Kwa sababu sasa mauaji hayakuwa makubwa katikati ya Wafilisti.”
31 Porazili tedy dnia onego Filistyny od Machmas aż do Ajalon, i spracował się lud bardzo.
Siku hiyo waliwashambulia Wafilisti kutoka Mikmashi hadi Aiyaloni. Na watu walikuwa wamechoka sana.
32 Tedy się lud udał na łup, a nabrawszy owiec, i wołów, i cieląt, rzezali je na ziemi, a jadł lud ze krwią.
Hivyo watu wakazivamia nyara na kuchukua kondoo, ng'ombe na ndama na kuwachinja hapo chini. Watu walikula nyama zao pamoja na damu.
33 I powiedziano Saulowi mówiąc: Oto lud grzeszy przeciw Panu, jedząc ze krwią; który rzekł: Zgrzeszyliście; przytoczcież sam do mnie teraz kamień wielki.
KIsha wakamwambia Sauli, “Tazama, watu wanamtenda BWANA dhambi kwa kula pamoja na damu.” Sauli akasema, “Mmetenda isivyo haki. Sasa, viringisheni jiwe kubwa kwangu.” Sauli akasema,
34 Zatem rzekł Saul: Rozejdźcie się między lud, a rzeczcie do nich: Przywiedźcie do mnie każdy wołu swego, i każdy owcę swą, bijcież je tu, a jedzcie, a nie zgrzeszycie przeciw Panu, jedząc ze krwią. I przywiedli wszystek lud, każdy wołu swego w ręce swej w nocy, i bito je tam.
“Nendeni kati watu, na muwaambie, 'Kila mtu alete ng'ombe na kondoo wake, wawachinje hapa, na kuwala. Msimtende BWANA dhambi kwa kula na damu.”' Kwa hiyo watu wote wakaleta kila mtu na ng'ombe wake usiku huo na kuwachinja mahali hapo.
35 I zbudował Saul ołtarz Panu; toć najpierwszy ołtarz, który zbudował Panu.
Sauli akamjengea BWANA madhabahu, ambayo ilikuwa ya kwanza kwake kumjengea BWANA.
36 I rzekł Saul: Puśćmy się za Filistynami nocą, a bijmy je aż do świtania, a nie zostawujmy z nich i jednego. Którzy mu odpowiedzieli: Cokolwiek dobrego jest w oczach twoich uczyń, ale kapłan rzekł: Przystąpmy sam do Boga.
Ndipo Sauli akasema, “Haya tuwafukuze Wafilisti usiku na kuwateka nyara hadi asubuhi; tusimwache hata mtu mmoja akiwa hai.” Nao wakamjibu, “Fanya unaloona linakupendeza.” Lakini kuhani akasema, “Hebu na tumkaribie Mungu mahali hapa.”
37 Tedy się radził Saul Boga: Mamli się puścić za Filistynami? podaszli je w ręce Izraela? I nie odpowiedział mu dnia tego.
Sauli alitaka kumuuliza Mungu maswali zaidi, “Je, inanipasa kuwafukuza Wafilisti? Je, utawaweka katika mkono wa Israeli?” Lakini siku hiyo BWANA hakumjibu kitu.
38 Przetoż rzekł Saul: Przystąpcie sam wszyscy celniejsi z ludu, i wywiedzcie się, a patrzcie, przy kimby grzech dziś był.
Ndipo Sauli akasema, “Njoni hapa, viongozi wote wa watu; mjue na kuona jinsi dhambi hii ilivyotokea leo.
39 Bo jako żywy Pan, który wybawia Izraela, choćby był i przy Jonatanie, synu moim, że śmiercią umrze. I nie odpowiedział mu nikt ze wszystkiego ludu.
Kwa maana, kama BWANA aishivyo, aliyewaokoa Israeli, hata kama angekuwa mwanangu Yonathani, atapaswa kufa.” Lakini hakuna hata mtu mmoja miongoni mwa watu aliye mjibu neno.
40 Nadto rzekł do wszystkiego Izraela: Wy będziecie na jednej stronie, a ja i Jonatan, syn mój, będziemy na drugiej stronie. I odpowiedział lud Saulowi: Co dobrego jest w oczach twoich, uczyń.
Basi akawaambia Waisraeli wote, “Simameni upande mmoja, na mimi na Yonathani tutasimama upande mwingine.” Kisha watu wakamwambia Sauli, “Fanya lile unaloona jema kwako.”
41 Zatem rzekł Saul do Pana, Boga Izraelskiego: Panie, pokaż sprawiedliwą; i nalezion jest Jonatan i Saul, a lud wyszedł z tego.
Kwa hiyo, Sauli akamwambia BWANA, Mungu wa Israeli, “Tuoneshe Thumimu.” Yonathani na Sauli wakatwaliwa, lakini watu walinusurika kuchaguliwa.
42 Potem rzekł Saul: Rzućcie los między mną i między Jonatanem, synem moim; i znaleźony jest Jonatan.
Basi Sauli akasema, “Tupa mawe ya bahati nasibu tuone kati yangu na mwanangu Yonathani.” Ndipo Yonathani akatwaliwa.
43 Zatem rzekł Saul do Jonatana: Powiedz mi, coś uczynił? I powiedzał mu Jonatan, i rzekł: Skosztowałem tylko końcem laski, którąm miał w ręce mojej, trochę miodu, i dla tegoż ja mam umrzeć?
Kisha Sauli akamwambia Yonathani, “Niambie umefanya nini.” Yonathani akamwambia baba yake, “Nilionja asali kidogo kwa kutumia ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwangu. Niko hapa; Nitakufa.”
44 I odpowiedzał Saul: To a to mi niech Bóg uczyni, że śmiercią umrzesz Jonatanie.
Sauli akasema, “Mungu afanye hivyo na kuzidi hata kwangu, kama Yonathani hautakufa.”
45 Ale lud rzekł do Saula: Izali Jonatan umrze, który uczynił to wybawienie wielkie w Izraelu? Boże uchowaj! jako żywy Pan, nie spadnie i włos z głowy jego na ziemię; albowiem za pomocą Bożą uczynił to dzisiaj. A tak wybawił lud Jonatana, że nie umarł.
Basi watu wakamuuliza Sauli, “Je, inampasa Sauli afe, ni nani aliyetekeleza ushindi huu mkubwa kwa ajili ya Israeli? Mbali na hayo! Kama BWANA aishivyo, hata unywele mmoja wa kichwa chake hautaanguka chini, kwa maana leo amefanya kazi pamoja na Mungu.” Hivyo hao watu walimuokoa Yonathani ili asife.
46 Tedy się wrócił Saul od Filistynów, a Filistynowie odeszli na miejsce swoje.
Basi Sauli akasita kuwafuatia Wafilisti, nao wakarudi katika makao yao.
47 A Saul otrzymawszy królestwo nad Izraelem, walczył przeciwko okolicznym wszystkim nieprzyjaciołom swoim, przeciw Moabitom, i przeciw synom Ammonowym, i przeciw Edomczykom, i przeciw królom Soba, i przeciw Filistynom; a gdzie się kolwiek obrócił, mężnie się sprawował.
Sauli alipoanza kutawala juu ya Israeli, alipigana na adui zake wote kila upande. Alipigana dhidi ya Moabu, dhidi ya watu wa Amoni, Edomu, wafalme wa Zoba, na Wafilisti. Popote alipogeukia aliwapiga kwa adhabu adui zake.
48 Zebrawszy też wojsko, poraził Amalekity, i wyrwał Izraela z ręki tego, który go pustoszył.
Alitenda kwa ushujaa mkubwa na kuwashinda Waamaleki. Aliwaokoa Israeli kutoka mikono ya watu ambao waliwateka nyara.
49 A miał Saul syny Jonatana, i Jesujego, i Melchisua, a imiona dwóch córek jego: imię pierworodnej Merob, a młodszej Michol;
Basi wana wa Sauli walikuwa ni hawa Yonathani, Ishvi, na Malkishua. Na majina ya binti zake wawili yalikuwa ni haya, Merabu mzaliwa wa kwanza, na mdogo aliitwa Mikali.
50 A imię żony Saulowej Achinoam, która była córką Achimaasową; a imię Hetmana wojska jego Abner, syn Nera, stryja Saulowego.
Jina la mke wa Sauli aliitwa Ahinoamu; naye alikuwa binti Ahimaasi. Na jina la Jemedari wa jeshi lake aliitwa Abneri mwana wa Neri, baba mdogo wa Sauli.
51 Bo Cys był ojciec Saula, a Ner ojciec Abnera, syn Abijela.
Kishi alikuwa baba yake Sauli; na Neri alikuwa baba yake na Abneri, wote walikuwa wana wa Abieli.
52 I była wojna wielka z Filistynami po wszystkie dni Saulowe. Przetoż, gdziekolwiek widział Saul jakiego silnego i dzielnego męża, przyjmował go do siebie.
Kulikuwa na mapigano makali dhidi ya Wafilisti katika siku zote za Sauli. Naye alipomwona mtu yeyote mwenye nguvu, au mtu yeyote jasiri, alimuunganisha kwake.

< I Samuela 14 >