< I Piotra 5 >
1 Starszych, którzy są między wami, proszę ja spółstarszy i świadek ucierpienia Chrystusowego, i uczestnik chwały, która ma być objawiona:
Ninawasihi wazee waliomo miongoni mwenu, mimi, niliye mzee mwenzao na shahidi wa mateso ya Kristo, na ambaye vile vile ni mshirika katika utukufu utakaodhihirika.
2 Paście trzodę Bożą, która jest między wami, doglądając jej nie poniewolnie, ale dobrowolnie; nie dla sprośnego zysku, ale ochotnym umysłem:
Kwa hiyo, ninawatia moyo ninyi wazee, lichungeni kundi la Mungu lililo miongoni mwenu. Liangalieni, sio kwa sababu mnapaswa, lakini kwa sababu mnatamani hivyo, kulingana na Mungu. Liaangalieni, sio kwa kupenda pesa za aibu, lakini kwa kupenda.
3 Ani jako panując nad dziedzictwem Pańskiem, ale wzorami będąc trzody.
Msijifanye mabwana juu ya watu waliyochini ya uangalizi wenu, lakini iweni mfano katika kundi.
4 A gdy się okaże on książę pasterzy, odniesiecie niezwiędłą koronę chwały.
Pale Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya utukufu isiyopoteza uthamani wake.
5 Także, młodsi! bądźcie poddani starszym, a wszyscy jedni drugim bądźcie poddani. Pokorą bądźcie wewnątrz ozdobieni, gdyż Bóg pysznym się sprzeciwia, a pokornym łaskę daje.
Vilevile, nanyi vijana wadogo, nyenyekeni kwa wakubwa wenu. Ninyi nyote, uvaeni unyenyekevu na kuhudumiana ninyi kwa ninyi, kwani Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa neema wanyenyekevu.
6 Uniżajcież się tedy pod mocną ręką Bożą, aby was wywyższył czasu swego;
Kwa hiyo nyenyekeni chini ya mkono wa Mungu uliyo hodari ili kwamba awainue kwa wakati wake.
7 Wszystko staranie wasze wrzuciwszy na niego, gdyż on ma pieczę o was.
Mwekeeni fadhaa zenu juu yake, kwa sababu anawajali.
8 Trzeźwymi bądźcie, czujcie; albowiem przeciwnik wasz dyjabeł, jako lew ryczący obchodzi, szukając kogo by pożarł.
Iweni na busara, iweni waangalifu. Yule adui yenu, ibilisi, kama simba aungurumaye ananyatia, akisaka mtu wa kumrarua.
9 Któremu dawajcie odpór, mocni będąc w wierze, wiedząc, iż się takoweż ucierpienia nad braterstwem waszem, które jest na świecie, wykonywają.
Simameni kinyume chake. Kuweni na nguvu katika imani yenu. Mkijua kwamba ndugu zenu walioko ulimwenguni wanapitia mateso kama hayo.
10 A Bóg wszelkiej łaski, który nas powołał do wiecznej chwały swojej w Chrystusie Jezusie, gdy maluczko ucierpicie, ten niech was doskonałymi uczyni, utwierdzi, umocni i ugruntuje; (aiōnios )
Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios )
11 Jemu niech będzie chwała i panowanie na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn )
12 Przez Sylwana wam wiernego brata, jako rozumiem, krótkom pisał, napominając i świadcząc, iż ta jest prawdziwa łaska Boża, w której stoicie.
Namthamini Silwano kama ndugu mwaminifu, na nimewaandikia ninyi kwa ufupi kupitia kwake. Ninawatia moyo na ninashuhudia kwamba nilichokiandika ni neema ya kweli ya Mungu. Simameni ndani yake.
13 Pozdrawia was spółwybrany zbór, ten, który jest w Babilonie i Marek, syn mój
Waamini waliloko Babeli, waliochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu, na Marko mwanangu, anawasalimu.
14 Pozdrówcie jedni drugich w pocałowaniu miłości. Pokój niech będzie wam wszystkim, którzyście w Chrystusie Jezusie. Amen.
Salimianeni kila mmoja kwa busu la upendo. Na amani iwe kwenu mliondani ya Kristo.