< I Królewska 3 >

1 I spowinowacił się Salomon z Faraonem, królem Egipskim; bo pojął córkę Faraonową, i przyprowadził ją do miasta Dawidowego, ażby dobudował domu swego, i domu Pańskiego, i muru Jeruzalemskiego w około.
Sulemani akawa na ushirikiano wa kindoa na Farao mfalme wa Misri. Alimwoa binti wa Farao na kumleta katika mji wa Daudi mpaka alipomaliza kujenga nyumba yake, nyumba ya BWANA, na ukuta wa Yerusalemu.
2 Wszakże lud ofiarował po górach, przeto, że nie był jeszcze zbudowany dom imieniowi Pańskiemu aż do onych dni.
Watu walikuw wakitoa sadaka kwenye maeneo ya juu, kwa sababu hapakuwa bado na nyumba iliyokuwa imejengwa kwa jina la BWANA.
3 I miłował Salomon Pana, chodząc w przykazaniach Dawida, ojca swego; tylko że na górach ofiarował i kadził.
Sulemani alionyesha upendo wake kwa BWANA kwa kutembea katika maagizo ya Daudi baba yake, isipokuwa tu alitoa dhabihu na kuchoma uvumba mahali pa juu.
4 Szedł tedy król do Gabaon, aby tam ofiarował; bo tam była góra największa; tysiąc ofiar całopalonych ofiarował Salomon na onym ołtarzu.
Mfalme akaenda Gibioni kutoa sadaka kule, kwa kuwa hilo ndilo lilikuwa eneo kuu la juu. Sulemani katoa sadaka maelfu katika madhabu hiyo.
5 I ukazał się Pan w Gabaon Salomonowi przez sen w nocy, i rzekł Bóg: Proś czego chcesz, a dam ci.
BWANA akaonekana kwa Sulemani huko Gibioni katika ndoto ya usiku; akasema, “Omba! uanataka nikupe nini?”
6 Tedy rzekł Salomon: Tyś uczynił z sługą twoim Dawidem, ojcem moim, miłosierdzie wielkie, gdyż chodził przed tobą w prawdzie i w sprawiedliwości, i w prostości serca stał przy tobie; i zachowałeś mu to miłosierdzie wielkie, iżeś mu dał syna, który by siedział na stolicy jego, jako się to dziś okazuje.
Kwa hiyo Sulemani akasema, “umeonyesha uaminifu wa agano mkuu kwa mtumishi wako, Daudi baba yangu, kwa sababu alitembea mbele yako kwa ukweli na uaminifu, katika haki ya moyo na katika unyofu wa moyo. Umetunza kwa ajili yake hili agano kuu kwa uaminifu na umempa mwana wake kuketi kwenye kiti chake cha enzi leo.
7 A teraz, o Panie Boże mój, tyś postanowił królem sługę twego miasto Dawida, ojca mego, a jam jest dziecię małe, i nie umiem wychodzić ani wchodzić.
Na sasa, BWANA, Mungu wangu, umemfanya mtumishi wako kuwa mfalme katika nafasi ya Daudi baba yangu, japo mimi ni mtoto mdogo. Sijui namna ya kuiingia na kutoka.
8 A sługa twój jest w pośrodku ludu twego, któryś obrał, ludu wielkiego, który nie może zliczony ani porachowany być przez mnóstwo.
Mtumishi wako yuko katikati ya watu wako uliowachagua, kundi kubwa, watu wangi wasiohesabika.
9 Przetoż daj słudze twemu serce rozumne, aby sądził lud twój, i aby rozeznawał między dobrem i złem; albowiem któż może sądzić ten lud twój tak wielki?
Kwa hiyo umpe mtumishi wako moyo wa uelewa wa kuwahukumu watu wako. Kwani ni nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi?”
10 I podobało się to Panu, że żądał Salomon tej rzeczy.
Ombi hili la Sulemani likampendeza Bwana.
11 Tedy rzekł Bóg do niego: Dla tego, żeś o to prosił, a nieżądałeś sobie długich dni, aniś żądał sobie bogactw, aniś prosił o wytracenie nieprzyjaciół twoich, aleś sobie prosił o rozum dla rozeznania sądu:
Kwa hiyo Mungu akamwambia. “Kwa sababu umeomba jambo hili na haujajiombea maisha marefu au utajiri au uhai wa maadui wako, lakini umeomba ufahamu wa kutambua hukumu ya haki,
12 Otożem uczynił według słów twoich; otom ci dał serce mądre i rozumne, tak, iż żaden równy tobie nie był przed tobą, ani po tobie powstanie równy tobie.
Tazama sasa nitafanya yote uliyoniomba wakati uliponipa ombi lako. Ninakupa moyo wa hekima na ufahamu, kwa kuwa hapajawahi kuwa na mtu wa kuwa kama wewe kabla yako, na hakuna wa kuwa kama wewe atakayeinuka baada yako.
13 Do tego i to, czegoś nie żądał, dałem ci, to jest bogactwa i sławę, tak aby nie było żadnego tobie równego między królmi po wszystkie dni twoje.
Pia ninakupa hata ambayo hujaomba, vyote heshima na utajiri, ili kwamba pasije pakawa na mfalme wa kuwa kama wewe katika siku zako zote.
14 A będzieszli chodził drogami mojemi, strzegąc wyroków moich, i rozkazania mego, jako chodził Dawid, ojciec twój, tedy przedłużę dni twoje.
Kama utatembea katika njia zangu na kuyatunza maagizo yangu na maagizo yangu, kama alivyofanya baba yako Daudi, ndipo nitakapoziongeza siku zako.”
15 A gdy się ocucił Salomon, zrozumiał, że to był sen. I przyszedł do Jeruzalemu, a stanąwszy przed skrzynią przymierza Pańskiego, sprawował całopalenia, i ofiarował ofiary spokojne, sprawił też ucztę na wszystkie sługi swoje.
Kisha Sulemani alipoamka, na tazama, ilikuwa ndoto. Akaja Yerusalemu na akasimama mbele ya sanduku na agano la Bwana. Akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, na akawafanyia sherehe watumishi wake wote.
16 Tedy przyszły dwie niewiasty wszetecznice do króla, i stanęły przed nim.
Kisha wanawake wawili waliokuwa makahaba wakaja mbele ya mfalme wakasimama mbele yake.
17 I rzekła jedna z onych niewiast: Proszę panie mój, ja i ta niewiasta mieszkamy w jednym domu, i porodziłam u niej w tymże domu.
Mwanamke mmoja akasema, “Aa, bwana wangu, mwanamke huyu na mimi tunaishi katika nyumba moja, Nilizaa mtoto tukiwa pamoj na yeye katika nyumba yetu.
18 I stało się dnia trzeciego po porodzeniu mojem, że porodziła i ta niewiasta; i byłyśmy pospołu, a nie było nikogo obcego z nami w domu, oprócz nas dwóch w tymże domu.
Ikatokea siku ya tatu baada ya kujifungua na yeye akajifungua. Tulikuwa sisi tu. Hapakuwepo na mtu mwingine yeyote katika nyumba yetu, ila sisi tu wawili katika hiyo nyumba.
19 I umarł syn tej niewiasty w nocy, przeto, iż go była przyległa.
Kisha mtoto wa mwanamke huyu akafa wakati wa usiku, kwa sababu alimlalia.
20 A wstawszy o północy, wzięła syna mego odemnie, gdy służebnica twoja spała, i położyła go na łonie swojem, a syna swego umarłego położyła na łonie mojem.
kwa hiyo akamka wakati huo wa usiku wa manane akamchukua mwanangu toka pembeni yangu, wakati mimi mtumishi wako nilipokuwa usingizini, na akamlaza kwenye kifua chake, na akamlaza mtoto wake aliyekufa juu ya kifua changu.
21 A gdym wstała rano, chcąc dać ssać synowi memu, otom znalazła umarłego; któremu gdym się rano przypatrzyła, a oto nie był syn mój, któregom porodziła.
Asubuhi nilipoamka ili kumhudumia mwanangu, nikaona kuwa alikuwa amekufa. Lakini nilipomwangalia kwa makini wakati huo wa asubuhi, nikagundua kuwa hakuwa yule mwanangu niliyezaa,”
22 I rzekła ona druga niewiasta: Nie tak; ale syn mój jest ten żywy, a syn twój ten umarły. Ale ona rzekła: Nie; ale syn twój jest ten umarły, a syn mój ten żywy. I tak się spierały przed królem.
Yule mwanamke mwingine akasema, “Hapana, Huyu aliye hai ndiye wangu. Na yule aliyekufa ndiye wako.” Yule mwanamke wa kwanza akasema, “Hapana, Yule mtoto aliyekufa ndiye mwanao, na huyu aliye hai ndiye wangu.” Hivi ndivyo walivyoongea mbele ya mfalme.
23 I rzekł król: Ta mówi: Ten żywy jest syn mój, a syn twój ten umarły; a ta zasię mówi: Nie tak; ale syn twój ten umarły, a syn mój ten żywy.
Kisha mfalme akasema, “Mmoja wenu anasema, 'huyu aliye hai ni wangu, na kumbe mwanao ndiye aliye kufa,'na mwingine naye anasema, 'Hapana, mwanao ni yule aliyekufa, na mwanangu ni huyu aliye hai.'”
24 Przetoż rzekł król: Przynieście mi miecz. I przyniesiono miecz przed króla.
Mfalme akasema, ''Nileteeni upanga.” Kwa hiyo wakaleta upanga kwa mfalme.
25 Tedy rzekł król: Rozetnijcie to żywe dziecię na dwoje, a dajcie połowę jednej, a połowę drugiej.
Kisha mfalme akasema, “Mgawe mtoto aliye hai katika vipande viwili, na huyu mwanamke apewe nusu na yule mwingine naye apewe nusu.”
26 Ale niewiasta, której był ten syn żywy, mówiła do króla, (bo się były poruszyły wnętrzności jej nad synem jej, ) i rzekła: Proszę, panie mój, dajcie jej to dziecię żywe, a żadnym sposobem nie zabijajcie go. Ale druga rzekła: Niech nie będzie ani mnie, ani tobie, rozetnijcie je.
Yule mwanamke mwenye mtoto aliyekuwa hai akamwambia mfalme, kwa kuwa moyo wake ulikuwa na huruma sana kwa mwanae, akasema, “Aa, bwana wangu, mpatie huyu mtoto aliye hai, na usimwue kamwe.” Lakini yule mwanamke mwingine akasema, “Hatakuwa wangu wala wako. Mgawe.”
27 Tedy odpowiedział król, i rzekł: Dajcież tej dziecię żywe, a żadną miarą nie zabijajcie go; tać jest matka jego.
Ndipo mfalme aliposema, “Mpe yule mwanamke wa kwanza mtoto aliye hai, na kamwe usimwue. Yeye ndiye mama wa mtoto huyu.”
28 A usłyszawszy wszystek lud Izraelski ten sąd, który osądził król, bali się króla: albowiem wiedzieli, że mądrość Boża była w sercu jego ku czynieniu sądu.
Israeli wote waliposikia hukumu ambayo mafalme ametoa, walimwogopa mfalme, kwa sababu waliona kuwa hekima ya Mungu ilikuwa ndani yake kwa ajili ya kutoa kuhukumu.

< I Królewska 3 >