< I Królewska 15 >

1 Roku tedy ośmnastego królowania Jeroboama, syna Nabatowego, królował Abijam nad Judą.
Katika mwaka wa kumi na tano wa mfame Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya alianza kutawala juu yaYuda.
2 Trzy lata królował w Jeruzalemie; a imię matki jego było Maacha, córka Abisalomowa.
Alitawala kwa miaka mitata kule Yerusalemu. Jina la mama yake allikuwa Maaka. Alikuwa binti wa Absalomu.
3 Ten chodził we wszystkich grzechach ojca swego, które czynił przed nim; a nie było serce jego doskonałe przy Panu, Bogu swoim, jako serce Dawida, ojca jego.
Naye alitembea katika dhambi zote ambazo baba yake alizifanya kabla yake; moyo wake haukuwa mkalifu kwa BWANA, Mungu wake kama moyo wa Daudi, babu yake ulivyokuwa.
4 Wszakże dla Dawida dał mu Pan, Bóg jego, pochodnią w Jeruzalemie, wzbudziwszy syna jego po nim, a utwierdziwszy Jeruzalem,
Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi, BWANA, Mungu wake alimpa taa Yerusalemu kwa kumwinua mwanae baada yake ili kuiimarisha Yerusalemu.
5 Przeto, że czynił Dawid, co było dobrego w oczach Pańskich, a nie uchylał się od wszystkiego, co mu rozkazał, po wszystkie dni żywota swego, oprócz sprawy z Uryjaszem Hetejczykiem.
Mungu alifanya haya kwa sababu Daudi alifanya yaliyo mema machoni pake; wakati wote wa uhai wake, hakugeuka wala hakukosa katika yote aliyomwamuru, isipokuwa tu swala la Uria Mhiti.
6 I była wojna między Roboamem, i między Jeroboamem po wszystkie dni żywota jego.
Sasa kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Jeroboamu katika siku zote za maisha ya Abiya.
7 A insze sprawy Abijamowe, i wszystko, co czynił, azaż nie jest napisane w kronikach o królach Judzkich, jako i wojna między Abijamem i między Jeroboamem?
Kwa mambo mengine ya Abiya, yote aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda? Sasa kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
8 A gdy zasnął Abijam z ojcy swymi, pochowano go w mieście Dawidowem. I królował Aza, syn jego, miasto niego.
Abiya akalala na mababu zake, nao wakamzika katika mji wa Daudi. Asa mwanae akawa mfalme mahali pake.
9 A tak roku dwudziestego Jeroboama, króla Izraelskiego, królował Aza nad Judą.
Katika mwaka wa ishirini wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akaanza kutawala Yuda.
10 Czterdzieści lat i jeden królował w Jeruzalemie, a imię matki jego było Maacha, córka Abisalomowa.
Alitawala kwa miaka arobaini na moja kule Yerusalemu. Bibi yake alikuwa Maaka, binti wa Absalomu.
11 I czynił Aza, co dobrego było w oczach Pańskich, jako Dawid ojciec jego.
Asa akafanya yaliyo mema machono mwa BWANA, kama alivyofanya Daudi, babu yake.
12 Albowiem wytracił Sodomczyki z ziemi, i wyrzucił wszystkie bałwany, których byli naczynili ojcowie jego.
Yeye aliwafukuza kutoka katika nchi wale makahaba wa kipagani na akaziondoa sanamu zote ambazo babu zake walikuwa wametengeneza.
13 Nadto i Maachę, matkę swoję, zrzucił z panowania, bo była sprawiła strasznego bałwana w gaju; przetoż porąbał Aza tego strasznego bałwana jej, i spalił u potoku Cedron.
Pia alimwondoa bibi yake asiwe Malkia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza kwa Ashera. Asa aliikata sanamu ya kuchukiza na kuiteketeza katika Bonde la Kidroni.
14 A chociaż wyżyny nie były skażone, jednak serce Azy było doskonałe przy Panu po wszystkie dni jego.
Lakini pale mahali pa juu hapakuchukuliwa. Hata hivyo. Moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu mbele ya BWANA katika siku zake zote.
15 I wniósł rzeczy poświęcone ojca swego, i rzeczy, które sam poświęcił, do domu Pańskiego, srebro, i złoto, i naczynia.
Alivirerjesha katika nyumba ya BWANA vitu vile vilivyokuwa vimetengwa kwa ajili ya BWANA, na vile vitu vyake vilivyokuwa vimetengezwa kwa fedha, na dhahabu na vyombo.
16 I była wojna między Azą i między Baazą, królem Izraelskim, po wszystkie dni ich.
Basi kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli, kwa miaka yao yote.
17 Albowiem Baaza, król Izraelski, wyciągnął przeciw Judzie, a zbudował Ramę, aby nie dopuścił wychodzić i wchodzić nikomu do Azy, króla Judzkiego.
Baasha mfalme wa Israeli, akaivamia na kuijenga Rama, kiasi kwamba hakumruhusu yeyote kuondoka au kuingia katika nchi ya Asa mfalme wa Yuda.
18 Ale wziąwszy Aza wszystko srebro i złoto, które było pozostało w skarbiech domu Pańskiego, i w skarbiech domu królewskiego, dał je w ręce sługom swoim; i posłał je król Aza do Benadada, syna Tabremonowego, syna Hezyjonowego, króla Syryjskiego, który mieszkał w Damaszku, mówiąc:
Kisha Asa akazichukua zile fedha na dhahabu zilizokuwa zimebaki kwenye hazina kwenye nyumba ya BWANA, na katika hazina ya ikulu ya mfalme. Akaziweka katika mikono ya watumishi wake na kuzituma kwa Beni Hadadi mwana wa Tabrimoni mwana wa Hezioni, mfalme wa Shamu ambaye alikuwa akishi Dameski. Akamwambia,
19 Przymierze jest między mną i między tobą, między ojcem moim i między ojcem twoim; otoć posyłam dary, srebro i złoto; idźże, wzrusz przymierze twoje z Baazą, królem Izraelskim, aby odciągnął odemnie.
“Naomba tufanye patano kati yangu na wewe, kama ilivyokuwa kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, Nimekutumia zawadi ya fedha na dhahabu. Ili uvunje agano lako na Baasha mfalme wa Israeli, ili kwamba aniache.”
20 I usłuchał Benadad króla Azy; a posławszy hetmany z wojski, które miał przeciw miastom Izraelskim, zburzył Hijon i Dan i Abelbetmaachę, i wszystko Cynnerot, i wszystkę ziemię Neftalim.
Beni Hadadi akamsikiliza mfalme Asa na kutuma wakuu wa majeshi yake, nao wakaishambulia miji ya Israeli. Wakaishambulia Ijoni, Dani, Abeliya Bethi Maaka, na Kinerothi yote, pamoja na nchi yote ya Naftali.
21 Co gdy usłyszał Baaza, przestał budować Ramy, i mieszkał w Tersie.
Ikawa Baasha aliposikia haya, akaacha kuijenga Rama akarudi Tirza.
22 Tedy król Aza zebrał wszystek lud Judzki, nikogo nie wyjmując; a pobrali kamienie z Ramy i drzewo jego, z którego budował Baaza: a zbudował z niego król Aza Gabaa Benjaminowe, i Masfa.
Kisha mfalme Asa akaitangazia Yuda yote. Hakuna aliyeachwa. Wakayabeba mawe na miti ya Rama ambayo Baasha alikuwa akijengea mji. Kisha mfalme Asa akavitumia hivyo vitu kuijenga Geba ya Benjamini na Mispa.
23 A inne wszystkie sprawy Azy, i wszystka moc jego, i cokolwiek czynił, i miasta, które zbudował, azaż to nie jest napisane w kronikach o królach Judzkich? Ale czasu starości swej chorował na nogi swoje.
Mambo mengine yanyohusu utawala wa Asa, uwezo wake wote, yote aliyofanya, na miji aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda? Lakini wakati wa uzee wake alipata ugonjwa wa miguu.
24 I zasnął Aza z ojcy swymi, a pochowany jest z nimi w mieście Dawida, ojca swego. A Jozafat, syn jego, królował miasto niego.
Kisha Asa akalala na mababu zake na akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Yehoshafati mwanae akawa mfalme mahali pake.
25 Ale Nadab, syn Jeroboama, nastąpił na królestwo Izraelskie roku wtórego Azy, króla Judzkiego, i królował nad Izraelem dwa lata;
Nadabu mwana wa Yerobiamu alianza kutawala huko Israeli wakati wa mwaka wa pili wa Asa mfalme wa Yuda; Aliitawala Israeli kwa miaka miwili.
26 I czynił złe przed oczyma Pańskiemi, chodząc drogami ojca swego, i w grzechach jego, któremi do grzechu przywodził Izraela.
Akafanya yaliyo maovu mbele y a macho ya BWANA naye akatembea katika njia ya baba yake, na katika dhambi yake, aliisababisha Israeli kufanya dhambi.
27 I zbuntował się przeciw niemu Baaza, syn Ahyjasza, z domu Isaschar; a poraził go Baaza u Giebbeton, które było Filistyńskie; bo Nadab ze wszystkim Izraelem obległ był Giebbeton.
Baasha mwana wa Ahiya, wa familia ya Isakari, akafanya hila dhidi ya Nadabu; Baasha akamwua huko Gibethoni, ambao ulikuwa mji wa Wafilisti, kwa kuwa Nadabu na Israeli walikuwa wakiuhusuru Gibethoni.
28 I zabił go Baaza roku trzeciego Azy, króla Judzkiego, a sam królował miasto niego.
Katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha alimwua Nadabu naye akawa mfalme mahali pake.
29 I stało się, gdy począł królować, że wymordował wszystek dom Jeroboamowy; a nie zostawił żadnej duszy z narodu Jeroboamowego, aż je wytracił według słowa Pańskiego, które był opowiedział przez sługę swego Achyjasza Sylonitczyka;
Mara tu baad ya kuwa mfalme, Baasha aliwaua watu wote wa familia ya Yeroboamu. Hakumwacha hata mmoja wa uzao wa Yeroboamu awe hai; Kwa njia hii akawa ameuharibu ukoo wote wa kifalme, kama vile BWANA alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake Ahiya Mshilo,
30 A to dla grzechów Jeroboamowych, który grzeszył, i który do grzechu przywiódł Izraelczyki, i dla przestępstwa, którem wzruszył ku gniewu Pana, Boga Izraelskiego.
kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu ambazo alifanya na akaisababishia Israeli kufanya dhambi, kwa kuwa alimkasirisha BWANA, Mungu wa Israeli.
31 A inne sprawy Nadabowe, i wszystko co czynił, azaż to nie jest napisane w kronikach królów Izraelskich?
Mambo mengine yanayomhusu Nadabu, na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
32 I była wojna między Azą, i między Baazą, królem Izraelskim, po wszystkie dni ich.
Kisha kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli katika siku zao zote.
33 Roku trzeciego Azy, króla Judzkiego, królował Baaza, syn Achyjasza, nad wszystkim Izraelem w Tersie przez dwadzieścia i cztery lat.
Katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya alianza kuitawala Israeli yote huko Tirza naye alitawala kwa miaka ishirini na nne.
34 I czynił złe przed Panem, chodząc drogami Jeroboamowemi, i w grzechu jego, którym do grzechu przywiódł Izraelity.
Naye akafanya yaliyo mabaya katika macho ya BWANA na akatembea katika njia ya Yeroboamu na katika dhambi yake ambayo kwa hiyo aliifanya Israeli kufanya dhambi.

< I Królewska 15 >