< I Koryntian 12 >
1 A o duchownych darach, bracia! nie chcę, abyście wiedzieć nie mieli.
Kuhusu karama za rohoni, kaka na dada zangu sitaki mkose kufahamu.
2 Wiecie, iż gdyście poganami byli, do bałwanów niemych, jako was wodzono, daliście się prowadzić.
Mwajua ya kuwa mlipokuwa wapagani mliongozwa kufuata sanamu zisizoongea, kwa njia zozote mliongozwa nazo.
3 Przetoż oznajmuję wam, iż nikt przez Ducha Bożego mówiąc, nie rzecze Jezusa być przeklęstwem; i nikt nie może nazwać Jezusa Panem, tylko przez Ducha Świętego.
Kwa hiyo, nataka mfahamu kwamba hakuna yeyote anenaye kwa Roho wa Mungu akisema, “Yesu amelaaniwa.” Hakuna yeyote atakayesema, “Yesu ni Bwana,” isipokuwa katika Roho Mtakatifu.
4 A różneć są dary, ale tenże Duch.
Basi kuna karama tofauti tofauti, bali Roho ni yeye yule.
5 I różne są posługi, ale tenże Pan.
Na kuna huduma tofauti tofauti, bali Bwana ni yeye yule.
6 I różne są sprawy, ale tenże Bóg, który sprawuje wszystko we wszystkich.
Na kuna aina mbalimbali za kazi, lakini Mungu ni yeye yule azitendaye kazi zote katika wote.
7 A każdemu bywa dane objawienie Ducha ku pożytkowi.
Basi kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.
8 Albowiem jednemu przez Ducha bywa dana mowa mądrości, a drugiemu mowa umiejętności przez tegoż Ducha;
Maana mtu mmoja amepewa na Roho neno la hekima, na mwingine neno la maarifa kwa Roho yule yule.
9 A drugiemu wiara w tymże Duchu, a drugiemu dar uzdrawiania w tymże Duchu, a drugiemu czynienie cudów, a drugiemu proroctwo, a drugiemu rozeznanie duchów.
Kwa mwingine humpa imani kwa Roho yeye yule, na kwa mwingine karama ya uponyaji kwa Roho mmoja.
10 A drugiemu rozmaite języki, a drugiemu wykładanie języków.
Kwa mwingine matendo ya nguvu, na mwingine unabii. Na kwa mwingine uwezo wa kupambanua roho, mwingine aina mbalimbali za lugha, na kwa mwingnine tafsiri za lugha.
11 A to wszystko sprawuje jeden a tenże Duch, udzielając z osobna każdemu, jako chce.
Lakini Roho ni yule yule atendaye kazi hizi zote, kumpa kila mtu karama kwa kadiri ya uchaguzi wake mwenyewe.
12 Albowiem jako ciało jedno jest, a członków ma wiele, ale wszystkie członki ciała jednego, choć ich wiele jest, są jednym ciałem: tak i Chrystus.
Kwa maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote ni vya mwili ule ule, vivyo hivyo na Kristo.
13 Albowiem przez jednego Ducha my wszyscy w jedno ciało jesteśmy ochrzczeni, bądź Żydowie, bądź Grekowie, bądź niewolnicy, bądź wolni, a wszyscy napojeni jesteśmy w jednego Ducha.
Kwa maana katika Roho mmoja sisi sote tulibatizwa kuwa mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi au Wayunani, kwamba tu watumwa au huru, na wote tulinyweshwa Roho mmoja.
14 Albowiem ciało nie jest jednym członkiem, ale wieloma.
Kwa maana mwili si kiungo kimoja, bali ni vingi.
15 Jeźliby rzekła noga: Ponieważem nie jest ręką, nie jestem z ciała; izali dlatego nie jest z ciała?
Ikiwa mguu utasema, “kwa kuwa mimi si mkono, mimi si sehemu ya mwili,” hiyo haiufanyi kutokuwa sehemu ya mwili.
16 A jeźliby rzekło ucho: Ponieważem nie jest okiem, nie jestem z ciała; izali dlatego nie jest z ciała?
Na ikiwa sikio litasema, “kwa kuwa mimi si jicho, mimi si sehemu ya mwili,” hiyo hailifanyi kutokuwa sehemu ya mwili.
17 Jeźliż wszystko ciało jest okiem, gdzież słuch? a jeźliż wszystko słuchem, gdzież powonienie?
Kama mwili wote utakuwa jicho, kungekuwa wapi kusikia? Kama mwili wote ukiwa sikio, kungekuwa wapi kunusa?
18 Ale teraz Bóg ułożył członki, każdy z nich z osobna w ciele, jako chciał.
Lakini Mungu aliweka kila kiungo cha mwili mahali pake kama alivyopanga mwenyewe.
19 A jeźliby wszystkie były jednym członkiem, gdzieżby było ciało?
Na kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
20 Ale teraz, acz jest wiele członków, lecz jedno jest ciało.
Hivyo sasa viungo ni vingi, lakini mwili ni mmoja.
21 Nie może tedy rzec oko ręce: Nie potrzebuję ciebie, albo zaś głowa nogom: Nie potrzebuję was.
Jicho haliwezi kuuambia mkono, “sina haja na wewe.” Wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu, sina haja na ninyi.”
22 I owszem daleko więcej członki, które się zdadzą być najmdlejsze w ciele, potrzebne są.
Lakini viungo vya mwili vinavyoonekana kuwa na heshima kidogo vyahitajika zaidi.
23 A które mamy za najniepoczciwsze w ciele, tym większą poczciwość wyrządzamy, a niepoczciwe członki nasze obfitszą poczciwość mają.
Na viungo vya mwili tunavyodhani vina heshima kidogo, twavipa heshima zaidi, na viungo vyetu visivyo na mvuto vina uzuri zaidi.
24 Bo poczciwe członki nasze tego nie potrzebują; lecz Bóg tak umiarkował ciało, dawszy członkowi, któremu czci nie dostaje, obfitszą poczciwość.
Na sasa viungo vyetu vilivyo na mvuto havina haja ya kupewa heshima, kwa kuwa tayari vina heshima. Lakini Mungu ameviunganisha viungo vyote pamoja, na amevipa heshima zaidi vile visivyo heshimiwa.
25 Aby nie było rozerwania w ciele, ale iżby jedne członki o drugich jednakież staranie miały.
Alifanya hivyo ili pasiwepo mgawanyiko katika mwili, bali viungo vyote vitunzane kwa upendo wa mmoja.
26 A przetoż jeźliże jeden członek cierpi, cierpią z nim wszystkie członki; a jeźli bywa uczczony jeden członek, radują się z nim wszystkie członki.
Na wakati kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote vyaumia kwa pamoja. Au wakati kiungo kimoja kikiheshimiwa, viungo vyote vifurahi kwa pamoja.
27 Lecz wy jesteście ciałem Chrystusowym i członkami, każdy z osobna.
Sasa ninyi ni mwili wa Kristo, na viungo kila kimoja peke yake.
28 A niektórych Bóg postanowił we zborze, najprzód Apostołów, potem proroków, po trzecie nauczycieli, potem cudotwórców, potem dary uzdrawiania, pomocników, rządców, rozmaitość języków.
Na Mungu ameweka katika kanisa kwanza mitume, pili manabii, tatu waalimu, kisha wale wote watendao matendo makuu, kisha karama za uponyaji, wale wasaidiao, wale wafanyao kazi ya kuongoza, na wote walio na aina mbalimbali za lugha.
29 Izali wszyscy są Apostołami? Izali wszyscy prorokami? Izali wszyscy nauczycielami? Izali wszyscy cudotwórcami?
Je sisi sote ni mitume? Sisi sote ni manabii? Sisi sote ni waalimu? Je sisi sote tunafanya matendo ya miujiza?
30 Izali wszyscy mają dary uzdrawiania? Izali wszyscy językami mówią? Izali wszyscy tłumaczą?
Je sisi sote tuna karama ya uponyaji? Sisi sote tunaongea kwa lugha? Sisi sote tunatafsiri lugha?
31 Starajcie się usilnie o lepsze dary; a ja wam jeszcze zacniejszą drogę ukażę.
Tafuteni sana karama zilizo kuu. Nami nitawaonesha njia iliyo bora zaidi.