< I Kronik 5 >

1 A synowie Rubena pierworodnego Izraelowego, (ten bowiem był pierworodny; ale gdy zgwałcił łoże ojca swego, dane jest pierworodztwo jego synom Józefa, syna Izraelowego, tak jednak, że go nie poczytano za pierworodnego:
Wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli - sasa Rubeni alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli, lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli kwa sababu Rubeni alinajisi kochi la baba yake. Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza.
2 Bo Judas był najmężniejsz między braćmi swymi, a książęciem między nimi; ale pierworodztwo należało Józefowi.)
Yuda alikuwa mwenye nguvu kuliko kaka zake, na kiongozi ata toka kwake. Lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu -
3 Synowie mówię Rubena, pierworodnego Izraelowego, byli: Henoch i Fallu, Hesron i Charmi.
wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.
4 Synowie Joelowi: Samajasz syn jego, Gog syn jego, Semej syn jego;
Uzao wa Yoeli ulikuwa huu: Mwana wa Yoeli alikuwa Shemaia. Mwana wa Shemaia alikuwa Gogi. Mwana wa Gogi alikuwa Shimei.
5 Michas syn jego, Reajasz syn jego, Baal syn jego;
Mwana wa Shimei alikuwa Mika. Mwana wa Mika alikuwa Reaia. Mwana wa Reaia alikuwa Baali.
6 Bera syn jego, którego wziął w niewolę Teglat Falasar, król Asyryjski; ten był książęciem Rubenitów.
Mwana wa Baali alikuwa Bera, ambaye Tiligathi Pileseri alimpeleka matekani kule Assiria. Bera alikuwa kiongozi katika kabila la Rubeni.
7 A bracia jego według domów swych, gdy byli policzeni według ich narodów, mieli książęta Jehiela i Zacharyjasza.
Ndugu wa Bera kwa makabila yao ni hawa wafuatao, wameorodheshwa katika nakala za uzao wao: Yeieli wa kwanza, Zekaria, na
8 A Bela, syn Azazowy, syna Semmy, syna Joelowego; ten mieszkał w Aroer aż ku Nebo i Baalmeon.
Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli. Waliishi Aroeri, kwa umbali wa Nebo na Baali Meoni,
9 Także i na wschód słońca mieszkał, aż kędy wchodzą na puszczę od rzeki Eufrates; albowiem stada ich rozmnożyły się w ziemi Galaadskiej.
na mwanzo wa mashariki mwa jangwa lenye umbali wa hadi Mto Efarati. Hii ni kwa sababu walikuwa na mifugo mingi katika nchi ya Gileadi.
10 Ci za dni Saulowych walczyli z Agareńczykami, którzy porażeni są od ręki ich; a tak mieszkali w namiotach ich po wszystkiej krainie wschodniej ziemi Galaadskiej.
Katika siku za Sauli, kabila la Rubeni lilishambulia Wahagiri na kuwa shinda. Wakaishi ndani ya hema za Wahagiri katika nchi yote mashariki mwa Gileadi.
11 A synowie Gadowi na przeciwko nich mieszkali w ziemi Bazan, aż do Selchy.
Kabila la Gadi liliishi karibu nao, katika nchi ya Bashani umbali wa Saleka.
12 Joel był przedniejszym ich, a Safam wtóry, a Janaj i Safat zostali w Bazan.
Viongozi wao walikuwa Yoeli, aliyekuwa kichwa wa ukoo, na Shafamu alikuwa kichwa wa ukoo mwingine, na Yanai na Shafati walikuwa wa Bashani.
13 A braci ich według domów ojców swych: Michael i Mesullam, i Seba, i Joraj, i Jachan, i Zyja, i Heber, siedm.
Ndugu zao, kwa familia za baba yao, walikuwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, na Eberi - jumla saba wote.
14 (Cić są synowie Abihaila, syna Hurowego, syna Jaroachowego, syna, Galaadowego, syna Michaelowego, syna Jesysowego, syna Jachdowego, syna Buzowego; )
Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana w a Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
15 Achy, syn Abdyjela, syna Gunowego, książę w domu ojców ich.
Ahi mwana wa Abidieli mwana wa Guni, alikuwa kichwa cha familia ya baba yake.
16 I mieszkali w Galaad, w Bazan, i w miasteczkach jego, i po wszystkich przedmieściach Saron aż do ich granic.
Waliishi Gileadi, Bashani, katika miji, na katika nchi zote za malisho ya Sharoni kwa umbali wa mipaka yake.
17 Wszyscy ci policzeni byli za dni Jotama, króla Judzkiego, i za dni Jeroboama, króla Izraelskiego.
Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao katika siku za Yothamu mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
18 Synów Rubenowych, i Gadowych, i połowy pokolenia Manasesowego, ludzi walecznych, mężów noszących tarczę i miecz, i ciągnących łuk, i ćwiczonych ku bojowi, czterdzieści i cztery tysiące, siedm set i sześćdziesiąt, wychodzących do bitwy.
Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase walikuwa na wana jeshi elfu arobaini na nne walio fuzu kwa vita, walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale.
19 Ci wiedli wojnę z Agareńczykami, z Jeturejczykami, i z Nafejczykami, i Nodabczykami,
Waliwashambulia Wahagri, Yeturi, Nafishi, na Nodabu.
20 A mieli pomoc przeciwko nim. I podani są w rękę ich Agareńczycy ze wszystkim, co mieli, przeto iż do Boga wołali w bitwie, a on ich wysłuchał, iż ufali w nim.
Walipokea msaada wa Kimungu dhidi yao. Katika hili Wahagri na wote walio kuwa nao walishindwa. Hii ni kwa sababu Waisraeli walipaza sauti katika vita, na yeye akawajibu, kwa sababu waliweka tumaini lao kwake.
21 I zabrali dobytki ich, wielbłądów ich pięćdziesiąt tysięcy, a owiec dwieście i pięćdziesiąt tysięcy, osłów dwa tysiące, a ludzi sto tysięcy.
Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
22 Albowiem rannych wiele poległo, iż od Boga była ona porażka. I mieszkali na miejscu ich, aż ich zabrano w niewolę.
Kwa sababu Mungu aliwapigania, waliua maadui wengi. Waliishi katika nchi yao mpaka mateka.
23 Ale synowie połowy pokolenia Manasesowego mieszkali w onej ziemi od Bazan aż do Baal-Hermon i Sanir, które jest góra Hermon; bo i oni rozmnożeni byli.
Baadhi ya watu wa kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni).
24 A cić są książęta domów ojców ich: Efer i Jesy, i Elijel, i Azryjel, i Jeremijasz, i Hodawijasz, i Jachdyjel, mężowie bardzo mocni, mężowie sławni, książęta domu ojców swoich.
Hawa walikuwa viongozi wa familia zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa wenye nguvu na wanaume wa jasiri, wanaume maharufu, viongozi wa familia zao.
25 Ale gdy zgrzeszyli przeciw Bogu ojców swych i cudzołożyli naśladując bogów narodów onej ziemi, które wykorzenił Bóg przed twarzą ich:
Lakini walikuwa sio wa aminifu kwa Mungu wa babu zao. Badala yake, waliabudu miungu ya watu waio nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao.
26 Wzbudził Bóg Izraelski ducha Fula króla Assyryjskiego, i ducha Teglat Falasera, króla Assyryjskiego, i przeniósł ich: Rubenitów, i Gadydtów, i połowę pokolenia Manasesowego, a zawiódł ich do Hela, i Haboru, i do Ara, i do rzeki Gozan, aż do dnia tego.
Mungu wa Israeli alimchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwa peleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo adi leo.

< I Kronik 5 >