< I Kronik 3 >

1 Cić są synowie Dawidowi, którzy mu się urodzili w Hebronie: Pierworodny Ammon z Achynoamy Jezreelitki; wtóry Danijel z Abigaili Karmelitki;
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
2 Trzeci Absalom, syn Maachy, córki Tolmaja, króla Giessur; czwarty Adonijasz, syn Haggity;
wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
3 Piąty Sefatyjasz z Abitaili; szósty Jetraam z Egli, żony jego.
wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
4 Tych sześć urodziło mu się w Hebronie, kędy królował przez siedm lat, i przez sześć miesięcy; a trzydzieści i trzy lata królował w Jeruzalemie.
Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
5 A ci urodzili mu się w Jeruzalemie; Samna, i Sobab, i Natan, i Salomon, cztery synowie z Betsui, córki Ammielowej;
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
6 I Ibchar, i Elisama, i Elifet;
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
7 I Noge, i Nefeg, i Jafija;
Noga, Nefegi, Yafia,
8 I Elizama, i Elijada, i Elifelet, dziewięć synów.
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
9 A cić wszyscy są synowie Dawidowi, oprócz synów z założnic; a Tamar była siostra ich.
Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
10 Syn Salomonowy Roboam; Abiam syn jego, Aza syn jego, Jozafat syn jego.
Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
11 Joram syn jego, Ochozyjasz syn jego, Joaz syn jego;
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
12 Amazyjasz syn jego, Azaryjasz syn jego, Joatam syn jego;
mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
13 Achaz syn jego, Ezechyjasz syn jego, Manases syn jego;
mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
14 Amon syn jego, Jozyjasz syn jego;
mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
15 A synowie Jozyjaszowi: Pierworodny Johanan, wtóry Joakim, trzeci Sedekijasz, czwarty Sellum.
Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
16 A synowie Joakimowi: Jechonijasz syn jego, Sedekijasz syn jego.
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
17 A synowie Jechonijasza więźnia: Salatyjel syn jego.
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
18 A salatyjelowi: Malchiram, i Fadajasz, i Seneser, Jekiemija, Hosama, i Nadabija.
Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
19 A synowie Fadajaszowi: Zorobabel, i Semej; a syn Zorobabelowy Mesollam, i Hananijasz, i Selomit, siostra ich.
Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
20 A Mesollamowi: Hasuba, i Ohol, i Barachyjasz, i Hazadyjasz Josabchesed, pięć synów.
Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
21 A syn Hananijaszowy: Faltyjasz, i Jesajasz; synowie Rafajaszowi, synowie Arnanaszowi, synowie Obadyjaszowi, synowie Sechenijaszowi.
Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
22 A synowie Sechenijaszowi: Semejasz; a synowie Semejaszowi: Chattus, i Igal, i Baryja, i Naaryjasz, i Safat; sześć synów.
Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
23 A synowie Naaryjaszowi: Elijenaj, i Ezechyjasz, i Esrykam, trzej synowie.
Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
24 A synowie Elijenajego: Hodawijasz i Elijasub, i Felejasz, i Akkub, i Jochanan, i Dalajasz, i Anani, siedm synów.
Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

< I Kronik 3 >