< I Kronik 27 >

1 A synów Izraelskich według liczby ich, przedniejszych w domach ojcowskich, i półkowników, i rotmistrzów, i przełożonych nad tymi, którzy służyli królowi we wszelkiej potrzebie, w podziałach swoich, przychodzących i odchodzących na każdy miesiąc przez wszystkie miesiące w roku; w każdym podziale było dwadzieścia i cztery tysiące.
Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.
2 Nad hufem pierwszego miesiąca był Jasobeam, syn Sabdyjelowy, a w podziele jego było dwadzieścia i cztery tysiące.
Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake.
3 Ten był z synów Faresowych przedniejszym nad wszystkiemi przełożonymi w wojsku miesiąca pierwszego.
Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
4 A nad podziałem wtórego miesiąca był Dodaj Achochytczyk i z podziałem swym; po nim Michlot, książę, a w podziale jego było ludu dwadzieścia i cztery tysiące.
Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
5 Przełożony trzeci wojska miesiąca trzeciego był Banajas, syn Jojady kapłana, przedniejszym, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000.
6 Ten Banajas był mocarz między trzydziestoma, i nad trzydziestoma, a nad podziałem jego był Ammisadab, syn jego.
Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.
7 Czwarty czwartego miesiąca był Asael, brat Joabowy, a po nim Zabadyjasz, syn jego, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
8 Piąty miesiąca piątego był przełożonym Samut Jezrahytczyk, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
9 Szósty miesiąca szóstego był Hyra, syn Ikkiessa Tekuitczyka, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
10 Siódmy miesiąca siódmego był Heles Felonitczyk z synów Efraimowych, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
11 Osmy miesiąca ósmego był Sobochaj Husatczyk z Zarchejczyków, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
12 Dziewiąty miesiąca dziewiątego był Abijezer Anatotczyk z synów Jemini, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
13 Dziesiąty miesiąca dziesiątego był Mahary Netofatczyk z Zarchejczyków, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
14 Jedenasty miesiąca jedenastego był Banajas Faratońszyk z synów Efraimowych, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
15 Dwunasty miesiąca dwunastego był Haldaj Netofatczyk z Otonijela, a w podziale jego dwadzieścia i cztery tysiące.
Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
16 Nadto nad pokoleniem Izraelskiem byli: Nad Rubeńczykami był książęciem Elijezer, syn Zychrego; nad Symeończykami Sefatyjasz, syn Maachowy;
Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa: Kwa Wareubeni: Eliezeri mwana wa Zikri; kwa Wasimeoni: Shefatia mwana wa Maaka;
17 Nad pokoleniem Lewiego Chasabijasz, syn Chemuelowy; nad Aaronowem Sadok;
kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli; kwa Aroni: Sadoki;
18 Nad Judowem Elihu z braci Dawidowych; nad Isascharowem Amry, syn Michaelowy;
kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi; kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;
19 Nad Zabulonowem Jesmajasz, syn Abdyjaszowy; nad Neftalimowem Jerymot, syn Asryjelowy;
kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia; kwa Wanaftali: Yeremothi mwana wa Azrieli;
20 Nad synami Efraimowymi Hosejasz, syn Azazyjaszowy; nad połową pokolenia Manasesowego Joel, syn Fadajaszowy;
kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia; kwa nusu ya kabila la Manase: Yoeli mwana wa Pedaya;
21 Nad drugą połową pokolenia Manasesowego w Galaadzie Iddo, syn Zacharyjaszowy; nad Benjaminowem Jaasyjel, syn Abnerowy.
kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria; kwa Wabenyamini: Yaasieli mwana wa Abneri;
22 Nad Danowem Azraeel, syn Jerohamowy. Cić są książęta pokoleń Izraelskich.
kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.
23 A nie włożył Dawid w liczbę ich żadnego, co miał dwadzieścia lat i niżej; albowiem Pan był powiedział, iż miał rozmnożyć Izraela jako gwiazdy niebieskie.
Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu Bwana alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani.
24 A Joab, syn Sarwii, począł był liczyć, ale nie dokończył, dlatego że był gniew przypadł na Izraela. I nie weszła ta liczba w liczbę kronik o sprawach króla Dawida.
Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.
25 A nad skarbami królewskiemi był Asmawet, syn Abdyjelowy; a nad dochodami z pól, z miast, i ze wsi i z zamków był Jonatan, syn Uzyjaszowy;
Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.
26 A nad oraczami, którzy uprawiali ziemię, był Ezer, syn Chalubowy.
Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.
27 A nad winnicami był Semejasz Ramatczyk; a nad urodzajami winnic i nad piwnicami winnemi Zabdyjasz Zyfmejczyk.
Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu. Zabdi Mshifmi alikuwa msimamizi wa zabibu, utengenezaji na uhifadhi wa divai katika mapipa makubwa.
28 A nad oliwnicami, i nad drzewami figowemi, które są w polach, był Balanan Giedertczyk, a nad piwnicami oliwnemi Joas.
Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi. Yoashi alikuwa msimamizi wa ghala za mafuta ya zeituni.
29 A nad bydłem, które paszono w Saron, Sytraj Saronitczyk; a nad bydłem po dolinach Safat, syn Adlajego.
Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni. Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.
30 A nad wielbłądami był Obil Ismaelitczyk, a nad oślicami był Jechdejasz Merończyk.
Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia. Yedeya Mmeronothi alikuwa msimamizi wa punda.
31 A nad drobnem bydłem Jazys Agiertczyk. Cić wszysct byli przełożonymi nad majętnościami króla Dawida.
Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi. Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi.
32 Ale Jonatan, stryj Dawidowy, był radcą, mąż mądry, i nauczony; ten, i Jehijel, syn Chachmonowy, był z synami królewskimi.
Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.
33 Achitofel też był radcą królewskim, a Chusaj Archytczyk przyjacielem królewsskim.
Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme. Hushai Mwariki alikuwa rafiki wa mfalme.
34 A po Achitofelu był Jojada, syn Banajasowy, i Abujatar. A Joab był hetmanem wojska królewskiego.
Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.

< I Kronik 27 >