< I Kronik 1 >

1 Adam, Set, Enos.
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kienan, Mahalaleel, Jared.
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Eonch, Matusalem, Lamech.
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noe, Sem, Cham, i Jafet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Synowie Jafetowi: Gomer, i Magog, i Madaj, i Jawan, i Tubal, i Mesech, i Tyras,
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 A synowie Gomerowi: Aschenaz, i Ryfat, i Togorma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Synowie też Jawanowi: Elisa, i Tarsys, Cytym, i Dodanin.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Synowie Chamowi: Chus i Misraim, Put i Chanaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 A synowie Chusowi: Seba, i Hewila, i Sabta, i Regma, i Sabtacha; a synowie Regmy: Seba i Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Spłodził też Chus Neroda; ten począł być możnym na ziemi.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Misraim też spłodził Ludyma, i Hananima, i Laubima, i Naftuhyma,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 I Patrusyma, i Chasłuchyma, (z których poszli Filistynowie) i Kaftoryma.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Potem Chanaan spłodził Sydona, pierworodnego swego, i Hetejczyka.
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 I Jebuzejczyka, i Amorejczyka, i Giergiezejczyka,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 I Hewejczyka, i Archajczyka, i Symejczyka,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 I Aradejczyka, i Samarejczyka, i Chamatejczyka.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Synowie Semowi: Elam, i Assur, i Arfachsad, i Lud, i Aram, i Chus, i Hul, i Gieter, i Mesech.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 A Arfachsad spłodził Selecha, a Selech spłodził Hebera.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 A Heberowi urodzili się dwaj synowie, z których jednemu imię było Faleg, przeto, że za jego czasów rozdzielona jest ziemia; a imię brata jego Jektan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 A Jektan spłodził Elmodada, i Salefa, i Hassarmota, i Jarecha,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 I Adorama, i Uzala, i Dekla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 I Hebala, i Abimaela, i Sebaja,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 I Ofira, i Hewila, i Jobaba. Ci wszyscy byli synowie Jektanowi.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arfachsad, Selech.
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Heber, Peleg, Rechu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Sarug, Nachor, Tare,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram; ten jest Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Synowie Abrahamowi: Izaak i Ismael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 A teć są rodzaje ich: Pierworodny Ismaelowy Nebajot, i Kiedar, i Abdeel, i Mabsam.
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Masma, i Duma, Massa, Hadad, i Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafis i Kiedma. Cić są synowie Ismaelowi.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 A synowie Cetury, założnicy Abrahamowej, których porodziła: Zamram i Joksan, i Madan, i Midyjan, i Jesbok, i Suach. A synowie Joksanowi; Saba i Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Synowie też Madyjanowi: Hefa, i Hefer, i Henoch, i Abida, i Eldaa. Cić wszyscy są synowie Cetury.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 I spłodził Abraham Izaaka. A synowie Izaakowi byli: Ezaw i Izrael.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 A synowie Ezawowi: Elifas, Rehuel, i Jehus, i Jelom, i Kore.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Synowie Elifasowi: Teman i Omar, Sefo i Gaatan, Kienaz i syn Tamny, to jest, Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Synowie Rehuelowi: Nahat, Zara, Samma, i Meza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 A synowie Seirowi: Lotan, i Sobal, i Sebeon, i Hana, i Dysson, i Eser, i Dysan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 A synowie Lotanowi: Chory, i Heman; a siostra Lotanowa była Tamna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Synowie Sobalowi: Halman, i Manaat, i Hewal, Sefo, i Onam; a synowie Sebeonowi: Ajai Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Synowie Ana: Dyson; a synowie Dysona: Hamdan, i Eseban, i Jetran, i Charan.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Synowie Eserowi: Balaan, i Zawan, Akan. Synowie Dysanowi: Hus i Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Cić są królowie, którzy królowali w ziemi Edomskiej, przedtem niż królował król nad synami Izraelskimi: Bela, syn Beorowy, a imię miasta jego Dynhaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 A gdy umarł Bela, królował miasto niego Jobab, syn Zerachowy z Bosry.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 A gdy umarł Jobab, królował miasto niego Chusam z ziemi Temańskiej.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 A gdy umarł Chusam, królował miasto niego Hadad, syn Badadowy, który poraził Madyjańczyków na polu Moabskiem; a imię miasta jego Hawid.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 A gdy umarł Hadad, królował miasto niego Samla z Masreki.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 A gdy umarł Samla, królował miasto niego Saul z Rechobot nad rzeką
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 A gdy umarł Saul, królował miasto niego Balanan, syn Achoborowy.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 A gdy umarł Balanan, królował miasto niego Hadar; a imię miasta jego Pehu, imię też żony jego Mehetabel, córka Matredy, córki Mezaabowej.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 A gdy umarł Hadar, byli książętami w Edon: książę Tamna, książę Halwa, książę Jetet,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 Książę Oolibama, książę Ela, książę Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Książę Kienaz, książę Teman, książę Mabsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Książę Magdyjel, książę Hyram. Toć byli książęta Edomscy.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< I Kronik 1 >