< I Koryntian 1 >

1 Ja, Paweł, powołany przez Boga na apostoła Chrystusa Jezusa, wraz z Sostenesem, uczniem Pana,
Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene,
2 piszę do kościoła Bożego w Koryncie. Zostaliście wybrani przez Chrystusa Jezusa, wezwani przez Niego i—razem ze wszystkimi innymi wyznawcami naszego wspólnego Pana—oddzieleni dla Boga.
tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho. Ninyi mmefanywa watakatifu katika kuungana na Kristo Yesu, mkaitwa muwe watu wa Mungu, pamoja na watu wote popote wanaomwomba Bwana wetu Yesu Kristo aliye Bwana wao na wetu pia.
3 Niech Bóg, nasz Ojciec, i Pan, Jezus Chrystus, obdarzają was swoją łaską i pokojem!
Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
4 Wciąż nieustannie dziękuję Bogu za was i za łaskę, którą okazał wam dzięki Chrystusowi.
Ninamshukuru Mungu wangu daima kwa ajili yenu kwa sababu amewatunukia ninyi neema yake kwa njia ya Kristo Yesu.
5 On sprawił, że możecie mówić o Nim i rozumieć sprawy duchowe.
Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri,
6 On też wzmocnił waszą wiarę w Niego.
kwani, ujumbe juu ya Kristo umethibitishwa ndani yenu,
7 Nie brakuje wam również żadnego duchowego daru w tym okresie oczekiwania na Jego powrót.
hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho mkiwa mnangojea kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
8 A On będzie wzmacniał was aż do końca, abyście w dniu Jego powrotu byli bez zarzutu.
Yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
9 Bóg jest wierny i dokona tego—bo to On powołał was do przyjaźni ze swoim Synem, Jezusem Chrystusem, naszym Panem.
Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita ninyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu.
10 Wzywam was, przyjaciele, w imieniu naszego Pana, abyście żyli w zgodzie. Unikajcie podziałów, bądźcie jednomyślni i miejcie wspólny cel.
Ndugu, ninawasihi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
11 Piszę o tym, ponieważ od domowników Chloe dowiedziałem się o waszych kłótniach.
Ndugu zangu, habari nilizopata kutoka kwa watu kadhaa wa jamaa ya Kloe, zaonyesha wazi kwamba kuna kutoelewana kati yenu.
12 Mam na myśli to, że mówicie o sobie: „Ja jestem uczniem Pawła”, „Ja—Apollosa”, „Ja—Piotra”, „A ja należę do samego Chrystusa”.
Nataka kusema hivi: kila mmoja anasema chake: mmoja husema, “Mimi ni wa Paulo,” mwingine: “Mimi ni wa Apolo,” mwingine: “Mimi ni wa Kefa,” na mwingine: “Mimi ni wa Kristo,”.
13 Czy Chrystusa można podzielić? Czy ja zostałem za was ukrzyżowany? Czy w moim imieniu zostaliście ochrzczeni?
Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
14 Jestem wdzięczny Bogu za to, że oprócz Kryspusa i Gajusa nikogo z was nie ochrzciłem.
Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.
15 Nikt więc nie może powiedzieć, że ochrzciłem go w swoim imieniu.
Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu.
16 Ochrzciłem jeszcze rodzinę Stefanasa, ale więcej nikogo sobie nie przypominam.
(Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
17 Chrystus nie posłał mnie bowiem, abym chrzcił, lecz abym głosił dobrą nowinę—i to nie w wielkich słowach, aby ludzka błyskotliwość nie przyćmiewała mocy krzyża Chrystusa.
Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.
18 Dla tych, którzy idą na potępienie, wiara w śmierć Jezusa na krzyżu jest głupotą. Ale dla nas, przyjmujących zbawienie, krzyż jest przejawem mocy samego Boga.
Maana ujumbe kuhusu kifo cha Kristo msalabani ni jambo la kipumbavu kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea, lakini kwetu sisi tulio katika njia ya wokovu ujumbe huo ni nguvu ya Mungu.
19 Czytamy o tym w Piśmie: „Zniszczę mądrość mędrców i odrzucę ludzką błyskotliwość”.
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”
20 Gdzie są ci wszyscy mędrcy, uczeni i wybitni znawcy spraw tego świata? Czy Bóg nie udowodnił, że cała ta wielka mądrość jest zwykłą głupotą? (aiōn g165)
Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu. (aiōn g165)
21 Skoro mądry świat nie poznał mądrego Boga, postanowił On, przez głupie opowiadanie dobrej nowiny, zbawić tych, którzy uwierzą.
Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.
22 Żydzi żądają znaku z nieba, Grecy szukają mądrości,
Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima;
23 a my opowiadamy o Chrystusie, który został ukrzyżowany. Dla pierwszych jest to skandal, dla drugich—nonsens.
lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa. Kwa Wayahudi jambo hili ni kikwazo, na kwa watu wa mataifa ni upumbavu;
24 Ale dla nas, powołanych zarówno spośród Żydów, jak i Greków, jest On Mesjaszem—mocą i mądrością samego Boga.
lakini kwa wale walioitwa, Wayahudi kwa Wagiriki, Kristo ni nguvu ya Mungu na hekima ya Mungu.
25 To bowiem, co jest dla Boga głupstwem, góruje nad mądrością człowieka, a to, co jest dla Boga słabością, przewyższa ludzką siłę.
Maana kinachoonekana kuwa ni upumbavu wa Mungu, kina busara zaidi kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.
26 Zauważcie, przyjaciele, że niewielu spośród was uchodzi za mądrych, posiada władzę lub szlachetne pochodzenie.
Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka ya juu.
27 Bóg świadomie wybrał tych, których świat uważa za głupich, słabych i nieważnych, aby zawstydzić mądrych, silnych i ważnych.
Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu.
28 On wybrał tych, którzy w oczach świata są nikim, aby pokazać marność tych, którzy myślą, że są kimś.
Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.
29 W ten sposób pozbawił ludzi powodów do dumy.
Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.
30 To przecież dzięki Bogu żyjecie teraz w Chrystusie Jezusie! I to On jest naszą mądrością, prawością, świętością i zbawieniem—wszystko to mamy od Boga.
Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.
31 Pismo mówi: „Jedynym powodem do dumy jest nasz Pan”.
Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya Bwana.”

< I Koryntian 1 >