< Psalms 20 >

1 IEOWA en kotin mani om kapakap ni ran apwal o; mar en Kot en Iakop en pera uk!
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 A en kotin porone don uk jauaj pam jan nan tanpaj jaraui o kamana uk ada jan nan Jion.
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 A en kotin kupura om mairon karoj, o om mairon ijij en konkon re a.
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 A en kotiki on uk, me monion om anane, o kotin kapaiada om inon karoj.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Je pan nijinijki omui jauaja kit, o ni mar en atail Kot kit pan kida at plak. Ieowa en kotin kapwaiada om poekipoek karoj!
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 I ap ajaer, me Ieowa kin kotin dorela japwilim a me keiedier, o a pan mani i jan nan japwilim a lan jaraui, lim a pali maun kin jauaja kaualap.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Mo kan kin kaporoporeki war o oj akan; a kit kin keleki mar en Ieowa atail Kot.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 Irail lodier o pupedier, a kit uda o kajinenda.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Main kom kotin jauaja nanmarki o, o kotin mani at likwir on komui!
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Psalms 20 >