< Psalms 107 >
1 KAPIiNA Ieowa, pwe i me mau, pwe a kalanan pan potopot eta.
Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema, upendo wake wadumu milele.
2 Iduen me dorelar ren Ieowa kan pan indinda, irail me a kotin dorelar jan nan pa en arail imwintiti;
Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi, wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,
3 Me a kotin kapokon pena jan jap en maj en lan, o kapin lan, o pali apan, o jan madau.
wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali, kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini.
4 Irail janjalon jili nan jap tan, pol al apwal, re jota diarada deurail.
Baadhi yao walitangatanga jangwani, hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.
5 Re men manadar o men nim piladar, o kaped arail luetalar.
Walikuwa na njaa na kiu, nafsi zao zikadhoofika.
6 Rap weriwer won Ieowa ni ar kankaneraner, o a kotin dore ir jan nan ar apwal akan.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
7 O a kotin kalua ir on al pun, pwe ren lele on wajan kaukaujon.
Akawaongoza kwa njia iliyo sawa hadi mji ambao wangeweza kuishi.
8 Ren kapina Ieowa, pweki a kalanan o pweki a dodok manaman on aramaj akan.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
9 Pwe a kotin kamede kilar kaped en me men nim piladar, o kadir kila me mau kan kaped en me men manadar.
kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.
10 Me mi ni waja rotorot o mot en mela, me jalikidi luet o mata.
Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu, wafungwa wakiteseka katika minyororo,
11 Pweki ar katiwo on majan en Kot, o ar mamaleki kujoned en ma lapalap o.
kwa sababu walikuwa wameasi dhidi ya maneno ya Mungu na kudharau shauri la Aliye Juu Sana.
12 I ap kaloke kin ir apwal akan, re wonon, a jota jauaj parail.
Aliwatumikisha kwa kazi ngumu; walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.
13 Rap weriwer won Ieowa ni ar apwal akan, i ap kotin dore ir ala jan katoutou parail.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
14 A kotin kalua ir jan nan rotorot, o mot en mela, o kotin kamueit pajan ar jal akan.
Akawatoa katika giza na huzuni kuu na akavunja minyororo yao.
15 Ren kapina Ieowa, pweki a kalanan o pweki a dodok manaman on aramaj akan.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
16 Pwe a kotin kawela wanim mata, o a kotin juk pajan katen mata pan wanim akan.
kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
17 Me pweipwei kan pan kalokolokki al en ar katiwo o ar japun kan.
Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao, wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
18 Kaped arail kin juedeki jon en mana karoj, o re lel on kalian mela.
Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
19 Rap weriwer won Ieowa ni ar apwal akan, i ap kotin dore ir ala jan katoutou parail.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
20 A kotin kadarado japwilim a majan, o kotin kamaur irail da, o kotin jauaja ir jan nan ar por akan.
Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizo yao.
21 Ren kapina leowa pweki a kalanan o pweki a dodok mau on aramaj akan.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
22 O ren maironki mairon en kapin o kajokajoia duen a wiawia kan ki peren!
Na watoe dhabihu za kushukuru, na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.
23 Me kin mi pon madau o dake jop akan, o me kin netinet pon pil kalaimun akan,
Wengine walisafiri baharini kwa meli, walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.
24 Irail pukat kin kilekilan wiawian leowa kan, o a manaman akan nan madau.
Waliziona kazi za Bwana, matendo yake ya ajabu kilindini.
25 A kotin majan eta, melimel ap wiaui, me kin kalaudela iluk kan.
Kwa maana alisema na kuamsha tufani iliyoinua mawimbi juu.
26 Re kin koda ileile o kodi loledi, likamata kaped arail pei pajan ni ar majak.
Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini, katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.
27 Re rarauk jili dueta me jakaular, o ar lolekon karoj pan joredi.
Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi, ujanja wao ukafikia ukomo.
28 Rap weriwer won leowa ni ar apwal akan, i ap kotin dore ir ala jan katoutou parail.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawatoa kwenye taabu yao.
29 A kotin kawuki on mole melimel, iluk kan ap moledi.
Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono, mawimbi ya bahari yakatulia.
30 Rap peren kida, ma re pan moledi, o a kotin kalua ir nan kapitau me re inon ion.
Walifurahi ilipokuwa shwari, naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.
31 Ren kapina leowa, pweki a kalanan, o pweki a dodok manaman on aramaj akan.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
32 O ren kapina i nan pokon en aramaj, o ren kapina i nan momod en jaumaj akan.
Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu, na wamsifu katika baraza la wazee.
33 A kotin kawuki on jap tan pilap akan, o utun pil akan on jap madekon.
Yeye aligeuza mito kuwa jangwa, chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,
34 O jap kajelel eu wiala jap tan en jol, pweki dip en me kaukaujon waja o.
nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa, kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.
35 A kotin kawuki on len pil jap tan, o jap jued on utun pil.
Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
36 O a kotin mueid on me men manadar akan, en kaukaujon waja o, o re wiadar deu arail.
aliwaleta wenye njaa wakaishi humo, nao wakajenga mji wangeweza kuishi.
37 O re kin wia japajap o padukedi mat en wain, me kin wa ni a anjau.
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
38 O a kotin kamau irail la, rap kin totolar, o a kotin kanederela arail man akan.
Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana, wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.
39 O irail malaulaular o namenok kilar me jued, o japai o luet akan.
Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa kwa kuonewa, maafa na huzuni.
40 A kotin wudokidi om jaupeidi kan namenok, o mueid on ir, ren janjalon jili nan jap tan, waja me jota al mia ia.
Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu, aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.
41 O a kotin pokada me jamama o jan ni a luet, o katotolar kadaudok a dueta pwin akai.
Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao, na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.
42 Me melel akan pan kilan, ap peren kida, o japun kan karoj pan kaku pena au arail.
Wanyofu wataona na kufurahi, lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.
43 Me lolekon kan pan kajampwale ki mepukat, o re pan dedeki kalanan en Ieowa.
Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya, na atafakari upendo mkuu wa Bwana.