< Men Ipru 7 >

1 IEI Melkijedek nanmarki en Jalem o jamero en Kot lapalap amen, me kotilan tu on Apraam, ni a pure do jan a kaloedi nanmarki kai, ap kapaida I.
Melkisedeki alikuwa mfalme wa Salemu, na kuhani wa Mungu Mkuu. Abrahamu alipokuwa anarudi kutoka vitani ambako aliwaua wafalme, Melkisedeki alikutana naye akambariki,
2 Me Apraam pil kotiki on eijok kij eu jan ni a dipijou karoj. let wewe kaieu en mar a Nanmarki en pun; ap pil: Nanmarki en Jalem, iet wewe: Nanmarki en popol;
naye Abrahamu akampa sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo. (Maana ya kwanza ya jina hili Melkisedeki ni “Mfalme wa Uadilifu”; na, kwa vile yeye alikuwa mfalme wa Salemu, jina lake pia lina maana ya “Mfalme wa Amani.”)
3 Me jota jam a, jota in a, jota a kainok, jota tapin a ran akan, pil jota imwin maur. A a raj on Japwilim en Kot, o a pan jamero kokolata.
Baba yake na mama yake hawatajwi, wala ukoo wake hautajwi; haisemwi alizaliwa lini au alikufa lini. Anafanana na Mwana wa Mungu, na anaendelea kuwa kuhani daima.
4 Komail kilan ol lapalap men et, me jam atail Apraam kotiki on eijok kij eu en a dipijou, me lodier.
Basi, mwaona jinsi mtu huyu alivyokuwa maarufu. Baba Abrahamu alimpa sehemu moja ya kumi ya vitu vyote alivyoteka vitani.
5 Melel eta kadaudok en Lewi, me kajapwiladan dodok en jamero, arail kujoned mia, me ren ale jan ren aramaj akan, iei ri arail akan, eijok kij eu, duen kapun, a ir pil kijan kadaudok en Apraam.
Tunajua vilevile kwamba kufuatana na Sheria, wana wa Lawi ambao ni makuhani, wanayo haki ya kuchukua sehemu ya kumi kutoka kwa watu, yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto wa Abrahamu.
6 A i, me jota kijan irail, ale eijok kij eu jan ren Apraam o kapaiada i, me aleer inau o.
Lakini huyo Melkisedeki hakuwa wa ukoo wa Lawi, hata hivyo alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu; tena akambariki yeye ambaye alikuwa amepewa ahadi ya Mungu.
7 Nan melel kaualap me tikitik o kin paida jan ren me lapalap.
Hakuna mashaka hata kidogo kwamba anayebariki ni mkuu zaidi kuliko yule anayebarikiwa.
8 Ari met, aramaj akan me udan mela, kin ale eijok kij eu, a mo amen, me kadedepa mia, duen a ieiajata.
Tena, hao makuhani wanaopokea sehemu ya kumi, ni watu ambao hufa; lakini hapa anayepokea sehemu ya kumi, yaani Melkisedeki, anasemekana kwamba hafi.
9 Ari melel, pil kadaudok en Lewi me kin ale eijok kij eu, kida eijok kij eu on (Melkijedek) ki Apraam.
Twaweza, basi, kusema kwamba Abrahamu alipotoa sehemu moja ya kumi, Lawi (ambaye watoto wake hupokea sehemu moja ya kumi) alitoa sehemu moja ya kumi pia.
10 Pwe a mimieta nan lonelon en jam a, ni anjau Melkijedek kotilan tu on i.
Maana Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye.
11 Ari, ma dodok en jamero Lewi unjokela pwe i anjau irail aleer kapun o da katepan amen jamero en pwarado ni al en Melkijedek, a kaidin ni al en Aron?
Kutokana na ukuhani wa Walawi, watu wa Israeli walipewa Sheria. Sasa, kama huduma ya Walawi ingalikuwa kamilifu hapangekuwa tena na haja ya kutokea ukuhani mwingine tofauti, ukuhani ambao umefuata utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki, na si ule wa Aroni.
12 Pwe ma dodok en jamero wukila, nan kapun pan pil wukila.
Maana ukuhani ukibadilika ni lazima Sheria nayo ibadilike.
13 A i, me je indinda, i kijan eu kainok, a jota amen jan nan kadaudok wet apwalier pei jaraui.
Naye Bwana wetu ambaye mambo hayo yote yanasemwa juu yake, alikuwa wa kabila lingine, na wala hakuna hata mmoja wa kabila lake aliyepata kutumikia madhabahuni akiwa kuhani.
14 Pwe meid janjal, me Kaun patail tapi jan luda. Ari, iran jau wet Mojej jota katitiki meakot duen jamero.
Inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la Yuda ambalo Mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani.
15 Mepukat janjal melel, ma amen jamero pan kotido ni al en Melkijedek,
Tena jambo hili ni dhahiri zaidi: kuhani mwingine anayefanana na Melkisedeki amekwisha tokea.
16 Me jota kajapwiladar pan tiak en kujoned uduken, pwe pan manaman en maur joutuk.
Yeye hakufanywa kuwa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho.
17 Pwe iet kadedepa: Komui jamero joutuk amen duen al en Melkijedek. (aiōn g165)
Maana Maandiko yasema: “Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” (aiōn g165)
18 Pwe i me kujoned en maj nikier, pwe me luet o jota katepa,
Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.
19 Pwe kapun jota kak kaun jokkala meakot, a kaporopor me mau jan men maj, pan id pwarado, me kitail kak tuki on Kot.
Maana Sheria ya Mose haikuweza kukamilisha jambo lolote. Lakini sasa, mahali pake pamewekwa tumaini lililo bora zaidi ambalo kwalo tunaweza kumkaribia Mungu.
20 O iet pil eu kajampwal: Pwe a kajapwil kida kaula a irail wiala jamero ni jota kaula.
Zaidi ya hayo hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.
21 A men et japwilikida kaula ren i, me kotin majani on i: Kaun o kaular, a ap jota pan kalukila: Komui jamero joutuk amen duen al en Melkijedek. (aiōn g165)
Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa, wala hataigeuza nia yake: Wewe ni kuhani milele.” (aiōn g165)
22 Iei me lejuj pil wiala kapun pan inau, me mau jan men maj.
Basi, kutokana na tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
23 A irail me toto, me wialar jamero, pweki ar matalar, kareda, me irail jota kak mimieta.
Kuna tofauti nyingine pia: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.
24 A i me potopoteta, pwe a kotin aleer dodok en jamero joutuk. (aiōn g165)
Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake. (aiōn g165)
25 Ari, i me a kotin kak kamaureda melel ir karoj, me kai ki on Kot i, pwe a kotin ieiajata, pwen laolao kin ir.
Hivyo, yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu kwa njia yake, maana yeye anaishi milele kuwaombea kwa Mungu.
26 Pwe iduen jamero lapalap me mau on kitail, me jaraui, o jo japun, o jo jamin, o me liki jan me dipan akan, o ileila jan nanlen.
Basi, Yesu ndiye Kuhani Mkuu ambaye anatufaa sana katika mahitaji yetu. Yeye ni mtakatifu, hana hatia wala dhambi ndani yake; hayumo katika kundi la wenye dhambi na ameinuliwa mpaka juu mbinguni.
27 Me jota rajon jamero lapalap akan, me kin kida maj mairon pweki pein dip arail ap pweki en aramaj akan ni ran karoj. Pwe i me a kotin wiadar pan pak ta ieu, ni a kotin mueid on Kot pein i.
Yeye si kama wale makuhani wakuu wengine; hana haja ya kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu. Yeye alifanya hivyo mara moja tu wakati alipojitoa yeye mwenyewe, na hiyo yatosha kwa nyakati zote.
28 Pwe kapun kin kajapwiladan jamero aramaj luet akan, a majan en kaula, me wiauier murin kapun, kajapwiladar Japwilim a, me unjokalar joutuk. (aiōn g165)
Sheria ya Mose huwateua watu waliokuwa dhaifu kuwa makuhani wakuu; lakini ahadi ya Mungu aliyoifanya kwa kiapo na ambayo imefika baada ya sheria imemteua Mwana ambaye amefanywa mkamilifu milele. (aiōn g165)

< Men Ipru 7 >