< Men Tejalonik II 2 >

1 JE men poeki re omail ri at akan iran atail Kaun Iejuj Krijtuj a pan kotin pwarado, o atail pan peukedalan i,
Sasa yahusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja tukae naye. Ndugu, tunawaombeni sana
2 Komail der wukiwuk jili o der wapon kida nen eu, de kajoi pot, de kijin likau, me dene kit kadar won komail, me dene ran en Kaun o mier.
msifadhaike upesi moyoni, na wala msitiwe wasiwasi kwa sababu ya madai kwamba Siku ya Bwana imekwisha fika. Labda inadhaniwa kwamba jambo hili limetokana na uaguzi fulani, mahubiri au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu.
3 Jota amen en kotau komail la ni meakot. Pwe ran o jota pan pwarado, lao wiawia en maj more wei jan, o aramaj en dip janjal la, nain me jued.
Msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa namna yoyote ile. Maana Siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule Uasi Mkuu utokee na yule Mwovu aonekane ambaye mwisho wake ni kuangamizwa kabisa.
4 Me pan palian meakaroj o kajapwilada pein i, en ileila jan karoj, me udan Kot de men kaudok kan, A pan mondi nan tanpaj en Kot o mome on pein i Kot.
Yeye atapinga kila kitu wanachokiona watu kuwa ni mungu, au wanachokiabudu. Naam, hata ataingia na kuketi ndani ya Hekalu la Mungu akijidai kuwa Mungu.
5 Komail jota tamanda ni ai mimi re omail, i katiti on komail mepukat?
Je, hamkumbuki kwamba niliwaambieni haya yote wakati nilipokuwa pamoja nanyi?
6 Ari met komail ajaer, me meakot mia, me kin kapwandela a pan pwarado.
Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao.
7 A rir en japun kan ap mur pwaida met. Ari jo, a mimieta me kin kapwandela, lao a pan poioki wei jan;
Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe.
8 I anjau me likin kapun o pan janjaleda, me Kaun Iejuj pan kotin kame kila an en jilan i, o kawe kila linan en a pan pwarado.
Hapo ndipo Mwovu atakapotokea; lakini Bwana Yesu anapokuja atamuua kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kwa mng'ao wa kuja kwake.
9 I me pan pwara kido mana en Jatan, ianaki manaman o kilel akai o kapuriam ni likam kai.
Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo,
10 O ianaki widin en japun karoj on irail, me pan lokidokila, pwe re kan limpok on melel, pwe ren dorela.
na kutumia udanganyifu wa kila namna kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea. Hao watapotea kwa sababu hawakuupokea na kuupenda ule ukweli ili waokolewe.
11 I me Kot kotin mueid on irail ni manaman jued eu men kapin ir ada, pwe ren kamelele likam.
Ndiyo maana Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo.
12 Pwe karoj pan pakadeikada me jo kamelele majan melel, a me mauki me japun.
Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, ila wafurahia dhambi, watahukumiwa.
13 A mak eta, jen danke Kot anjau karoj pweki komail, ri ai kompok kan, o pwe jan nin tapi o Kot me kotin pila kidar komail on maur potopot ni jaraui la pan Nen o ni pojon melel o.
Tunapaswa kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi ndugu, ninyi mnaopendwa na Bwana, kwa maana Mungu amewateua tangu mwanzo mpate kuokolewa kwa nguvu ya Roho mfanywe watu wake watakatifu kwa imani yenu katika ukweli.
14 Pwe on mepukat a kotin molipei komail er pan at ronamau, pwe komail en pwaij aneki linan en atail Kaun Iejuj Krijtuj.
Mungu aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari Njema tuliyowahubirieni; aliwaiteni mpate kupokea sehemu yenu katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
15 Ari ri at akan, tenedi on o apwali padak, me komail padakkier, ma jan ni kajoi de at kijin likau.
Basi, ndugu, simameni imara na zingatieni yale mafundisho tuliyowafundisheni kwa mahubiri yetu na barua zetu.
16 A pein atail Kaun Iejuj Krijtuj o Kot o Jam atail, me pok on kitail o kupura don kitail kamait joutuk o kapor mau pan mak, (aiōnios g166)
Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda, na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios g166)
17 I en kamaitala monion omail, o katini komail on ni wiawia mau karoj o padak.
aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili mweze daima kutenda na kusema yaliyo mema.

< Men Tejalonik II 2 >