< Men Korint II 4 >
1 KIT jota kin panada, pweki at koa dodok me je aleer ki mak o.
Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa.
2 Pwe kit muei janer jued okiok kan o je jota weweideki widin o jota liajoja ki majan en Kot; pwe ni at kapwareda melel kit kin kamaui pein kit on injen en aramaj karoj mon Kot.
Tumekataa mambo ya siri na ya aibu, wala hatufuati njia za udanganyifu, tukichanganya Neno la Mungu na uongo. Kinyume cha hayo, tunadhihirisha kweli waziwazi na kujitambulisha wenyewe kwenye dhamiri ya kila mtu mbele za Mungu.
3 A ma at ronamau me malar, nan a malan men lokidokila kan.
Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.
4 Me kot en jappa wet karotonal a nan monion en me jopojon akan, pwe ren der kilan marain en ronamau duen linan en Krijtuj me mom en Kot. (aiōn )
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn )
5 Pwe kit jota kin padaki duen pein kit, a duen Krijtuj Iejuj, me i Kaun, a kit ladu’mail pweki Iejuj.
Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
6 Pwe Kot me majanier, marain en pwarada jan ni rotorot, me kotin kamarainiedar nan monion it, pwe jen maraineki o dedeki linan en Kot ni jilan en Iejuj Krijtuj.
Kwa kuwa Mungu, yeye aliyesema, “Nuru na ingʼae gizani,” ameifanya nuru yake ingʼae mioyoni mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu wa Mungu katika uso wa Kristo.
7 A kit kin kolekol pai wet ni dal pwel, pwe manaman en kaindinda Kot a jo kit.
Lakini tunayo hazina hii katika vyombo vya udongo, ili ijulikane wazi kwamba uwezo huu wa ajabu unatoka kwa Mungu wala si kwetu.
8 At apwal akan me andere kit pena, a je jota kin majak; jota waja, me je pan kak pitila ia ap jota lodi.
Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa;
9 Pan kamekam, ap jota kamela; pan kalokolok, ap jota mela;
twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi.
10 O kit kin wewa jili ni war at en Iejuj a matala, pwe maur en Iejuj en pil janjal ni war at.
Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu.
11 Pwe kit, me memaur, kin kilele on mela anjau karoj pweki Iejuj, pwe maur en Iejuj en pil janjaleda ni uduk atail.
Kwa maana sisi tulio hai siku zote tumetolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uzima wake upate kudhihirishwa katika mwili wetu upatikanao na mauti.
12 Nan i mela kin kelail on kit, a maur on komail,
Hivyo basi, mauti inatenda kazi ndani yetu, bali uzima unatenda kazi ndani yenu.
13 A kit aleer nen en pojon ota, duen a intinidier: Nai me pojon, I me i padaki wei. Kit me pil pojonlar ap padapadaki.
Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,
14 Je ajaer, me i, me kotin kaiajadar Kaun Iejuj, pan pil kotin kaiajada kitail ian Iejuj, o pan kotin kajanjaleda kitail o komail mo a.
kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake.
15 Meakaroj wiauier pweki komail, pwe mak o ni a laude kilar me toto, en kalaudela melel danke, pwen kaliwanada Kot.
Haya yote ni kwa faida yenu, ili kwamba neema ile inavyowafikia watu wengi zaidi na zaidi, ipate kusababisha shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.
16 I me je jota kin panada, a ma at pali liki en aramaj pan joredi, pali lol it kin kokoda ni ran karoj.
Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu wetu wa nje unachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.
17 Pwe atail anjau apwal me motomot o tikitik; ap kare on kitail linan joutuk eu me lapalap melel, (aiōnios )
Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios )
18 Pwe kitail jota kin kilekilan meakan me janjal, a meakan me jo janjal. Pwe me janjal me katuk, a me jo janjal me joutuk. (aiōnios )
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios )