< Timoteuj I 1 >

1 PAULUJ wanporon en Iejuj Krijtuj amen pan kujoned en Kot Jaunkamaur patail o Krijtuj Iejuj, me kitail kaporoporeki,
Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.
2 On Timoteuj nai jeri melel ni pojon mak o limpok, o popol jan ren Kot Jam o Krijtuj Iejuj atail Kaun.
Kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
3 Duen ai poeki re om, en mimieta Epijuj ni ai pan kola Majetonien, pwe koe en kapun on akai, ren der wia padak toror.
Kama nilivyokusihi wakati nilipokwenda Makedonia, endelea kubaki Efeso, ili kwamba upate kuwaagiza watu wasiendelee kufundisha mafundisho ya uongo
4 Pil der kamelele kajoi mal o padok en di to to, me kareda Akamai ap jota jauja koa dodok en Kot, me tapi jan pojon.
wala wasitoe muda wao kwa hadithi za kubuniwa na orodha za majina ya vizazi visivyo na mwisho, ambazo huchochea mabishano badala ya mpango wa Mungu utokanao na imani.
5 Pwe aude pan kujoned limpok jan nan monion makelekel, o injen mau, o pojon melel.
Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli.
6 Jan mepukat akai muei janer, rap wuki on poupoulap.
Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,
7 Re men wiala jaunpadak en kapun, ap jo weweki, me re inda, o me re kin men padaki kaualap.
wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wanayoyatumainia kwa uthabiti.
8 A kitail aja, kapun me mau, ma amen jo kajapune.
Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.
9 O je aja, me jota kapun en wiaui on me pun amen, a on me japun kan, o katiwo kan, o me doo jan Kot akan, o me dipan akan, o me jo jaraui kan, o me jan Kot akan, o me kin kaloke jam ar in ar, o me kamela aramaj akan.
Lakini tunajua ya kuwa sheria si kwa ajili ya wenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, kwa ajili ya wasiomcha Mungu na wenye dhambi, wasio watakatifu na wanaokufuru; kwa wale wawauao baba zao au mama zao, kwa wauaji,
10 O me nenek kan, o me madon jaut on ol oko, o me kin pirap aramaj akan, o me likam kan, o me kaula likam akan, o ma pil meakot mia, me jo kon on padak en kamour.
kwa wazinzi na wahanithi, kwa wale wauzao watu, na kwa waongo na waapao kwa uongo, na kwa chochote kingine kilicho kinyume na mafundisho ya kweli,
11 Duen ronamau en linan en Kot iajanai me pan don ia.
ambayo yanakubaliana na Injili ya utukufu wa Mungu anayehimidiwa, ambayo mimi nimewekewa amana.
12 I ap danke Krijtuj Iejuj atail Kaun, me kotin kamane ia da o kamelel ia ni a kotin kajapwil ia dan dodok.
Namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona mwaminifu, akaniteua kwa kazi yake.
13 pwe maj o nai lalaue amen, o kaloke jaulan kan, ao lolap amen, ari jo I diaradar mak o, pwe I wiadar mepukat ap jaja o ni ai jopojon.
Ingawa wakati fulani nilikuwa mwenye kukufuru, mtesaji na mwenye jeuri, lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda hivyo kwa kutojua na kutoamini kwangu.
14 A mak en atail Kaun me lapalap alar kaualap ni pojon o limpok, me mi reh Krijtuj.
Neema ya Bwana wetu ilimiminwa juu yangu kwa wingi, ikiambatana na imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
15 Melel lepen kajoi lep, o me mau on kamelele: Krijtuj Iejuj pwara don jappa, pwen dorela me dipan akan; a nai me jued jan karoj.
Msemo huu ni wa kweli na unaostahili kukubalika, usemao kwamba: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi, ambao mimi ndiye niliye mbaya kuliko wote.
16 Ari jo, I diaradar mak o, pwe Iejuj Krijtuj en kotin kajaleda a kanonama lapalap re i, pwe men kaalemoni on me pan pojon, pwen maur joutuk. (aiōnios g166)
Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
17 A nanmarki potpot, me jo kak mor pajan, o jo janjal, I Kot eta. Wau o linan en ko on I potopoteta! Amen. (aiōn g165)
Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
18 Kujoned wet I men pan on uk, nai jeri Timoteuj, duen deideikop akan, me wiaui on uk er, pwe ren jauaju uk, en wia pei mau eu.
Mwanangu Timotheo, ninakupa agizo hili, kwa kadiri ya maneno ya unabii yaliyosemwa kukuhusu, ili kwa kuyafuata upate kupigana vita vizuri,
19 Ni om dadauata pojon o kanakanai on injen om mau, me akai pein kaje jan irail, ap peila jan nin pojon.
ukiishikilia imani na dhamiri njema, ambazo wengine wamevikataa, na hivyo wakaangamia kwa habari ya imani yao.
20 Amen irail Imenauj o amen Alekjander, me panalan Jatan, pwe ren lelapok ki kalokolok, ap jolar lalaue.
Miongoni mwao wako Himenayo na Aleksanda, ambao nimemkabidhi Shetani ili wafundishwe wasije wakakufuru.

< Timoteuj I 1 >