< صفنیا 3 >
وای بر اورشلیم، شهر فاسد و ستمگر که بر مردمان خودش ظلم روا میدارد! | 1 |
Ole kwa mji ulioasi! Mji wenye vurugu umenajisiwa.
شهری که به صدای خداوند گوش نمیدهد و اصلاحپذیر نیست؛ به خداوند توکل نمیکند و به او نزدیک نمیشود. | 2 |
Haukuisikiliza sauti ya Mungu, wala haukupokea masahihisho kutoka kwa Yahwe. Hakumtumaini Yahwe na hatamkaribia Mungu wake.
رهبران اورشلیم مثل شیرهای غران، و قاضیانش مانند گرگهای گرسنهٔ شب هستند که از صید خود چیزی را تا صبح باقی نمیگذارند. | 3 |
Wafalme wao ni simba wanaounguruma miongoni mwao. Waamuzi wao ni mbwa mwitu wa jioni wasiobakiza kitu ambacho kitakuwa kimemung'unywa asubuhi yake.
انبیای آن دروغگو و سودجو میباشند. کاهنانش احکام خدا را به نفع خود تحریف کرده، خانهٔ خدا را نجس میسازند. | 4 |
Manabii wake wanakiburi na wanaume wasaliti. Makuhani wake wamepanajisi mahali patakatifu na wameifanyia vurugu sheria.
خدا در میان مردم شهر حضور دارد. او عادل و با انصاف است و هر بامداد احکام خود را نمایان میسازد و کوتاهی نمیکند، با وجود این، بدکاران شهر با بیشرمی به شرارت خود ادامه میدهند. | 5 |
Yahwe ni mwenye haki miongoni mwao. Hawezi kufanya makosa. Kila asubuhi husimamia haki yake! Haitafichika nuruni, hata hivyo watu wasio wenye haki hawajui kuona aibu.
خداوند میفرماید: «قومهای بسیاری را نابود کردهام و استحکامات آنها را از بین بردهام. شهرهای آنها را با کوچههایشان چنان ویران کردهام که حتی یک نفر هم در آنها باقی نمانده است. | 6 |
Nimeyaharibu mataifa; ngome zao zimeharibiwa. Nimeifanya mitaa yao magofu, hivyo hakuna hata mmoja anayepitia kwake. Miji yao imeharibiwa kwa hiyo hakuna mtu anayeikaa.
گفتم حتماً مردم اورشلیم به من گوش خواهند داد و به هشدارهایم توجه خواهند نمود و بدین ترتیب جلوی خرابی شهر و مجازاتی را که مقرر کردهام خواهند گرفت. ولی آنها چنین نکردند بلکه به کارهای فاسد خود ادامه دادند.» | 7 |
Nikasema, 'Hakika mtaniogopa mimi. Pokeeni masahihisho na msikatiliwe mbali kutoka kwenye miji yenu kwa yote yale niliyokuwa nimeyapanga kuyafanya kwenu.' Lakini walikuwa na shauku kuanza kila siku kwa kuharibu matendo yao yote.
خداوند میفرماید: «صبر کنید، بهزودی وقت آن میرسد که بر ضد قومهای شرور به پا خیزم. زیرا تصمیم گرفتهام قومهای جهان را جمع کنم و خشم و غضب خود را بر آنها فرو ریزم. تمام جهان از آتش غیرت من گداخته خواهد شد. | 8 |
Kwa hiyo ningojeni - hili ni tamko la Yahwe - mpaka siku ambayo nitainuka kwa ajili ya waathirika. Uaamuzi wangu nikuwakusanya mataifa, kuzikusanya falme, na kumwaga juu yao hasira yangu, uchungu wangu wote mkali, hivyo nchi yote itamezwa kwa moto wa hasira yangu.
«آنگاه به قومهای جهان، زبان پاک خواهم داد تا همهٔ آنها فقط نام مرا بخوانند و تنها مرا عبادت کنند. | 9 |
Ndipo nitawapa midomo safi watu, kuwaita wote kwa jina la Bwana kunitumikia wakisimama bega kwa bega.
قوم پراکندهٔ من از فراسوی رودهای حبشه با هدایای خود آمده، مرا پرستش خواهند کرد. | 10 |
Kutoka ng'ambo ya mto Ethiopia waniabuduo - watu wangu waliotawanyika - wataleta dhabihu kwa sababu yangu.
ای قوم من، در آن زمان دیگر از یاغیگریهای گذشتهٔ خود شرمنده نخواهید شد، زیرا من اشخاص متکبر را از میان شما برمیدارم. در کوه مقدّس من تکبر وجود نخواهد داشت. | 11 |
Katika siku hiyo hamtawekwa kwenye woga kwa matendo yenu yote ambayo mmeyafanya dhidi yangu, tangu wakati ule nitaondoa kutoka kwenu wale waliosherehekea fahari yenu, na kwa sababu hamtakuwa na muda mrefu kufanya majivuno juu ya mlima wangu mtakatifu.
کسانی که باقی بمانند، متواضع و فروتن خواهند بود و به نام من توکل خواهند نمود. | 12 |
Lakini nitawaacha kama wa chini zaidi na watu masikini, na mtapata kimbilio katika jina la Yahwe.
آنها دیگر ظالم، دروغگو و حقهباز نخواهند بود. در آرامش و امنیت به سر خواهند برد و هیچکس آنها را نخواهد ترسانید.» | 13 |
Mkazi wa Israeli si muda mrefu hatafanya udhalimu au kusema uongo, na hakuna ulimi wa udanganyifu utakaoonekana mdomoni mwao; hivyo watalisha na kulala chini, na hakuna hata mmoja atakayewafanya kuogopa.”
ای اورشلیم با شادی سرود بخوان! ای اسرائیل بانگ شادی برآور! | 14 |
Imba, binti Sayuni! Piga kelele, Israeli. Ufurahi na kushangilia kwa moyo wako wote, binti wa Yerusalemu.
زیرا خداوند مجازات تو را از تو دور کرده و دشمنانت را به عقب رانده است. یهوه پادشاه اسرائیل، در میان توست، پس دیگر بلا تو را نخواهد ترسانید! | 15 |
Yahwe ameiondoa hukumu yako; amewafukuzia mbali adui zako! Yahwe ni mfalme wa Israeli miongoni mwenu. Kamwe hamtamwogopa tena mwovu!
در آن روز به اورشلیم خواهند گفت: «ای صَهیون، نترس، و قوی باش! | 16 |
Katika siku hizo watasema kwa Yerusalemi, “Usiogope, Sayuni. Usiiache mikono yako ilegee.
زیرا یهوه خدایت که در میان توست نجات دهندهای توانا میباشد. او از تو راضی خواهد بود، و تو را دوست خواهد داشت و وجود تو مایه شادی و سرور او خواهد بود.» | 17 |
Yahwe Mungu wako yuko katikati yenu, mwenye nguvu wa kuwaokoa. Atasherehekea juu yenu na kwa furaha atakuwa kimya juu yenu kwa upendo wake. Atakuwa na furaha juu yenu na atashangilia kwa furaha,
خداوند میفرماید: «به غمهایی که از حسرت عیدهای خود دارید پایان خواهم بخشید و بار این ننگ را از دوشتان برخواهم داشت. | 18 |
katika siku maalumu ya sherehe. Nitaondoa maafa kutoka kwenu; si muda mrefu hamtabeba aibu kwa ajili yake.
تمام کسانی را که به شما ظلم کردهاند مجازات خواهم نمود. اشخاص ضعیف و درماندهٔ قوم خود را رهایی خواهم بخشید و راندهشدگان را که مسخره و رسوا شدهاند، جمع کرده، سرافراز خواهم نمود. | 19 |
Tazama, Niko tayari kuwashughulikia watesi wenu wote. Katika wakati ule, Nitawaokoa waliolemaa na kuwakusanya waliotupiliwa mbali. Nitawafanya kuwa sifa, na nitaibadilisha aibu yao iwe sifa katika dunia yote.
بله، در آن زمان وقتی شما را جمع نموده، اموالتان را پیش چشمانتان به شما بازگردانم، آنگاه در میان تمام مردم جهان سرافراز خواهید شد.» این را خداوند فرموده است. | 20 |
Katika wakati ule nitawaongoza; katika wakati ule nitawakusanya pamoja. Nitawafanya mataifa yote ya dunia kuwaheshimu na kuwasifu, wakati mtakapoona hivyo, Nitakuwa nimewarudisha”, asema Yahwe.