< زکریا 12 >
این است پیام خداوند برای اسرائیل. خداوند که آسمانها را گسترانید و بنیاد زمین را نهاد و روح انسان را در درونش قرار داد، چنین میگوید: | 1 |
Hili ni tamko la neno la Yahwe kwa Israeli - Bwana asema, azitandaye mbingu na kuweka msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mtu ndani yake,
«اورشلیم را برای قومهای همسایه که سپاهیان خود را برای محاصرهٔ اورشلیم و سایر شهرهای یهودا میفرستند، مثل جامی سرگیجهآور میسازم. | 2 |
“Tazama, nitaifanya Yerusalemu kuwa kikombe kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao. Itakuwa hivyo hivyo pia kwa Yuda wakati wa kuhusuriwa kwa Yerusalemu.
هنگامی که تمام قومهای جهان بر ضد اورشلیم جمع شوند، من اورشلیم را برای آنها مانند سنگ عظیمی خواهم ساخت، که هر کس بخواهد آن را تکان دهد خود سخت مجروح شود.» | 3 |
Katika siku hiyo, nitaifanya Yerusalemu kuwa jiwe zito kwa watu wa jamaa zote. Kila atakayejaribu kuliinua jiwe hilo atajihumiza sana, na mataifa yote ya dunia yatakusanyika kinyume cha mji huo.
خداوند میفرماید: «در آن روز، همۀ اسبان را به گیجی و همۀ سوارانشان را به جنون دچار خواهم کرد. من مراقب خاندان یهودا خواهم بود، اما اسبان دشمنانشان را به کوری مبتلا خواهم ساخت. | 4 |
Katika siku hiyo asema Yahwe - nitampiga kila farasi kwa ushangao na kila mpanda farasi kwa wendawazimu. Nitaiangalia nyumba ya Yuda kwa upendeleo na nami nitawapiga kwa upofu farasi wa majeshi.
آنگاه رهبران یهودا در دل خود خواهند گفت: مردم اورشلیم قوی هستند، زیرا خداوند لشکرهای آسمان، خدای ایشان است. | 5 |
Ndipo watawala wa Yuda watakapojisemea mioyoni mwao, 'Wakaao Yerusalemu ndio nguvu yetu kwa sababu ya Yahwe wa majeshi, Mungu wao.'
«در آن روز، رهبران یهودا را مثل شعلۀ آتشی که جنگلها و مزارع را میسوزاند، میگردانم. آنها تمام قومهای همسایه را از راست و چپ خواهند سوزاند، و مردم اورشلیم در امنیت خواهند بود. | 6 |
Katika siku hiyo nitawafanya watawala wa Yuda kuwa kama mitungi ya moto katika miti na kama miali ya moto kati ya nafaka isimamayo, kwani utateketeza watu wote walio karibu upande wao wa kulia na kushoto. Yerusalemu atakaa mahali pake tena.
«خداوند سایر شهرهای یهودا را پیش از اورشلیم پیروز میگرداند تا مردم اورشلیم و نسل سلطنتی داوود از پیروزی خود مغرور نشوند. | 7 |
Yahwe ataziokoa hema za Yuda kwanza, ili kwamba utukufu ya nyumba ya Daudi na utukufu wa wale waishio Yerusalemu hautazidi sehemu iliyosalia ya Yuda.
«در آن روز خداوند از مردم اورشلیم دفاع خواهد کرد. ضعیفترین آنها مثل داوود پادشاه قوی خواهد بود، و نسل سلطنتی داوود مانند خدا و مثل فرشتهٔ خداوند در پیشاپیش آنها حرکت خواهند کرد! | 8 |
Katika siku hiyo Yahwe atakuwa mtetezi wa wakao Yerusalemu, na siku hiyo waliodhaifu miongoni mwao watakuwa kama Daudi, wakati nyumba ya Daudi watakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yahwe mbele yao.
زیرا قصد من این است که تمام قومهایی را که به جنگ اورشلیم میآیند نابود کنم. | 9 |
“Itakuwa kwamba katika siku hiyo nitaanza kuyaharibu mataifa yote yajayo kinyume cha Yerusalemu.
«من روح فیض و دعا را بر خاندان داوود و بر ساکنان اورشلیم خواهم ریخت، و آنها بر من که نیزه زدهاند خواهند نگریست و عزاداری خواهند نمود چنانکه گویی برای تنها فرزند خود عزا گرفتهاند، و آنچنان ماتم خواهند گرفت که گویی پسر ارشدشان مرده است. | 10 |
Lakini nitamwaga roho ya huruma na kuiombea nyumba ya Daudi na wakao Yerusalemu, hivyo wataniangalia mimi, waliomchoma kwa mkuki. Wataniombolezea, kama amwombolezeaye mwana wa pekee; watamwombolezea kwa uchungu sana kama aombolezaye kifo cha mzaliwa wa kwanza.
در آن روز، در اورشلیم ماتم بزرگی بر پا خواهد شد همانند ماتم عظیمی که برای هَدَد رِمّون در وادی مجدون بر پا نمودند. | 11 |
Katika siku hiyo maombolezo huko Yerusalemu yatakuwa kama maombolezo ya Hadadi Rimoni katika tambarare za Megido.
تمامی این سرزمین سوگواری خواهد کرد، هر طایفهای جداگانه: طایفۀ خاندان داوود جداگانه، و زنانشان جداگانه؛ طایفۀ خاندان ناتان جداگانه، و زنانشان جداگانه؛ | 12 |
Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi utakuwa peke yake na wake zao watakuwa peke yao mbali na wanaume. Ukoo wa nyumba ya Nathani utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
طایفۀ خاندان لاوی جداگانه، و زنانشان جداگانه؛ طایفۀ شِمعی جداگانه، و زنانشان جداگانه؛ | 13 |
Ukoo wa nyumba ya Lawi utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume. Ukoo wa Washimei utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
و همۀ طایفههای باقیمانده، هر یک جداگانه، و زنانشان جداگانه. | 14 |
Kila ukoo uliosalia - kila mmoja utakuwa peke yake na wake watakuwa pekee mbali na waume.