< غزل غزلها 5 >
ای محبوبهٔ من وای عروس من، من به باغ خود آمدهام! مُر و عطرهایم را جمع میکنم، عسل خود را میخورم و شیر و شرابم را مینوشم. دوستان ای دوستان بخورید و بنوشید و از عشق سرمست و سرشار شوید. | 1 |
Nimekuja katika bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; Nimekusanya udi wangu na manukato yangu. Nimekula mziga wangu wa asali na asali yangu; Nimekunywa mvinyo wangu pamoja na maziwa yangu. Marafiki wanazungumza na wapenzi Kuleni, marafiki; kunyweni na mlewe na mapenzi. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
میخوابم، اما دلم آرام ندارد. صدای محبوبم را میشنوم که بر در کوبیده، میگوید: «باز کن ای محبوبهٔ من و ای دلدار من، ای کبوتر من که در تو عیبی نیست. سرم از ژالهٔ شبانگاهی خیس شده و شبنم بر موهایم نشسته است.» | 2 |
Nilikuwa nimelala, lakini moyo wangu ulikuwa umeamka katika ndoto. Sauti ya mpenzi wangu yabisha na kusema, “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, wangu usiye na doa, kwa kuwa kichwa changu kimelowa na matone, nywele zangu na unyevu wa usiku.”
ولی من لباسم را از تن درآوردهام، چگونه میتوانم دوباره آن را بپوشم؟ پاهایم را شستهام، چگونه میتوانم آنها را دوباره کثیف کنم؟ | 3 |
“Nimevua joho langu; lazima nilivae tena? Nimeosha miguu yangu; lazima ni ichafue?”
محبوبم دستش را از سوراخ در داخل کرده و میکوشد در را باز کند. دلم برای او به شدت میتپد. | 4 |
Mpenzi wangu anaeka mkono wake kwenye kitasa, na moyo wangu ukawaka kwa ajili yake.
برمیخیزم تا در را به روی او بگشایم. وقتی دست بر قفل مینهم، انگشتانم به عطر مُر آغشته میگردد. | 5 |
Nimeamka kumfungulia mlango mpenzi wangu; mikono yangu ikawa yamiminika na udi, vidole vyangu na unyevu wa udi, katika komeo la mlango.
در را برای محبوبم باز میکنم، ولی او رفته است. چقدر دلم میخواهد باز صدایش را بشنوم! دنبالش میگردم، اما او را در هیچ جا نمییابم. صدایش میکنم، ولی جوابی نمیشنوم. | 6 |
Nimemfungulia mlango mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu aligeuka na kwenda. Moyo wangu ukadidimia; nikakosa tumaini. Nikamtafuta, lakini sikumpata; nikamuita, lakini hakunijibu.
شبگردهای شهر مرا مییابند و میزنند و مجروحم میکنند. نگهبانان حصار ردای مرا از من میگیرند. | 7 |
Walinzi waliokuwa wakizunguka mjini walinipata mimi; walinipiga chini na kunijeruhi; askari katika ukuta walichukua nguo yangu ya juu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
ای دختران اورشلیم، شما را قسم میدهم که اگر محبوب مرا یافتید به او بگویید که من از عشق او بیمارم. | 8 |
Ninataka uhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwamba mkimuona mpenzi wangu, mwambie ninaumwa sababu ya upendo wangu kwake. Wanawake wa mji wakizungumza na mwanamke mdogo
ای زیباترین زنان، مگر محبوب تو چه برتری بر دیگران دارد که ما را اینچنین قسم میدهی؟ | 9 |
Mpenzi wako ana ubora gani kuliko mwanaume mwengine, wewe uliye mzuri miongoni mwa wanawake? Kwanini mpenzi wako bora kuliko mpenzi mwengine, hadi utuulize tuweke nadhiri kama hii? Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
محبوب من سفیدرو و زیباست. او در میان ده هزار همتایی ندارد. | 10 |
Mpenzi wangu amenawiri na ana ng'aa, kati ya wanaume elfu kumi.
سر او با موهای مواج سیاه رنگش، با ارزشتر از طلای ناب است. | 11 |
Kichwa chake ni dhahabu safi; nywele zake ni laini na nyeusi kama kunguru.
چشمانش به لطافت کبوترانی است که کنار نهرهای آب نشستهاند و گویی خود را در شیر شستهاند. | 12 |
Macho yake ni kama ya hua pembezoni ya vijito vya maji, yameoshwa na maziwa, yameundwa kama mikufu.
گونههایش مانند گلزارها، معطر هستند. لبانش مثل سوسنهایی است که از آنها عطر مُر میچکد. | 13 |
Mashavu yake ni kama vitanda vya manukato, vinavyotoa arufu ya marashi. Midomo yake nni nyinyoro, inayo tiririka udi.
دستهایش همچون طلایی است که با یاقوت آراسته شده باشند. پیکرش عاج شفاف گوهرنشان است. | 14 |
Mikono yake ni ya mianzi ya dhahabu iliyo zungushiwa mikufu; tumbo lake ni pembe lililo funikwa yakuti samawi.
ساقهایش چون ستونهای مرمر است که در پایههای طلایی نشانده شده باشند. سیمای او همچون سروهای لبنان بیهمتاست. | 15 |
Miguu yake ni nguzo za marimari, iliyo ekwa juu ya dhahabu safi; muonekano wake ni kama Lebanoni, mizuri kama mierezi.
دهانش شیرین است و وجودش دوست داشتنی. ای دختران اورشلیم، این است محبوب و یار من. | 16 |
Mdomo wake ni mtamu; ni mzuri sana. Huyu ni mpenzi wangu, na huyu ni rafiki yangu, mabinti wa Yerusalemu.