< مزامیر 71 >

ای خداوند، به تو پناه آورده‌ام، نگذار هرگز سرافکنده شوم. 1
Katika wewe, Yahwe, napatakimbilio salama; usiniache niaibishwe.
تو عادلی، پس مرا برهان و نجات ده. 2
Uniokoe na kunifanya salama katika haki yako; geuzia sikio lako kwangu.
به دعای من گوش ده و نجاتم ببخش. برای من پناهگاهی مطمئن باش تا همه وقت به تو پناه آورم. ای صخره و قلعه من، فرمان نجات مرا صادر کن! 3
Uwe kwagu mwamba kwa ajili ya kimbilio salama ambako naweza kwenda siku zote; wewe umeamuru kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
خدایا، مرا از دست اشخاص شرور و بدکار و ظالم برهان! 4
Uniokoe mimi, Mungu wangu, kutoka katika mkono wa asiye haki na katili.
ای خداوند، تنها امید من تو هستی و از زمان کودکی اعتماد من تو بوده‌ای! 5
Maana wewe ni tumaini langu, Bwana Yahwe. Nimekuamini wewe siku zote tangu nilipokuwa mtoto.
زمانی که در شکم مادرم بودم، تو از من نگهداری می‌کردی و پیش از آنکه متولد شوم، تو خدای من بوده‌ای؛ پس تو را پیوسته ستایش خواهم کرد. 6
Nimekuwa nikisaidiwa na wewe tangu tumboni; wewe ndiye yule uliyenitoa tumboni mwa mama yangu; sifa zangu zitakuhusu wewe siku zote.
زندگی من برای بسیاری سرمشق شده است، زیرا تو پشت و پناه من بوده‌ای! 7
Mimi ni mfano bora kwa watu wangu; wewe ni kimbilio langu lenye nguvu.
خدایا، تمام روز تو را شکر می‌گویم و جلالت را اعلام می‌کنم. 8
Mama yangu atajawa na sifa zako, siku zote akikuheshimu.
اکنون که پیر و ناتوان شده‌ام مرا دور مینداز و ترک نکن. 9
Usinitupe katika siku za miaka ya uzee wangu; usiniache wakati nguvu zangu zitakapoisha.
دشمنانم بر ضد من سخن می‌گویند و قصد جانم را دارند. 10
Maana adui zangu wanazungumza kuhusu mimi; wale wanao fatilia uhai wangu wanapanga njama pamoja.
می‌گویند: «خدا او را ترک کرده است، پس برویم و او را گرفتار سازیم، چون کسی نیست که او را نجات دهد!» 11
Wao husema, “Mungu amemuacha; mfuateni na mumchukue, maana hakuna yeyote awezaye kumuokoa yeye.”
ای خدا، از من دور مشو! خدایا، به یاری من بشتاب! 12
Mungu, usiwe mbali nami; Mungu wangu, harakisha kunisaidia mimi.
دشمنان جانم رسوا و نابود شوند. آنانی که می‌کوشند به من آسیب برسانند سرافکنده و بی‌آبرو شوند! 13
Waaibishwe na kuharibiwa, wale walio adui wa uhai wangu; wavishwe laumu na kudharauliwa, wale watafutao kuniumiza.
من پیوسته به تو امیدوارم و بیش از پیش تو را ستایش خواهم کرد. 14
Lakini nitakutumainia wewe siku zote na nitakusifu wewe zaidi na zaidi.
از عدالت تو سخن خواهم گفت و هر روز برای مردم تعریف خواهم کرد که تو بارها مرا نجات داده‌ای! 15
Kinywa changu kitaongea kuhusu haki yako na wokovu wako mchana kutwa, ingawa ziwezi kuzielewa maana ni nyingi mno.
ای خداوند با قدرت تو خواهم رفت و به همه اعلام خواهم کرد که تنها تو عادل هستی. 16
Nitakuja na matendo yenye nguvu ya Bwana Yahwe; nitataja haki yako, yako pekee.
خدایا، از دوران کودکی معلم من تو بوده‌ای و من همیشه دربارهٔ کارهای شگفت‌انگیز تو با دیگران سخن گفته‌ام. 17
Mungu, tangu ujana wangu wewe umenifundisha; hata sasa ninatangaza matendo yako ya ajabu.
پس خدایا اکنون که پیر شده‌ام و موهایم سفید گردیده است، مرا ترک نکن. کمکم کن تا بتوانم به نسلهای آینده از قدرت و معجزات تو خبر دهم. 18
Hakika, hata niwapo mzee na mvi kichwani, Mungu, usiniache mimi, kama ambavyo nimekuwa nikitanga nguvu yako kwa vizazi vijavyo, na uweza wako kwa yeyote ajaye.
ای خدا، عدالت تو تا به آسمانها می‌رسد. تو کارهای بزرگ انجام داده‌ای. خدایا کسی مانند تو نیست. 19
Pia haki yako, Mungu, iko juu sana; wewe ambaye umefanya mambo makuu, Mungu, ni nani aliye kama wewe?
ای که سختیها و زحمات بسیار به من نشان دادی، می‌دانم که به من نیروی تازه خواهی بخشید و مرا از این وضع فلاکت‌بار بیرون خواهی آورد. 20
Wewe ambaye umetuonesha sisi mateso mengi utatuhuisha tena na utatupandisha tena juu kutoka kwenye kina cha nchi.
مرا بیش از پیش سرافراز خواهی نمود و بار دیگر مرا دلداری خواهی داد. 21
Uiongeze heshima yangu; rudi tena na unifariji.
ای خدای من، با نوای بربط صداقت تو را خواهم ستود! ای خدای مقدّس اسرائیل، با صدای عود برای تو سرود خواهم خواند. 22
Nami pia nitakushukuru kwa kinubi kwa ajili ya uaminifu wako, Mungu wangu; kwako nitaimba sifa kwa kinubi, Mtakatifu wa Israel.
با تمام وجود برای تو سرود خواهم خواند و از شادی فریاد برخواهم آورد، زیرا تو مرا نجات داده‌ای. 23
Midomo yangu itapiga kelele kwa sababu ya furaha wakati nikikuimbia sifa, hata kwa roho yangu, ambayo wewe umeikomboa.
تمام روز از عدالت تو سخن خواهم گفت، زیرا کسانی که در پی آزار من بودند، رسوا و سرافکنده شدند. 24
Ulimi wangu pia utaongea kuhusu haki yangu mchana kutwa; maana wameaibishwa na kuvurugwa, wale waliotafuta kuniumiza.

< مزامیر 71 >