< مزامیر 26 >

مزمور داوود. ای خداوند، به داد من برس، زیرا در کمال صداقت رفتار می‌کنم و توکل راسخ به تو دارم. 1
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nithibitishe katika haki, maana nimeishi maisha yasiyo na lawama; nimemtumainia Bwana bila kusitasita.
خداوندا، مرا بیازما. فکر و دل مرا تفتیش کن و پاک ساز؛ 2
Ee Bwana, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;
زیرا محبت تو را در نظر دارم و وفاداری تو را شعار زندگی خود کرده‌ام. 3
kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.
با مردان نادرست همنشین نمی‌شوم و با اشخاص ریاکار رفت و آمد نمی‌کنم. 4
Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,
از بدکاران نفرت دارم و با شریران معاشرت نمی‌کنم. 5
ninachukia kusanyiko la watenda mabaya na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
دستهای خود را خواهم شست تا نشان دهم که بی‌گناهم، سپس مذبح تو را طواف خواهم کرد. 6
Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia, naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
آنگاه با سراییدن سرود شکرگزاری کارهای شگفت‌انگیز تو را به همه خبر خواهم داد. 7
nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
خداوندا، خانهٔ تو را که حضور پرجلالت در آنجاست، دوست می‌دارم. 8
Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi, mahali ambapo utukufu wako hukaa.
پس با من مانند بدکاران و قاتلان رفتار نکن که رشوه می‌دهند و خون مردم را می‌ریزند. 9
Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
10
ambao mikononi mwao kuna mipango miovu, ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
اما من راستی را پیشه کرده‌ام؛ بر من رحم کن و مرا نجات ده. 11
Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama; nikomboe na unihurumie.
خداوند را در حضور مردم سپاس خواهم گفت، زیرا مرا از خطر رهانیده است. 12
Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.

< مزامیر 26 >