< مزامیر 24 >

مزمور داوود. زمین و هر آنچه در آن است، از آن خداوند می‌باشد. 1
Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
او اساس و بنیاد زمین را بر آب دریاها قرار داد. 2
Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
چه کسی می‌تواند به خانهٔ مقدّس خداوند که بر کوه واقع است راه یابد؟ 3
Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
کسی که پندار و کردارش پاک باشد و از ناراستی و دروغ بپرهیزد. 4
Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
خداوند چنین کسی را نجات بخشیده، برکت خواهد داد و او را بی‌گناه اعلام خواهد نمود. 5
Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
اینها همان کسانی هستند که همیشه در طلب خدای یعقوب می‌باشند و مشتاق دیدار او هستند! 6
Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
ای دروازه‌ها، باز شوید! ای درهای قدیمی اورشلیم باز شوید، تا پادشاه جلال وارد شود! 7
Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
این پادشاه جلال کیست؟ خداوند است! خداوند قادر مطلق؛ خداوند فاتح همهٔ جنگها! 8
Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
ای دروازه‌ها، باز شوید! ای درهای قدیمی اورشلیم باز شوید، تا پادشاه جلال وارد شود! 9
Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
این پادشاه جلال کیست؟ خداوند است! خداوند لشکرهای آسمان! آری، اوست پادشاه جلال! 10
Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.

< مزامیر 24 >