< مزامیر 22 >
برای رهبر سرایندگان: مزمور داوود، در مایۀ «غزال سحرگاهی». ای خدای من، ای خدای من، چرا مرا واگذاشتی؟ چرا دور ایستادهای و نالهام را نمیشنوی و به نجاتم نمیشتابی؟ | 1 |
Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
شب و روز مینالم و آرامی ندارم، اما تو مرا اجابت نمیکنی. | 2 |
Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
با وجود این، تو قدوسی و در سرودهای ستایشی اسرائیل جا داری. | 3 |
Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
پدران ما به تو توکل کردند و تو ایشان را نجات دادی. | 4 |
Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
نزد تو فریاد برآوردند و رهایی یافتند. ایشان بر تو توکل کردند و نومید و سرافکنده نشدند. | 5 |
Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
اما من مانند کرم پست شدهام؛ مرا انسان به حساب نمیآورند. نزد قوم خود خوار و حقیر شدهام. | 6 |
Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
هر که مرا میبیند، مسخره میکند. آنها سر خود را تکان میدهند و با طعنه میگویند: | 7 |
Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.
«آیا این همان کسی است که بر خداوند توکل داشت؟ پس بگذار خداوند نجاتش دهد! اگر خداوند او را دوست دارد، بگذار رهاییاش بخشد؟» | 8 |
Wao husema, “Yeye anamwamini Yahwe; mwache Yahwe amuokoe. Mwache amuokoe yeye, kwa kuwa yeye anampendeza sana Yeye.”
ای خداوند، این تو بودی که مرا از رَحِم مادرم به دنیا آوردی. وقتی هنوز بر سینههای مادرم بودم، تو از من مراقبت نمودی. | 9 |
Kwa kuwa wewe ulinileta kutoka tumboni; wewe ulinifanya nikuamini wewe wakati nikiwa nanyonya matiti ya mama yangu.
هنگام تولدم مرا به تو سپردند؛ از وقتی متولد شدم خدای من تو بودی. | 10 |
Nimekwisha tupwa kwako wewe tokea tumboni; wewe ni Mungu wangu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu!
اکنون نیز مرا ترک نکن، زیرا خطر در کمین است و غیر از تو کسی نیست که به داد من برسد. | 11 |
Usiwe mbali na mimi, kwa kuwa shida ikaribu; hayupo hata mmoja wa kusaidia.
دشمنانم مانند گاوان نر سرزمین «باشان» مرا محاصره کردهاند. | 12 |
Maksai wengi wananizunguka mimi; maksai wenye nguvu ya Bashan wananizunguka mimi.
همچون شیران درندۀ غرّان، دهان خود را باز کردهاند تا مرا بدرند. | 13 |
Wao wanafungua midomo yao kwangu kama simba aungurumaye akirarua windo lake.
نیرویی در من نمانده است. تمام بندهای استخوانهایم از هم جدا شدهاند. دلم مانند موم آب میشود. | 14 |
Ninamwagwa nje kama maji, na mifupa yangu yote imeteguka. Moyo wangu ni kama nta; nao unayeyuka ndani ya sehemu zangu za ndani.
گلویم همچون ظرف گلی خشک شده و زبانم به کامم چسبیده. تو مرا به لب گور کشاندهای. | 15 |
Nguvu zangu zimekaushwa kama kipande cha ufinyanzi; ulimi wangu unanata juu ya mdomo wangu. Wewe umenilaza mimi katika vumbi la mauti.
دشمنانم مانند سگ، دور مرا گرفتهاند. مردم بدکار و شرور مرا احاطه نمودهاند. دستها و پاهای مرا سوراخ کردهاند. | 16 |
Kwa maana mbwa wamenizunguka; kundi la watu waovu limenizunguka; wamenitoboa mikono yangu na miguu yangu.
از فرط لاغری تمام استخوانهایم دیده میشوند؛ بدکاران به من خیره شدهاند. | 17 |
Nami ninaweza kuihesabu mifupa yangu. Wao wananitazama na kunishangaa.
لباسهایم را میان خود تقسیم کردند و بر ردای من قرعه انداختند. | 18 |
Wao wanagawa mavazi yangu kati yao wenyewe, wanapiga kura kwa ajili ya mavazi yangu.
ای خداوند، از من دور نشو؛ ای قوت من، به یاری من بشتاب! | 19 |
Usiwe mbali, Yahwe; tafadhali harakisha kunisaidia mimi, nguvu yangu!
جانم را از شمشیر برهان و زندگی مرا از چنگ این سگان نجات ده. | 20 |
Uiokoe roho yangu na upanga, maisha yangu mwenyewe na makucha ya mbwa mwitu.
مرا از دهان این شیران برهان؛ مرا از شاخهای این گاوان وحشی نجات ده! | 21 |
Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
نام تو را به برادران و خواهرانم اعلام خواهم کرد، و در میان جماعت، تو را خواهم ستود. | 22 |
Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.
ای ترسندگان خداوند، او را سپاس گویید! ای فرزندان یعقوب، وی را گرامی بدارید! ای بنیاسرائیل او را بپرستید! | 23 |
Ninyi mnao mwogopa Yahwe, msifuni yeye! Ninyi nyote kizazi cha Yakobo, muheshimuni yeye! Simameni katika hofu yake, ninyi nyote kizazi cha Israeli!
او فقیران را فراموش نمیکند و مصیبت آنها را نادیده نمیگیرد؛ روی خود را از آنها بر نمیگرداند، بلکه دعای آنها را میشنود و آن را اجابت میکند. | 24 |
Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
در حضور جماعت بزرگ، تو را خواهم ستود. نذرهای خود را در حضور پرستندگانت ادا خواهم نمود. | 25 |
Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
فقیران غذا خواهند خورد و سیر خواهند شد. طالبان خداوند او را ستایش خواهند کرد. باشد که آنان همیشه زندهدل و کامیاب باشند! | 26 |
Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
همهٔ مردم جهان خداوند را به یاد خواهند داشت؛ همهٔ قومها به سوی خداوند بازگشت خواهند نمود و او را پرستش خواهند کرد. | 27 |
Watu wote wa duniani watakumbuka na kumrudia Yahwe; familia zote za mataifa watapiga magoti chini mbele yako.
زیرا فرمانروایی از آن خداوند است و او بر قومها حکومت میکند. | 28 |
Kwa kuwa utawala ni wa Yahwe; yeye ni mtawala wa mataifa.
همهٔ متکبران جهان در حضور او به خاک خواهند افتاد و او را سجده خواهند کرد؛ همهٔ انسانهای فانی در حضورش زانو خواهند زد! | 29 |
Watu wote wa duniani waliofanikiwa wata sherekea na wata abudu; wale wote washukao katika mavumbi watapiga magoti mbele zake, wale ambao hawawezi kulinda maisha yao wenyewe.
نسلهای آینده او را عبادت خواهند کرد، زیرا از پدران خود دربارهٔ کارهای خدا خواهند شنید. | 30 |
Kizazi kijacho kitamtumikia yeye; wao watakiambia kizazi kinachofuatia kuhusu Bwana.
به فرزندانی که در آینده متولد خواهند شد، گفته خواهد شد که خداوند قوم خود را نجات داده است. | 31 |
Wao watakuja na kuzungumza kuhusu haki yake; wao watawaambia watu ambao bado hawaja zaliwa yale ambayo Yahwe ameyafanya!