< مزامیر 17 >
دعای داوود. ای خداوند، فریاد عدالت خواهانهٔ مرا بشنو و به دعای من که از دل بیریا برمیآید، توجه فرما! | 1 |
Maombi ya Daudi. Sikia ombi langu kwa ajili ya haki, Yawhe; uusikilize mwito wangu wa msaada. Uyasikilize maombi yangu yatokayo katika midomo isiyo na udanganyifu.
تو واقعیت را میدانی، پس بیگناهی مرا اعلام کن. | 2 |
Uthibitisho wangu na uje kutoka uweponi mwako; macho yako na yaone kile kilicho sahihi!
تو از دل من باخبری. حتی در شب به سراغم آمدی و مرا آزمودی و خطایی در من نیافتی. هیچ بدی در سخنان من نبوده است، | 3 |
Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
و من خود را از گناهکاران دور نگه داشته، از راههای آنها پیروی نکردهام، بلکه از کلام تو اطاعت نمودهام | 4 |
Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
و پاهای من هرگز از راههای تو منحرف نشدهاند. | 5 |
Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
ای خدا، من تو را میخوانم زیرا یقین دارم که مرا اجابت خواهی نمود پس دعای مرا بشنو. | 6 |
Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.
ای که با دست پرقدرتت کسانی را که به تو پناه میآورند از دست دشمنان میرهانی، محبت بیدریغت را به من بنمایان. | 7 |
Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
از من مانند مردمک چشمت مواظبت نما و مرا زیر سایهٔ بالهای خود پنهان کن. | 8 |
Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
مرا از چنگ دشمنانی که محاصرهام میکنند و بر من هجوم میآورند، برهان. | 9 |
kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
این سنگدلان متکبر، مرا احاطه کردهاند و منتظر فرصتی هستند تا مرا از پای درآورند. | 10 |
Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
Wao wame zizunguka hatua zangu. Wamekaza macho yao wanishambulie mpaka ardhini.
آنها مانند شیری درنده در کمین من نشستهاند تا مرا بدرند. | 12 |
Wao ni kama mfano wa hasira ya simba mawindoni. Ni kama simba kijana anapotokea mafichoni.
ای خداوند، برخیز و در مقابل آنها بایست و آنها را به زانو درآور! با شمشیر خود، جانم را از دست گناهکاران نجات بده! | 13 |
Inuka, Yahwe! Uwashambulie! Uwaangushe chini kwenye nyuso zao! Uyaokoe maisha yangu kutokana na waovu kwa upanga wako!
خداوندا، با قدرت دست خود مرا از چنین مردمانی که دل به این دنیا بستهاند، برهان. اما شکم کسانی را که عزیز تو هستند سیر کن. باشد که فرزندان ایشان مال فراوان داشته باشند، و برای اولادشان نیز ارث باقی بگذارند. | 14 |
Uniokoe kutoka kwa watu hawa kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa watu wa dunia hii ambao utajiri wao ni maisha haya pekee! Wewe utayajaza matumbo ya wale uwathaminio na utajiri; watakuwa na watoto wengi na wataacha utajiri wao kwa watoto wao.
اما من از دیدن روی تو است که سیر میشوم. هنگامی که بیدار شوم تو را خواهم دید، زیرا تو گناه مرا بخشیدهای. | 15 |
Bali mimi, nitauona uso wako katika haki; Nitashuhudiwa, pale nitakapo amka, na macho yako.