< مزامیر 148 >
خداوند را سپاس باد! خداوند را از عرش برین ستایش کنید، ای کسانی که در آسمانها ساکن هستید. | 1 |
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
ای همهٔ فرشتگان، خداوند را ستایش کنید. ای همهٔ لشکرهای آسمانی، او را ستایش کنید. | 2 |
Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
ای آفتاب و ماه، خداوند را ستایش کنید. ای همهٔ ستارگان درخشان، او را ستایش کنید. | 3 |
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
ای آسمانها و ای بخارهایی که فوق ابرهایید، او را ستایش کنید. | 4 |
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
همگی خداوند را ستایش کنید، زیرا به فرمان او آفریده شدید. | 5 |
Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
او شما را تا ابد بر جایتان ثابت نموده است و آنچه او ثابت نموده است هرگز تغییر نخواهد کرد. | 6 |
Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
ای همهٔ نهنگان و موجوداتی که در اعماق دریا هستید، خداوند را ستایش کنید. | 7 |
Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
ای آتش و تگرگ و مه و تندباد که مطیع فرمان خداوند هستید، او را ستایش کنید. | 8 |
moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
ای کوهها، ای تپهها، ای درختان میوهدار، ای سروهای آزاد، خداوند را ستایش کنید. | 9 |
Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
ای حیوانات وحشی و اهلی، ای پرندگان و خزندگان، خداوند را ستایش کنید. | 10 |
wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
ای پادشاهان و قومهای جهان، ای رهبران و بزرگان دنیا، | 11 |
Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
ای پسران و دختران، ای پیران و جوانان، خداوند را ستایش کنید. | 12 |
wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
همهٔ شما نام خداوند را ستایش کنید، زیرا تنها اوست خدای متعال؛ شکوه و جلال او برتر از زمین و آسمان است. | 13 |
Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
او بنیاسرائیل را که قوم برگزیدهاش هستند توانایی میبخشد تا او را ستایش کنند. خداوند را سپاس باد! | 14 |
Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.