< مزامیر 138 >
مزمور داوود. ای خداوند، از صمیم قلب تو را سپاس میگویم. در حضور خدایان تو را شکر میکنم. | 1 |
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote; mbele ya miungu nitakuimbia sifa.
به سوی خانهٔ مقدّس تو خم شده، تو را عبادت میکنم و نام تو را به سبب محبت و وفاداریت میستایم. به خاطر نام خود، به تمام وعدههایی که میدهی عمل میکنی. | 2 |
Nitasujundu mbele ya hekalu lako takatifu na kulishukuru jina lako kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na kwa uaminifu wako. Umelifanya muhimu zaidi neno lako na jina lako kuliko kitu chochote.
هرگاه دعا کنم، جوابم را میدهی و به جانم قوت میبخشی. | 3 |
Siku ile niliyo kuita, ulinijibu; ulinitia moyo na kuitia nguvu nafsi yangu.
ای خداوند، تمام پادشاهان جهان وقتی وعدههای تو را بشنوند تو را خواهند ستود. | 4 |
Wafalme wote wa nchi watakushukuru wewe, Yahwe, maana watasikia maneno kutoka kinywani mwako.
آری، آنان کارهایی را که تو انجام دادهای خواهند سرایید زیرا پرشکوه و پرجلال هستی. | 5 |
Hakika, wataimba kuhusu matendo ya Yahwe, kwa kuwa utukufu wa Yahwe ni mkuu.
اگرچه خداوند متعال است، اما به افراد فروتن توجه مینماید و کارهای متکبران از نظر او پوشیده نیست. | 6 |
Maana ingawa Yahwe yuko juu, lakini anawajali wanyenyekevu, lakini hawatambui wenye majivuno.
خداوندا، هر چند اکنون در سختی هستم، اما تو مرا خواهی رهانید؛ تو دشمنان مرا مجازات خواهی کرد و مرا با قدرت خویش نجات خواهی داد. | 7 |
Nijapopita katikati ya hatari, wewe utauhifadhi uhai wangu; utanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, na mkono wako wa kuume utaniokoa.
تو کار مرا به کمال خواهی رساند. ای خداوند، محبت تو ابدیست. کاری را که آغاز نمودهای به کمال برسان. | 8 |
Yahwe yuko pamoja nami hadi mwisho; uaminifu wa agano lako, Yahwe, wadumu milele. Usiwaache wale ambao mikono yako imewaumba.