< مزامیر 135 >

سپاس بر خداوند! نام خداوند را بستایید! ای خدمتگزاران خداوند، او را نیایش کنید! 1
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
ای کسانی که در صحن خانهٔ خداوند می‌ایستید، او را پرستش نمایید! 2
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
خداوند را شکر کنید، زیرا او نیکوست. نام خداوند را بسرایید، زیرا نام او دلپسند است. 3
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
خداوند یعقوب را برای خود برگزید، و اسرائیل را تا قوم خاص او باشد. 4
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
می‌دانم که خداوند بزرگ است و از جمیع خدایان برتر! 5
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
او هر آنچه که بخواهد، در آسمان و زمین و حتی اعماق دریا، انجام می‌دهد. 6
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
ابرها را از جاهای دور دست زمین برمی‌آورد، رعد و برق و باد و باران ایجاد می‌کند. 7
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
خداوند پسران ارشد مصری‌ها را کشت و نخست‌زاده‌های حیواناتشان را هلاک کرد. 8
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
او بر ضد فرعون و قومش معجزات و علامات عظیم در مصر انجام داد. 9
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
ممالک بزرگ را مجازات کرد و پادشاهان مقتدر را از بین برد: 10
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
سیحون، پادشاه اموری‌ها و عوج، پادشاه باشان و همهٔ پادشاهان کنعان را، 11
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
و سرزمین آنها را همچون میراث به قوم خود اسرائیل بخشید. 12
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
ای خداوند، نام تو تا ابد باقی است! همهٔ نسلها تو را به یاد خواهند آورد. 13
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
تو قوم خود را داوری خواهی نمود و بر بندگان خود رحم خواهی کرد. 14
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
خدایان قومهای دیگر، بتهای ساخته شده از طلا و نقره هستند. 15
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
دهان دارند، ولی سخن نمی‌گویند؛ چشم دارند، اما نمی‌بینند؛ 16
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
گوش دارند، ولی نمی‌شنوند؛ حتی قادر نیستند نفس بکشند! 17
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
سازندگان و پرستندگان بتها نیز مانند آنها هستند. 18
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
ای بنی‌اسرائیل، خداوند را ستایش کنید! ای کاهنان، ای خاندان هارون، خداوند را ستایش کنید! 19
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
ای لاویان، خداوند را ستایش کنید! ای خداشناسان، او را ستایش کنید! 20
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
ای مردم اورشلیم، خداوند را ستایش کنید، زیرا او در اورشلیم ساکن است! سپاس بر خداوند! 21
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< مزامیر 135 >