< مزامیر 109 >

برای رهبر سرایندگان. مزمور داوود. ای خدا و ای معبود من، خاموش مباش! 1
Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
بدکاران به من تهمت ناروا می‌زنند و حرفهای دروغ دربارهٔ من می‌گویند. 2
Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
با نفرت دور مرا گرفته‌اند و بی‌سبب با من می‌جنگند. 3
Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
من آنها را دوست دارم و برای ایشان دعای خیر می‌کنم، ولی آنها با من مخالفت می‌ورزند. 4
Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
به عوض خوبی، به من بدی می‌کنند و به عوض محبت، با من دشمنی می‌نمایند. 5
Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
ای خدا، دشمنم را به دست داوری ظالم بسپار و بگذار یکی از بدخواهانش کنار او بایستد و بر ضد او شهادت دهد. 6
Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
بگذار او در محاکمه مجرم شناخته شود. حتی دعای او، برایش جرم محسوب گردد. 7
Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
عمرش کوتاه شود و مقام او را به دیگری بدهند. 8
Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
فرزندانش یتیم و زنش بیوه شود. 9
Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
فرزندانش آواره شده، در میان ویرانه‌های خانهٔ خود به گدایی بنشینند. 10
Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
طلبکاران تمام دارایی او را ضبط نمایند و بیگانگان هر آنچه را که او به زحمت اندوخته است، تاراج کنند. 11
Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
کسی بر او رحم نکند و برای یتیمان او دل نسوزاند. 12
Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
نسلش به کلی از بین برود و دیگر نامی از آنها باقی نماند. 13
Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
خداوند گناهان اجدادش را به یاد آورد و گناهان مادرش را نیامرزد. 14
Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
گناهان آنها در نظر خداوند همیشه بماند، اما نام و نشان آنها از روی زمین محو گردد. 15
Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
این دشمن من رحم نداشت. او بر فقیران و بی‌کسان ظلم می‌کرد و آنها را می‌کشت. 16
Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
دوست داشت مردم را نفرین کند، پس خودش نفرین شود. نمی‌خواست به مردم برکت رساند، پس خود از برکت محروم شود. 17
Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
تمام وجودش به نفرین آلوده بود، پس باشد که نفرینهای او مانند آبی که می‌نوشد وارد بدنش شود و مغز استخوانهایش را بخورد؛ همچون لباس او را در بر گیرد و چون کمربند، به دور او حلقه زند. 18
Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
19
Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
ای خداوند، دشمنانم را که درباره من دروغ می‌گویند و مرا تهدید به مرگ می‌کنند، اینچنین مجازات کن. 20
Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
اما ای خداوند، با من برحسب وعده خود عمل نما و به خاطر محبت عظیم خویش، مرا نجات ده، 21
Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
زیرا که من فقیر و درمانده و دل شکسته‌ام؛ 22
Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
همچون سایه، رو به زوال هستم و مانند ملخ از باد رانده شده‌ام. 23
Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
از بس روزه گرفته‌ام زانوهایم می‌لرزند و گوشت بدنم آب می‌شود. 24
Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
نزد دشمنان رسوا شده‌ام. هرگاه مرا می‌بینند، سر خود را تکان می‌دهند و مسخره‌ام می‌کنند. 25
Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
ای خداوند، ای خدای من، مرا یاری فرما؛ مطابق محبت خود، مرا نجات بده، 26
Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
تا بدخواهانم بدانند که تو نجا‌ت‌دهندۀ من هستی. 27
Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
آنها مرا نفرین کنند، اما تو مرا برکت بده. آنها سرافکنده شوند، اما بنده تو، شادمان شود. 28
Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
دشمنانم شرمسار شوند و خفت و خواری وجودشان را در بر گیرد. 29
Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
خداوند را بسیار سپاس خواهم گفت و در بین مردم او را ستایش خواهم کرد، 30
Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
زیرا او از بیچارگان پشتیبانی می‌کند و ایشان را از دست ظالمان می‌رهاند. 31
Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.

< مزامیر 109 >