< امثال 8 >
آیا ندای حکمت را نمیشنوید و به آواز بصیرت گوش نمیدهید؟ | 1 |
Je hekima haiti? Je ufahamu hapazi sauti yake?
حکمت دم دروازههای شهر و سر چهارراهها و جلوی در هر خانهای ایستاده، میگوید: | 2 |
Juu ya kilima kando ya barabara, kwenye njia panda, hekima anasimama.
Kando ya njia ya kuingilia mjini, karibu na milango ya mji, anaita kwa sauti.
«ای مردم، شما را صدا میزنم. | 4 |
Watu, ninawaita ninyi na ninapaza sauti yangu kwa wana wa wanadamu.
ای انسانهای جاهل و نادان به ندای من گوش دهید و زیرکی و فهم کسب کنید. | 5 |
Ninyi wajinga, jifunzeni hekima, na ninyi mnaochukia maarifa, lazima mjipatieni moyo wa ufahamu.
به من گوش دهید، زیرا سخنان من گرانبهاست. من حقیقت و راستی را بیان میکنم و از ناراستی نفرت دارم. | 6 |
Sikiliza na mimi nitasema mambo mazuri na nifumbuapo midomo yangu nitaongea haki.
Maana kinywa changu hunena uaminifu na midomo yangu huchukia uovu.
سخنان من بر حق است و کسی را گمراه نمیکند. | 8 |
Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa.
سخنان من برای کسی که گوش شنوا داشته باشد واضح و روشن است. | 9 |
Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.
تعلیمی که من میدهم از طلا و نقره گرانبهاتر است. | 10 |
Chagua fundisho langu badala ya fedha na maarifa kuliko dhahabu safi.
ارزش من از یاقوت بیشتر است و هیچ چیز را نمیتوان با من مقایسه کرد. | 11 |
Maana mimi, hekima ni bora kuliko vito; hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na mimi.
«من حکمتم و از زیرکی و دانایی و بصیرت برخوردار میباشم. | 12 |
Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
اگر کسی خداترس باشد، از بدی نفرت خواهد داشت. من از غرور و تکبر، رفتار و گفتار نادرست متنفرم. | 13 |
Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
«منم که هدایت میکنم و فهم و بصیرت میبخشم. به نیروی من پادشاهان سلطنت میکنند و قضات به عدل و انصاف قضاوت مینمایند. | 14 |
Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
تمام رهبران و بزرگان جهان به کمک من حکمرانی میکنند. | 16 |
Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
«من کسانی را که مرا دوست دارند، دوست میدارم. آنانی که در جستجوی من باشند مرا خواهند یافت. | 17 |
Nawapenda wale wanaonipenda, na wale wanaonitafuta kwa bidii, wataniona.
ثروت و حرمت، اموال و موفقیت در اختیار من است. | 18 |
Kwangu kunautajiri na heshima, utajiri wa kudumu na haki.
بخششهای من از طلای ناب و نقرهٔ خالص بهتر است. | 19 |
Tunda langu ni bora kuliko dhahabu, bora hata kuliko dhahabu safi.
راههای من عدل و حق است. | 20 |
Ninazalisha kilicho bora kuliko fedha safi. Natembea katika njia ya haki,
ثروت حقیقی از آن کسانی است که مرا دوست دارند، زیرا من خزانههای ایشان را پر میسازم. | 21 |
katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
«در ابتدا، قبل از آفرینش عالم هستی، خداوند مرا با خود داشت. | 22 |
Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
از ازل، پیش از به وجود آمدن جهان، من شکل گرفتم. | 23 |
Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
قبل از پیدایش اقیانوسها و چشمههای پر آب، | 24 |
Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
قبل از آنکه کوهها و تپهها به وجود آیند، | 25 |
Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.
قبل از آنکه خدا زمین و صحراها و حتی خاک را بیافریند من به وجود آمدم. | 26 |
Nilizaliwa kabla ya Yehova hajaiumba dunia wala makonde, hata mavumbi ya kwanza katika dunia.
«هنگامی که خدا آسمان را استوار ساخت و افق را بر سطح آبها کشید من آنجا بودم. | 27 |
Nilikuwepo alipoziimarisha mbingu, wakati alipochora mstari katika sura ya kilindi.
وقتی ابرها را در آسمان گسترانید و چشمهها را از اعماق جاری نمود، | 28 |
Nilikuwepo alipoimarisha anga la juu na wakati wa kutengeneza kina cha chemchemi.
وقتی حدود دریاها را تعیین کرد تا آبها از آن تجاوز نکنند و وقتی اساس زمین را بنیاد نهاد، | 29 |
Nilikuwepo alipotengeneza mipaka ya bahari, ili maji yasisambae kuvuka pale alipoyaamuru, na wakati anaamuru misingi ya dunia sehemu ya kukaa.
من نزد او معمار بودم. موجب شادی همیشگی او بودم و در حضورش شادی میکردم. | 30 |
Nilikuwa kando yake, kama fundistadi mkuu, na mimi nilikuwa furaha yake siku kwa siku, nikifurahi mbele zake daima.
دنیا و انسانهایی که او آفریده بود مایهٔ خوشی من بودند. | 31 |
Nilikuwa nikifurahi katika dunia yake yote na furaha yangu ilikuwa kwa wana wa wanadamu.
«پس ای جوانان به من گوش دهید، زیرا همهٔ کسانی که از دستورهای من پیروی میکنند سعادتمندند. | 32 |
Na sasa, wanangu, nisikilizeni, maana wale wazishikao njia zangu watakuwa na furaha.
به نصیحت من گوش کنید؛ عاقل باشید و نصیحت مرا رد نکنید. | 33 |
Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
خوشا به حال کسی که به من گوش دهد و هر روز جلوی در خانهٔ من انتظار مرا بکشد، | 34 |
Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.
زیرا هر که مرا بیابد حیات را یافته و خداوند را خشنود ساخته است؛ | 35 |
Maana yeyote anionaye mimi, anapata uzima, naye atapata kibali kwa Yehova.
اما کسی که مرا از دست بدهد به جانش لطمه میزند، آنانی که از من متنفر باشند مرگ را دوست دارند.» | 36 |
Na yeyote asiyeniona mimi, hujiumiza mwenyewe, wote wanaonichukia hupenda mauti.