< امثال 20 >
شراب انسان را به کارهای احمقانه وا میدارد و مشروب باعث عربدهکشی میشود؛ چه نادانند کسانی که خود را اسیر مشروب میکنند. | 1 |
Divai ni dhihaka na kinywaji kikali ni mgomvi; anayepotea kwa kunywa hana busara.
غضب پادشاه همچون غرش شیر است. هر که خشم او را برانگیزاند جان خود را به خطر میاندازد. | 2 |
Kumwogopa mfalme ni kama kumwogopa simba kijana aungurumaye, yeyote anayemkasirisha hutoa fidia ya maish yake.
اجتناب از نزاع برای شخص، عزت میآورد. فقط اشخاص نادان نزاع به پا میکنند. | 3 |
Ni heshima kwa mtu yeyote kujiepusha na mafarakano, bali kila mpumbavu hurukia kwenye mabishano.
آدم تنبل به موقع زمینش را شخم نمیزند، پس در هنگام برداشت محصول هر چه میگردد چیزی نمییابد. | 4 |
Mtu mvivu halimi majira ya kipupwe; hutafuta mazao wakati wa mavuno lakini hapati kitu.
پند نیکو در اعماق دل مشورت دهنده مانند آب در ته چاه است و شخص فهمیده آن را بیرون میکشد. | 5 |
Makusudi ndani ya moyo wa mtu ni kama maji yenye kina, bali mtu mwenye ufahamu huyateka.
بسیارند کسانی که ادعا میکنند خوب و باوفا هستند، ولی کیست که بتواند شخص واقعاً باوفایی پیدا کند؟ | 6 |
Mara nyingi mtu husema yeye ni mwaminifu, lakini ni nani awezaye kumpata yule mwaminifu?
فرزندان شخص امین و درستکار در زندگی سعادتمند خواهند شد. | 7 |
Mtu atendaye haki hutembea katika uaminifu wake na wana wake wanaofuata baada yake wanafuraha.
پادشاهی که بر مسند قضاوت مینشیند به دقت جوانب امر را میسنجد و حق را از باطل تشخیص میدهد. | 8 |
Mfalme anayeketi kwenye kiti cha hukumu akifanya kazi za kuhukumu hupembua kwa macho yake mabaya yote yaliyoko mbele yake.
کیست که بتواند بگوید: «دل خود را پاک نگه داشتهام و از گناه مبرا هستم.» | 9 |
Nani anayeweza kusema, “Nimeuweka safi moyo wangu; nipo huru na dhambi zangu”?
خداوند از اشخاصی که در داد و ستد از وزنهها و پیمانههای نادرست استفاده میکنند متنفر است. | 10 |
Mizani tofauti na vipimo visivyosawa - Yehova huvichukia vyote.
حتی کودک را میتوان از طرز رفتارش شناخت و فهمید که آنچه انجام میدهد پاک و درست است یا نه. | 11 |
Hata kijana hujulikana kwa matendo yake, kwa mwenendo wake kama ni safi na uadilifu.
گوش شنوا و چشم بینا، هر دو بخشش خداوند هستند. | 12 |
Masikio yanayosikia na macho yanayoona- Yehova aliyafanya yote.
اگر خواب را دوست داشته باشی فقیر میشوی؛ پس بیدار بمان تا سیر شوی. | 13 |
Usipende usingizi au utakuwa masikini; fumbua macho yako na utakuwa na vyakula tele.
خریدار به جنس نگاه میکند و میگوید: «بد است!» اما بعد از خرید، از آن تعریف میکند. | 14 |
“Mbaya! Mbaya!” anasema mnunuzi, lakini akiondoka anajisifu.
سخنان حکیمانه گرانبهاتر از طلا و نادرتر از جواهر است. | 15 |
Ipo dhahabu na mawe ya thamani, lakini midomo yenye maarifa ni kito cha thamani.
از کسی که نزد تو ضامن شخص غریبی میشود گرو بگیر. | 16 |
Chukua vazi kama mmiliki wake ataweka fedha kama dhamana kwa deni la mgeni, na lichukue kama anaweka dhamana kwa uzinifu.
نانی که از راه کلاهبرداری به دست میآید لذیذ است، اما سرانجام کام را تلخ میکند. | 17 |
Mkate uliopatikana kwa ulaghai unaladha tamu, lakini baadaye kinywa chake kitajaa kokoto.
نقشههایت را بدون مشورت با دیگران عملی نکن و بدون تدبیر به جنگ نرو. | 18 |
Mipango huimarishwa kwa ushauri na kwa mwongozo wa busara utapigana vita.
آدم سخنچین رازها را فاش میکند، پس با چنین شخصی معاشرت نکن. | 19 |
Mmbea hufunua siri na kwa hiyo hupaswi kushirikiana na watu ambao huongea sana.
چراغ زندگی کسی که پدر و مادر خود را لعنت کند، خاموش خواهد شد. | 20 |
Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.
مالی که آسان به دست آمده باشد برکتی نخواهد داشت. | 21 |
Urithi uliopatikana mwanzoni kwa haraka utakuwa na mema kidogo mwishoni.
بدی را با بدی تلافی نکن، بلکه منتظر باش تا خداوند عمل کند. | 22 |
Usiseme “Mimi nitakulipiza kwa kosa hili” Msubiri Yehova na yeye atakuokoa.
خداوند از اشخاصی که در داد و ستد از ترازو و سنگهای نادرست استفاده میکنند متنفر است. | 23 |
Yehova huchukia mizani isiyo sawa na vipimo vya udanganyifu si vizuri.
خداوند راه زندگی ما را تعیین میکند، پس انسان چگونه میتواند بفهمد زندگی او به کجا ختم میشود؟ | 24 |
Hatua za mtu huongozwa na Yehova; namna gani basi ataifahamu njia yake?
هرگز نسنجیده قولی به خداوند نده، زیرا ممکن است گرفتار شوی. | 25 |
Ni mtego kwa mtu kusema kwa pupa, “Kitu hiki ni kitakatifu” na kuanza kufikiri juu yake kwamba kina maana gani baada ya kufanya kiapo.
پادشاه دانا شریران را تشخیص میدهد و آنها را به شدت مجازات میکند. | 26 |
Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu na huligeuza juu yao gurudumu la kupuria.
وجدان انسان به منزلهٔ چراغ خداوند است که تمام انگیزههای پنهانی او را آشکار میسازد. | 27 |
Roho ya mtu ni taa ya Yehova, hutafiti sehemu zake zote za ndani kabisa.
هرگاه پادشاهی مهربان و امین باشد، سلطنتش از محبت پایدار میماند. | 28 |
Agano la uaminifu na udhamini humhifadhi mfalme; kiti chake cha enzi hufanywa thabiti kwa upendo.
شکوه جوانان، قوت ایشان است و عزت پیران، تجربه ایشان. | 29 |
Utukufu wa watu vijana ni nguvu zao na fahari ya watu wazee ni mvi zao.
تنبیه برای بدن دردناک است اما دل را از بدی پاک میکند. | 30 |
Mapigo yanayoleta kidonda huusafisha ubaya na vichapo hufanya sehemu za ndani kabisa kuwa safi.