< امثال 18 >
آدم خودخواه خود را از دیگران کنار میکشد و با عقاید درستشان مخالفت میورزد. | 1 |
Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
نادان برای حکمت ارزش قائل نیست و فقط دوست دارد خود را دانا نشان دهد. | 2 |
Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
گناه ننگ و رسوایی به بار میآورد. | 3 |
Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
سخنان شخص دانا مانند اقیانوس عمیق است و مثل چشمه گوارا. | 4 |
Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
طرفداری از مجرمی که باعث میشود حق بیگناه پایمال شود کار نادرستی است. | 5 |
Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
سخنان شخص نادان، منجر به نزاع و کتک خوردنش میشود. | 6 |
Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
زبان شخص نادان چون دامی است که او را به هلاکت میکشاند. | 7 |
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
سخنان آدم سخنچین مانند لقمههای لذیذی است که با لذت بلعیده میشود. | 8 |
Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
کسی که در کار سستی میکند به اندازهٔ یک خرابکار مخرب است. | 9 |
Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
اسم خداوند قلعهای است محکم که شخص درستکار به آن پناه میبرد و در امان میماند. | 10 |
Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
اما قلعۀ شخص ثروتمند، ثروت اوست که گمان میکند او را محافظت خواهد کرد. | 11 |
Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
تکبر به سقوط میانجامد و فروتنی به سربلندی. | 12 |
Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
چقدر زشت و ابلهانه است که انسان قبل از گوش دادن به سخنی، به آن جواب دهد. | 13 |
Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
وقتی انسان روحیهاش قوی است بیماری را تحمل میکند، اما روحیهٔ شکسته را چه کسی میتواند تحمل کند؟ | 14 |
Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
اشخاص دانا همیشه مشتاق و آماده کسب حکمتند. | 15 |
Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
هدیه دادن راه را برای انسان باز میکند و او را به حضور اشخاص مهم میرساند. | 16 |
Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
دلایل کسی که در دادگاه اول صحبت میکند به نظر درست میآید ولی این تا زمانی است که طرف مقابل هنوز دلایلش را ارائه نداده باشد. | 17 |
Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
قرعه، دعوا را میخواباند و به منازعهٔ بین حریفان زورمند خاتمه میدهد. | 18 |
Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
به دست آوردن دل برادر رنجیده، سختتر از تصرف یک شهر حصاردار است. منازعه بین دو برادر، دیوار جدایی ایجاد میکند. | 19 |
Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
انسان نتیجهٔ سخنانی را که از دهانش بیرون میآید خواهد دید. | 20 |
Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
مرگ و زندگی در قدرت زبان است؛ کسانی که دوست میدارند حرف بزنند، عواقب سخنانشان را خواهند دید. | 21 |
Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
وقتی مردی همسری پیدا میکند نعمتی مییابد. آن زن برای او برکتی است از جانب خداوند. | 22 |
Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
درخواست فقرا با التماس توأم است و پاسخ ثروتمندان با خشونت. | 23 |
Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
هستند دوستانی که انسان را به نابودی میکشند، اما دوستی هم هست که از برادر نزدیکتر است. | 24 |
Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.