< امثال 16 >
انسان نقشههای زیادی میکشد، اما نتیجهٔ نهایی آنها در دست خداست. | 1 |
Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake.
تمام کارهای انسان به نظر خودش درست است، اما انگیزهها را خداوند میبیند. | 2 |
Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
نقشههای خود را به دست خداوند بسپار، آنگاه در کارهایت موفق خواهی شد. | 3 |
Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
خداوند هر چیزی را برای هدف و منظوری خلق کرده است. او حتی بدکاران را برای مجازات آفریده است. | 4 |
Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
خداوند از اشخاص متکبر نفرت دارد و هرگز اجازه نخواهد داد آنها از مجازات فرار کنند. | 5 |
Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
درستکار و با محبت باش که خدا گناهت را خواهد بخشید. از خداوند بترس که بدی از تو دور خواهد شد. | 6 |
Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
وقتی کسی خدا را خشنود میسازد، خدا کاری میکند که حتی دشمنان آن شخص نیز با وی از در صلح و آشتی درآیند. | 7 |
Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
ثروت اندک که با درستکاری به دست آمده باشد بهتر است از ثروت هنگفتی که از راه نادرست فراهم شده باشد. | 8 |
Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
انسان در فکر خود نقشهها میکشد، اما خداوند او را در انجام آنها هدایت میکند. | 9 |
Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
پادشاه با حکمت الاهی سخن میگوید، پس نباید به عدالت خیانت ورزد. | 10 |
Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
میزان و ترازوهای درست از آنِ خداوند است، همۀ وزنههای کیسه، ساختۀ اوست. | 11 |
Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
پادشاهان نمیتوانند ظلم کنند، زیرا تخت سلطنت از عدالت برقرار میماند. | 12 |
Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.
پادشاهان اشخاص راستگو را دوست دارند و از وجود ایشان خشنود میشوند. | 13 |
Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
خشم پادشاه پیک مرگ است ولی مرد عاقل آن را فرو مینشاند. | 14 |
Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
شادی و رضایت پادشاه مانند ابر بهاری است که حیات به ارمغان میآورد. | 15 |
Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
به دست آوردن حکمت و دانایی بهتر است از اندوختن طلا و نقره. | 16 |
Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
راه خداشناسان دور از هر نوع بدی است و هر که در این راه گام بردارد جان خود را حفظ خواهد کرد. | 17 |
Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
غرور منجر به هلاکت میشود و تکبر به سقوط میانجامد. | 18 |
Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
بهتر است انسان متواضع باشد و با ستمدیدگان بنشیند تا اینکه میان متکبران باشد و در غنایم آنها سهیم شود. | 19 |
Ni bora kunyenyekea miongoni mwa watu masikini kuliko kugawana ngawira pamoja watu wenye kiburi.
آنانی که کلام خداوند را اطاعت کنند سعادتمند خواهند شد و کسانی که بر او توکل نمایند برکت خواهند یافت. | 20 |
Mwenye kutafakari yaliyofundishwa hupata kilicho chema na wenye kumtumaini Yehova watafurahi.
دانا را از فهمش میشناسند و سخنان دلنشین او انسان را مجاب میکند. | 21 |
Mwenye hekima moyoni anaitwa ufuhamu na utamu wa hotuba huongeza uwezo wa kufundisha.
حکمت برای کسانی که از آن برخوردارند چشمهٔ حیات است، ولی حماقت برای نادانان مجازات به بار میآورد. | 22 |
Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake ambaye nayo, bali adhabu ya wapumbavu ni upumbavu wao.
سخنان شخص دانا عاقلانه است و تعالیمی که او میدهد مؤثر میباشد. | 23 |
Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
سخنان محبتآمیز مانند عسل شیرین است و جان انسان را شفا میبخشد. | 24 |
Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
راههایی هستند که به نظر انسان راست میآیند، اما عاقبت به مرگ منتهی میشوند. | 25 |
Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
گرسنگی خوب است زیرا تو را وادار میکند که برای رفع آن کار کنی. | 26 |
Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
آدم بدکار نقشههای پلید میکشد و سخنانش مثل آتش میسوزاند. | 27 |
Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
شخص بداندیش نزاع به پا میکند و آدم سخنچین بهترین دوستان را از هم جدا مینماید. | 28 |
Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
آدم ظالم همسایهاش را فریب میدهد و او را به راه نادرست میکشاند. | 29 |
Mtu wa vurugu humdanganya jirani yake na kumwongoza kwenye mapito ambayo si mema.
شخص بدکار چشمان خود را میبندد و لبهایش را جمع میکند تا برای انجام مقاصد پلید خود نقشه بکشد. | 30 |
Yule anayekonyeza kwa jicho anapanga njama za mambo ya ukaidi; wenye kuandama midomo yao watapitisha mabaya.
موی سپید تاج جلال است که با زندگی خداپسندانه به دست میآید. | 31 |
Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa kuishi katika njia ya haki.
صبر از قدرت بهتر است و کسی که بر خود مسلط باشد از شخصی که شهری را تسخیر نماید برتر است. | 32 |
Ni bora kukawia kuwa na hasira kuliko kuwa shujaa na mwenye kutawala roho yake ni imara zaidi kuliko yule anayeuteka mji.
انسان قرعه را میاندازد، اما حکم آن را خداوند تعیین میکند. | 33 |
Kura hurushwa kwenye mkunjo, bali maamuzi hutoka kwa Yehova.