< اعداد 8 >

خداوند به موسی فرمود: 1
BWANA akanena na Musa, akamwambia,
«به هارون بگو که وقتی چراغها را در چراغدان می‌گذارد طوری باشد که نور هفت چراغ، جلوی چراغدان بتابد.» 2
“Sema na Haruni umwambie, 'zile taa saba lazima zimulike mbele ya kinara utakapoziwasha,”
پس هارون همین کار را کرد. او چراغها را طوری کار گذاشت که نور آنها جلوی چراغدان بتابد، همان‌طور که خداوند به موسی فرمان داده بود. 3
Haruni alifanya haya. Aliziwasha zile taa juu ya kinara ili ziangaze mbele yake kama BWANA alivyomwagiza Musa.
چراغدان از تزیینات پایه گرفته تا شاخه‌هایش تمام از طلا ساخته شده بود. این چراغدان دقیقاً طبق همان طرحی ساخته شده بود که خداوند به موسی نشان داده بود. 4
Kinara kilitengenezwa kwa njia hii kama BWANA alivyomwelekeza Musa muundo wake. Kiitakaiwa kutengenezwa kwa dhahabu kuanzia kwenye kitako chake hadi juu, ndivyo kilivyotakiwa kutengenezwa kwa dhahabu kwa maua hadi juu.
سپس خداوند به موسی فرمود: 5
Tena, BWANA akanena na Musa, akasema,
«اکنون لاویان را از بقیهٔ قوم اسرائیل جدا کن و آنها را تطهیر نما. 6
'“Uwatwae Walawi kati ya wana wa Israeli na uwatakase.”
این عمل را با پاشیدن آب طهارت بر آنها شروع نموده، سپس به آنان بگو که تمام موی بدن خود را تراشیده، لباسهایشان را بشویند و این‌گونه خود را تطهیر کنند. 7
Uwafanyie hivi ili kuwatakasa: Uwanyunyizie maji ya utakaso juu yao. Hakikisha wamenyoa miili yao yote, wafue nguo zao, na kwa njia hii wajitakase wenyewe.
از ایشان بخواه که یک گوسالۀ نر و هدیهٔ آردی آن را که از آرد مرغوب مخلوط با روغن تهیه شده با یک گوسالۀ نر دیگر برای قربانی گناه بیاورند. 8
Kisha wachukue fahari mchanga na sadaka ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta. Halafu wachukue fahari mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
بعد در حضور همۀ جماعت اسرائیل، لاویان را به کنار در خیمهٔ ملاقات بیاور. 9
Uwalete Walawi mbele ya hema ya kukutania, na uwakusanye jamii yote ya wana wa Israeli.
پس لاویان را به حضور خداوند بیاور و بنی‌اسرائیل دستهای خود را روی سر آنها بگذارند، 10
Uwalete Walawi mbele yangu, BWANA. Wana wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi.
و هارون آنان را به جای تمام قوم اسرائیل به عنوان هدیهٔ مخصوص، وقف خداوند نماید تا لاویان به جای تمامی قوم، خداوند را خدمت کنند. 11
Haruni atawatoa Walawi mbele yangu, kuwa sadaka ya kutikiswa. Atafanya hivi ili kwamba Walawi wanitumikie.
«سپس لاویان دستهای خود را بر سر گاوها بگذارند، و تو یکی را به‌عنوان قربانی گناه و دیگری را به‌عنوان قربانی سوختنی به حضور خداوند تقدیم کن تا برای لاویان کفاره شود. 12
Walawi wataweka mikono yao juu ya hao fahari. Mtatoa fahari mmoja kuwa sadaka ya dhambi na fahari mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa kwangu, ili kuwa upatanisho kwa Walawi.
آنگاه لاویان باید به عنوان هدیهٔ مخصوص به خداوند تقدیم شده توسط هارون و پسرانش به خدمت گماشته شوند. 13
Walete Walawi mbele ya Haruni na mbele ya wana wake, uwainue kuwa sadaka ya kutikiswa kwa ajili yangu.
به این طریق، لاویان را از میان بقیهٔ قوم اسرائیل جدا کن و ایشان از آن من خواهند بود. 14
Kwa njia hii utawatenganisha Walawi toka wana wa Israeli. Walawi watakuwa wangu.
پس از آنکه لاویان را به این ترتیب تطهیر و وقف نمودی، ایشان خدمت خود را در خیمهٔ ملاقات آغاز خواهند کرد. 15
Baadaye Walawi wataingia ndani ya hema ya kukutania. Utawatakasa. utawatoa kuwa sadaka ya kutikiswa
«لاویان از میان تمام قوم اسرائیل به من تعلق دارند و من آنها را به جای همهٔ پسران ارشد بنی‌اسرائیل قبول کرده‌ام؛ 16
Fanya hivi kwa sababu wao ni wangu wote kutoka kwa wana wa Israeli. Watachukua nafasi ya kila mzaliwa wa kwanza afunguaye tumbo, mzaliwa wa kwanza wa uzao wa Israeli. Nimewachukua Walawi kwa ajili yangu.
زیرا همۀ نخست‌زادگان در میان قوم اسرائیل، خواه انسان و خواه حیوان، به من تعلق دارند. همان شبی که نخست‌زادگان مصری‌ها را کشتم اینها را به خود اختصاص دادم. 17
Wazaliwa wa kwanza wote kutoka kwa wana wa Israeli ni wangu, watu wote pamoja na wanyama pia. Siku ile nilipowachukua wazaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, Niliwatenga kwa ajili yangu
آری، من لاویان را به جای تمام نخست‌زادگان بنی‌اسرائیل پذیرفته‌ام 18
Nimewachukua Walawi kutoka kwa wana wa Israeli badala ya wazaliwa wa kwanza.
و من لاویان را به هارون و پسرانش هدیه می‌کنم. لاویان باید وظایف مقدّسی را که بر عهدهٔ قوم اسرائیل می‌باشد، در خیمهٔ ملاقات انجام داده، قربانیهای قوم را تقدیم نمایند و برای ایشان کفاره کنند تا وقتی بنی‌اسرائیل به قدس نزدیک می‌شوند بلایی بر سر آنها نیاید.» 19
Nimewatoa Walawi kuwa zawadi kwa Haruni na wana wake. Nimewachukua toka wana wa Isreali ili kuwatumikia wana wa Israeli katika hema ya kukutania. Nimewatoa ili kuwa upatanisho kwa watu ili kwamba wasipatwe na mapigo wakati wanapokaribia kwenye eneo takatifu.
پس موسی و هارون و قوم اسرائیل با پیروی دقیق از دستورهایی که خداوند به موسی داده بود، لاویان را وقف نمودند. 20
Musa, Haruni na jamii ya Waisraeli wote waliwafanyia Walawi hivi. Walifanya kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru Musa kuhusu Walawi. Wana wa Israeli wakafanya haya pamoja nao.
لاویان خود را طاهر ساخته، لباسهایشان را شستند و هارون آنان را به عنوان هدیهٔ مخصوص به خداوند تقدیم نمود. بعد به منظور تطهیر نمودن لاویان برای ایشان مراسم کفاره را بجا آورد. 21
Walawi wakajitakasa wenyewe na kufua mavazi yao, Na Haruni akawatoa kama sadaka ya kutikiswa kwa BWANA na akafanya upatanisho kwao ili kuwatakasa.
همه چیز درست طبق دستورهایی که خداوند به موسی داده بود، انجام گردید و به این ترتیب لاویان به عنوان دستیاران هارون و پسرانش، آمادهٔ خدمت در خیمهٔ ملاقات شدند. 22
Baada ya hayo, Walawi waliingia ndani kufanya utumishi wao katika hema ya kukutania mbele ya Haruni na mbele ya wanawe. Kama BWANA alivyokuwa amemwagiza Musa juu ya Walawi. Waliwahudumia Walawi wote kwa jinsi hii.
خداوند همچنین به موسی فرمود: 23
BWANA akanena na Musa tena, Akasema,
«لاویان باید خدمت در خیمۀ ملاقات را از سن بیست و پنج سالگی یا بالاتر شروع کنند 24
“Haya yote ni kwa ajili ya Walawi ambao wana umri wa miaka ishirini na mitano na zaidi. Wataungana na wale wanaohudumia hekaluni.
و در سن پنجاه سالگی بازنشسته شوند. 25
Wataacha kutoa huduma hii watakapokuwa na umri wa miaka hamsini. Katika umri huu hawatakiwi kuendelea na huduma tena.
پس از بازنشستگی می‌توانند در خیمهٔ ملاقات، برادران خود را در انجام وظایفشان یاری دهند، ولی خود، مستقیم مسئولیتی نخواهند داشت. به این ترتیب وظایف لاویان را به ایشان محول کن.» 26
Wanaweza kuwasaidia ndugu zao wanaoendelea kufanya kazi ndani ya hema ya kukutania, lakini hawatakiwai kufanya kazi tena. Utawaelekeza Walawi kuyafahamu haya yote.”

< اعداد 8 >