< اعداد 32 >
وقتی قوم اسرائیل به سرزمین یعزیر و جلعاد رسیدند، قبیلههای رئوبین و جاد که صاحب گلههای بزرگ بودند، متوجه شدند که آنجا برای نگهداری گله، محل بسیار مناسبی است. | 1 |
Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
بنابراین نزد موسی و العازار کاهن و سایر رهبران قبایل آمده، گفتند: | 2 |
Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
«خداوند این سرزمین را به قوم اسرائیل داده است، یعنی شهرهای عطاروت، دیبون، یعزیر، نِمرَه، حشبون، العاله، شبام، نبو، و بعون. این سرزمین برای گلههای ما بسیار مناسب است. | 3 |
“Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
تقاضا داریم به جای سهم ما در آن سوی رود اردن، این زمینها را به ما بدهید.» | 5 |
Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
موسی از ایشان پرسید: «آیا منظورتان این است که شما همینجا بنشینید و برادرانتان به آن طرف رود اردن رفته، بجنگند؟ | 6 |
Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
آیا میخواهید بقیهٔ قوم را از رفتن به آن طرف رود اردن و ورود به سرزمینی که خداوند به ایشان داده است دلسرد کنید؟ | 7 |
Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
این همان کاری است که پدران شما کردند. از قادش برنیع ایشان را فرستادم تا سرزمین موعود را بررسی کنند، | 8 |
Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
اما وقتی به درهٔ اشکول رسیدند و آن سرزمین را دیدند، بازگشتند و قوم را از رفتن به سرزمینی که خداوند به ایشان وعده داده بود دلسرد نمودند. | 9 |
Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
به همین علّت خشم خداوند افروخته شد و قسم خورد که | 10 |
Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
از تمام کسانی که از مصر بیرون آمدهاند و بیشتر از بیست سال دارند، کسی موفق به دیدن سرزمینی که قسم خورده بود به ابراهیم، اسحاق و یعقوب بدهد، نشود، زیرا آنها با تمام دل از خداوند پیروی نکرده بودند. | 11 |
'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
از این گروه، تنها کالیب (پسر یفنه قنزی) و یوشع (پسر نون) بودند که با تمام دل از خداوند پیروی نموده، قوم اسرائیل را تشویق کردند تا وارد سرزمین موعود بشوند. | 12 |
Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
«پس خشم خداوند بر اسرائیل افروخته شد و چهل سال آنها را در بیابان سرگردان نمود تا اینکه تمامی آن نسل که نسبت به خداوند گناه ورزیده بودند مردند. | 13 |
Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
حالا شما نسل گناهکار، جای آنها را گرفتهاید و میخواهید غضب خداوند را بیش از پیش بر سر قوم اسرائیل فرود آورید. | 14 |
Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
اگر اینطور از خداوند روگردان شوید، او باز قوم اسرائیل را در بیابان ترک خواهد کرد و آنگاه شما مسئول هلاکت تمام این قوم خواهید بود.» | 15 |
Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
ایشان گفتند: «ما برای گلههای خود آغل و برای زن و بچههایمان شهرها میسازیم، | 16 |
Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
ولی خودمان مسلح شده، پیشاپیش سایر افراد اسرائیل به آن طرف رود اردن میرویم، تا ایشان را به ملک خودشان برسانیم. اما قبل از هر چیز لازم است در اینجا شهرهای حصاردار برای خانوادههای خود بسازیم تا در مقابل حملهٔ ساکنان بومی در امان باشند. | 17 |
Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
تا تمام قوم اسرائیل ملک خود را نگیرند، ما به خانههایمان باز نمیگردیم. | 18 |
Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
ما در آن طرف رود اردن زمین نمیخواهیم، بلکه ترجیح میدهیم در این طرف، یعنی در شرق رود اردن زمین داشته باشیم.» | 19 |
Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
پس موسی گفت: «اگر آنچه را که گفتید انجام دهید و خود را در حضور خداوند برای جنگ آماده کنید، | 20 |
Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
و سپاهیان خود را تا وقتی که خداوند دشمنانش را بیرون براند، در آن سوی رود اردن نگه دارید، | 21 |
basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
آنگاه، بعد از اینکه سرزمین موعود به تصرف خداوند درآمد، شما هم میتوانید برگردید، چون وظیفهٔ خود را نسبت به خداوند و بقیهٔ قوم اسرائیل انجام دادهاید. آنگاه زمینهای شرق رود اردن، از طرف خداوند ملک شما خواهد بود. | 22 |
na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
ولی اگر مطابق آنچه که گفتهاید عمل نکنید، نسبت به خداوند گناه کردهاید و مطمئن باشید که به خاطر این گناه مجازات خواهید شد. | 23 |
Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
اکنون بروید و برای خانوادههای خود شهرها و برای گلههایتان آغل بسازید و هر آنچه گفتهاید انجام دهید.» | 24 |
wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
قوم جاد و رئوبین جواب دادند: «ما از دستورهای تو پیروی میکنیم. | 25 |
Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
بچهها و زنان و گلهها و رمههای ما در شهرهای جلعاد خواهند ماند. | 26 |
Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
ولی خود ما مسلح شده، به آن طرف رود اردن میرویم تا همانطور که تو گفتهای برای خداوند بجنگیم.» | 27 |
Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
پس موسی به العازار، یوشع و رهبران قبایل اسرائیل رضایت خود را اعلام نموده، گفت: | 28 |
Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
«اگر تمامی مردان قبیلههای جاد و رئوبین مسلح شدند و با شما به آن طرف رود اردن آمدند تا برای خداوند بجنگند، آنگاه بعد از اینکه آن سرزمین را تصرف کردید، باید سرزمین جلعاد را به ایشان بدهید. | 29 |
Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
ولی اگر آنها با شما نیامدند، آنگاه در بین بقیهٔ شما در سرزمین کنعان زمین به ایشان داده شود.» | 30 |
Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
قبیلههای جاد و رئوبین پاسخ دادند: «آنچه خداوند به خدمتگزارانت فرموده است، انجام خواهیم داد. | 31 |
Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
ما مسلح شده، به فرمان خداوند به کنعان میرویم، ولی میخواهیم سهم ما، از زمینهای این سوی رود اردن باشد.» | 32 |
Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
پس موسی مملکت سیحون، پادشاه اموریها و عوج پادشاه باشان، یعنی تمامی اراضی و همهٔ شهرهای آنها را برای قبیلههای جاد و رئوبین و نصف قبیلهٔ مَنَسی (پسر یوسف) تعیین کرد. | 33 |
Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
مردم قبیلهٔ جاد این شهرها را ساختند: دیبون، عطاروت، عروعیر، عطروت شوفان، یعزیر، یُجبَهه، بیت نِمرَه، بیت هاران. همهٔ این شهرها، حصاردار و دارای آغل برای گوسفندان بودند. | 34 |
Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
مردم قبیلهٔ رئوبین نیز این شهرها را ساختند: حشبون، الیعاله، قریتایم، نبو، بعل معون و سبمه. (اسرائیلیها بعد نام بعضی از این شهرهایی را که تسخیر نموده و آنها را از نو ساخته بودند، تغییر دادند.) | 37 |
Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
طایفهٔ ماخیر از قبیلهٔ منسی به جلعاد رفته، این شهر را به تصرف خود درآوردند و اموریها را که در آنجا ساکن بودند، بیرون راندند. | 39 |
Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
پس موسی، جلعاد را به طایفهٔ ماخیر پسر مَنَسی داد و آنها در آنجا ساکن شدند. | 40 |
Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
مردان یائیر که طایفهای دیگر از قبیلهٔ منسی بودند، برخی روستاهای جلعاد را اشغال کرده، ناحیهٔ خود را حَووتیائیر نامیدند. | 41 |
Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
مردی به نام نوبخ به شهر قنات و روستاهای اطراف آن لشکرکشی کرده، آنجا را اشغال نمود و آن منطقه را به نام خود نوبح نامگذاری کرد. | 42 |
Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.